Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,105
Mara nyingi Mteule wa Rais akiwaza na kutaka kutekeleza mambo kwa uwezo wake wa kufikiri lazima atumbuliwe au aonywe. It's like kuteuliwa ni sehemu yakuua maono binafsi ya mwanasiasa badala yake anapaswa kusifia tu.
Nimeona namna Simai alivyodhalilishwa leo, kwamba alitaka aendeleze biashara yake ya pombe nikajiuliza kama anauza pombe ameanza leo? Wakati anateuliwa alikuwa auzi hizo pombe
Lakini pia wakati amejiuzulu alimshukuru Mhe. Rais na akaeleza kwamba ameshindwa kutekeleza maono yake kwa wananchi. Leo badala ya pongezi ameonekana adui na si mzalendo kwa sababu tu alizungumza na vyombo vya habari.
Katika hali ya kawaida nani anafahamu huu moshi ulivyofukuta huko ndani?Je, kama Simai aliona asipowahi ataonekana kwenye vyombo kutumbuliwa? Politics and personality requires timing at right time. Means Simai alipoona anakwenda kutumbuliwa kwa mgogoro uliokuwepo akaamua kujitumbua; kwani tupende kutumbua tusipende pia wateule wetu wanapotushtukia wakaamua kujitumbua?Who knows tomorrow, may be ungemtumbua ungedestroy future yake! May be huyu ndiye Rais ajaye.....kwanini tusiamini kwamba huyu mfanyabiashara yupo sahihi kujitumbua?
Tusipende sana kuwadhalilisha waliopo chini yetu maana hata ninyi wapo waliovumilia mapungufu yenu huko mlipotoka. Heshima ni kitu kikubwa kuliko any development we can make. We need to align our strategies and humanity/respect to others
Nimeona namna Simai alivyodhalilishwa leo, kwamba alitaka aendeleze biashara yake ya pombe nikajiuliza kama anauza pombe ameanza leo? Wakati anateuliwa alikuwa auzi hizo pombe
Lakini pia wakati amejiuzulu alimshukuru Mhe. Rais na akaeleza kwamba ameshindwa kutekeleza maono yake kwa wananchi. Leo badala ya pongezi ameonekana adui na si mzalendo kwa sababu tu alizungumza na vyombo vya habari.
Katika hali ya kawaida nani anafahamu huu moshi ulivyofukuta huko ndani?Je, kama Simai aliona asipowahi ataonekana kwenye vyombo kutumbuliwa? Politics and personality requires timing at right time. Means Simai alipoona anakwenda kutumbuliwa kwa mgogoro uliokuwepo akaamua kujitumbua; kwani tupende kutumbua tusipende pia wateule wetu wanapotushtukia wakaamua kujitumbua?Who knows tomorrow, may be ungemtumbua ungedestroy future yake! May be huyu ndiye Rais ajaye.....kwanini tusiamini kwamba huyu mfanyabiashara yupo sahihi kujitumbua?
Tusipende sana kuwadhalilisha waliopo chini yetu maana hata ninyi wapo waliovumilia mapungufu yenu huko mlipotoka. Heshima ni kitu kikubwa kuliko any development we can make. We need to align our strategies and humanity/respect to others