Upotoshaji wa makusudi unaofanywa kwenye vyombo vya habari

Jaffary

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
806
385
Ninasikitika kwa kuwepo kwa taarifa za kuchanganya juu ya usitishwaji wa mgomo wa madaktari.Baadhi ya vyombo vya habari mfano EATV walisema madaktari bingwa wamegoma, sijakaa sawa TBC nkasikia huduma MNH zimetengamaa sijatulia vizuri jf kuna thread kwamba specialist wamegoma hapo hapo kuna thread press release inayoonyesha excellent attendence ya madaktar leo! SASA NAOMBA TUPEWE taarifa sahihi
 
serikali wanatapatapa kama ,wanzo walivyokuwa wakisema kuwa mgomo hakuna lakini baadae wakaja kukiri kuwa mgomo upo ndivyo wanavyofanya sasa ungeangalia itv na ch ten
Tbc sio tv
 
Kuna propaganda kali sana zinazofanywa na Serikali ili kuwazuga madaktari, naomba ukae ukijua hilo. Mgomo kama umekwisha au la basi ukweli utadhihiri siku chache zijazo.
 
serikali inalet propaganda za kizamani mno! Madaktari wamegoma tena specialist wanasema waanze kufukuzwa wao! Serikali ina neutralise makali ya mgomo
 
Unajua vitu vingine bwana, kupotezeana muda tu. Kuna vitu vya kuuluza na kuuliza. Kweli mtu amekakamaa na remote mkononi, anaangalia TBC huku akitegemea itampatia au kukidhi matarajio na matamanio anayoyataka...eti baadae pia anatoka hadharani mbele za watu kulalamika. Kuwa kama Arusha, walishapiga marufuku. Huko hawana watu kabisa, labda Monduli kidogo jirani na kwa yule jamaa (na kwake pia). Lakini naye nasikia hawaamini sana, mambo yake mengi huenda Channel Ten.

Doing the same thing, the same way, kila siku, kisha utegemee matokeo mengine, sijui tuite ni kitu gani.

Mkuu unayeangalia TBC kisha unakuja kulalamika hadharani kazana, ongeza na bili ya Uhuru na Mzalendo kila Jumapili.

Kamanda mwanzisha thread, pole, maana wakati mwingine ni vyema kuambiwa ukweli kwa namna mbaya ili mtu achukue hatua chanya, kumsaidia na kusaidia wengine.

Iko siku wananci wenye akili wataandamana kudai haki na stahili zao TBC maana wanatumia fedha za walipa kodi kinyume kabisa na wanavyopaswa kuwajibika. Time will tell, ingawa ofcoz wengine tunajua walishaanza ku-feel the pains, kitambo, wanachofanya ni kuendelea kushikilia tawi la mti unaoanguka.
 
NI UPEPO TU UTAPITA, kisha JOSEPHAT JOSEPH tukasikia DHAIFU kisha LIWALO NA LIWE na sasa UNAWASHWAWASHWA.
 
Ninasikitika kwa kuwepo kwa taarifa za kuchanganya juu ya usitishwaji wa mgomo wa madaktari.Baadhi ya vyombo vya habari mfano EATV walisema madaktari bingwa wamegoma, sijakaa sawa TBC nkasikia huduma MNH zimetengamaa sijatulia vizuri jf kuna thread kwamba specialist wamegoma hapo hapo kuna thread press release inayoonyesha excellent attendence ya madaktar leo! SASA NAOMBA TUPEWE taarifa sahihi

Nini Maana ya Jamii Forums? Ni Mkusanyiko wa watu wenye Hekima na Mawazo tofauti ambao wanapata Hoja

Mbalimbali ziwe za ukweli au za kiupendeleo either kunufaisha Serikali au Chama Tawala ua Chama Pinzani na

Waandishi wa Habari au Watoa Hoja Mbalimbali au Wanasiasa wachangiaji Hoja - Kazi yetu ni Kujadili Hoja

au Habari hizo kwa kupinga au kukubali kwa Hekima na sio kila mara kupata Hoja/Habari unajua 1 + 1 = 2
 
kusema kweli nimefuatilia katika hospitali zote za rufaa za mikoa hali ni shwari kabisa mfano kcmc wale walioandikiwa barua za kurudishwa wizarani walienda kumpigia magoti mkurugenzi wa hospitali hiyo kwa upande wa hospitali za wilaya katika wilaya hamsini nilizofuatilia ni kama vile hawajuhi kama kuna mgomo unaoendelea hapa nchini
 
Tatizo la serikali huwa lina plan A tu, hata mazingira ya plan A yakibadiliika wao wanaendelea na plan A tu, utafikiria hawana akili. Yaani tangu ijimaa unaambiwa over the weekend toeni tangazo la kuwa mpaka jtatu saa mbili asubuhi wasiosaini watajifukuzisha kazi na baada ya hotuba kali ya rais lazima kutakuwa na waoga watakaoenda kusaini kinyemela. Then asubuhi jtatu tutatoa tangazo based na wale watakaosaini hata kama hawatafanya kazi ( sasa hapa hawakuweka plan B ya kuwa je kama hii ikiwaongezea hasira zaidi na kugoma wote je wafanyeje?). Umeona madaktari bingwa wamesema nao wamegoma, weye bado unaendelea na plan A, kwa nini usimtaarifu aliyekuagiza kuwa utaonekana kituko ukiwndelea na hiyo plan? Au simu zao zilikuwa hazipatikani au hawapokei maana huwa ni one sided?learn to have plan A to Z.
 
Unajua vitu vingine bwana, kupotezeana muda tu. Kuna vitu vya kuuluza na kuuliza. Kweli mtu amekakamaa na remote mkononi, anaangalia TBC huku akitegemea itampatia au kukidhi matarajio na matamanio anayoyataka...eti baadae pia anatoka hadharani mbele za watu kulalamika. Kuwa kama Arusha, walishapiga marufuku. Huko hawana watu kabisa, labda Monduli kidogo jirani na kwa yule jamaa (na kwake pia). Lakini naye nasikia hawaamini sana, mambo yake mengi huenda Channel Ten.

Doing the same thing, the same way, kila siku, kisha utegemee matokeo mengine, sijui tuite ni kitu gani.

Mkuu unayeangalia TBC kisha unakuja kulalamika hadharani kazana, ongeza na bili ya Uhuru na Mzalendo kila Jumapili.

Kamanda mwanzisha thread, pole, maana wakati mwingine ni vyema kuambiwa ukweli kwa namna mbaya ili mtu achukue hatua chanya, kumsaidia na kusaidia wengine.

Iko siku wananci wenye akili wataandamana kudai haki na stahili zao TBC maana wanatumia fedha za walipa kodi kinyume kabisa na wanavyopaswa kuwajibika. Time will tell, ingawa ofcoz wengine tunajua walishaanza ku-feel the pains, kitambo, wanachofanya ni kuendelea kushikilia tawi la mti unaoanguka.
Mkuu kwa hiyo according to you habari za kweli daima ni zile zinazoipinga CCM na serikali yake?
 
Issue ya msingi hapa ni kwa nini TBC wanawadanganya wananchi kwamba MNH huduma zimeimarika mwisho wa siku mtu atafanya safari kutoka mbali kwa ku-rely news ya tbc na kukuta hamna huduma, sasa hawa TBC watarudisha gharama? Tuache ushabiki kwenye mambo mazito na yanayomgusa moja kwa moja mwananchi tena yule wa chini kabisa!
 
Unajua vitu vingine bwana, kupotezeana muda tu. Kuna vitu vya kuuluza na kuuliza. Kweli mtu amekakamaa na remote mkononi, anaangalia TBC huku akitegemea itampatia au kukidhi matarajio na matamanio anayoyataka...eti baadae pia anatoka hadharani mbele za watu kulalamika. Kuwa kama Arusha, walishapiga marufuku. Huko hawana watu kabisa, labda Monduli kidogo jirani na kwa yule jamaa (na kwake pia). Lakini naye nasikia hawaamini sana, mambo yake mengi huenda Channel Ten.

Doing the same thing, the same way, kila siku, kisha utegemee matokeo mengine, sijui tuite ni kitu gani.

Mkuu unayeangalia TBC kisha unakuja kulalamika hadharani kazana, ongeza na bili ya Uhuru na Mzalendo kila Jumapili.

Kamanda mwanzisha thread, pole, maana wakati mwingine ni vyema kuambiwa ukweli kwa namna mbaya ili mtu achukue hatua chanya, kumsaidia na kusaidia wengine.

Iko siku wananci wenye akili wataandamana kudai haki na stahili zao TBC maana wanatumia fedha za walipa kodi kinyume kabisa na wanavyopaswa kuwajibika. Time will tell, ingawa ofcoz wengine tunajua walishaanza ku-feel the pains, kitambo, wanachofanya ni kuendelea kushikilia tawi la mti unaoanguka.

Tumaini Makene.
Mbona ueleweki unatokwa na povu tu unalalamika bila data wote tumeona wagonjwa wanahojiwa muhimbili na tumesikia Dr akihojiwa...yaani wewe unataka Watanzania wote tuamini habari za Tanzania Daima? Wewe mwenyewe uaminiki ulileta umbeya humu JF na habari zako za vijiweni eti mbunge kafumaniwa kakatwa mapanga yupo hospital hoi...mtu kama wewe nani atakuamini badala ya kuleta habari unaleta ushabiki.
 
NI UPEPO TU UTAPITA, kisha JOSEPHAT JOSEPH tukasikia DHAIFU kisha LIWALO NA LIWE na sasa UNAWASHWAWASHWA.

Ni kweli upepo utapita. Lakini utakuwa umetuacha vipi baada ya kupita? Usije ukaondoka na paa la nyumba yetu maana tutalala nje. Usije ukatuvua nguo ukatuacha uchi! Tafakari.
 
Unajua vitu vingine bwana, kupotezeana muda tu. Kuna vitu vya kuuluza na kuuliza. Kweli mtu amekakamaa na remote mkononi, anaangalia TBC huku akitegemea itampatia au kukidhi matarajio na matamanio anayoyataka...eti baadae pia anatoka hadharani mbele za watu kulalamika. Kuwa kama Arusha, walishapiga marufuku. Huko hawana watu kabisa, labda Monduli kidogo jirani na kwa yule jamaa (na kwake pia). Lakini naye nasikia hawaamini sana, mambo yake mengi huenda Channel Ten.

Doing the same thing, the same way, kila siku, kisha utegemee matokeo mengine, sijui tuite ni kitu gani.

Mkuu unayeangalia TBC kisha unakuja kulalamika hadharani kazana, ongeza na bili ya Uhuru na Mzalendo kila Jumapili.

Kamanda mwanzisha thread, pole, maana wakati mwingine ni vyema kuambiwa ukweli kwa namna mbaya ili mtu achukue hatua chanya, kumsaidia na kusaidia wengine.

Iko siku wananci wenye akili wataandamana kudai haki na stahili zao TBC maana wanatumia fedha za walipa kodi kinyume kabisa na wanavyopaswa kuwajibika. Time will tell, ingawa ofcoz wengine tunajua walishaanza ku-feel the pains, kitambo, wanachofanya ni kuendelea kushikilia tawi la mti unaoanguka.
Miundo ya vyama vyetu vya siasa inafanana.
Hiyo poa, hata makatibu waenezi nao wawe na sifa zinazofanana?
Gzuz!!!
 
Back
Top Bottom