wabongo bhana yaan ww umeona cku hio tar 20 ukakuta magari yameadimika tayari umeshaconclude na kuwatuhuum wanahabari kuwa ni waongo...........we unajua wenzako wameanza fuatilia hio hali tangu lin??? yaan hata wenye mabas walihojiwa wakaongea ila ww nawe unakuja na stori yako ili tu kutuaminisha tofauti duh aisee!!!!Juzi siku ya Jumatatu tarehe 19 kwenye taarifa ya habari
ITV ni moja ya kituo kizuri sana hapa nchini hivyo inategemewa kuwa na uweledi katika kufanya kazi zake. Upotoshaji huu ni kwa maslahi ya nani?
Ndugu pengine ndio ile kusema una utapiamlo wa kufikiri, upepo wa biashara unaweza badilika kwa mda mfupi sana, sasa toka J3 hadi leo unategemea upate matokeo yale yale kwenye biashara?Juzi siku ya Jumatatu tarehe 19 kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku. Kituo cha ITV kiliripoti kuwa mabasi ya mikoani yamedoda kituo kikuu cha mabasi Ubungo kwa kukosa abiria ya kwenda Mikoani. Mwandishi Ufoo Saro ndiyo alikuwa ripota wa habari ile kama sijakosea.
Jana Jummane tarehe 20 nimekwenda Ubungo Stand kukata tiketi ya safari yangu, cha ajabu nikakuta magari yameshabukiwa na hakuna nafasi kwa safari niliyokuwa nayo ya Moshi. Hali iliyowalazimu Sumatra kuwapa kibali baadhi za daladala za Ubungo- Kibamba kupeleka abiria Mikoani. Nikabaki najiuliza kama hakuna abiria hizi daladala waliopewa kibali kwenda Mikoani za nini?
ITV ni moja ya kituo kizuri sana hapa nchini hivyo inategemewa kuwa na uweledi katika kufanya kazi zake. Upotoshaji huu ni kwa maslahi ya nani?
Juzi siku ya Jumatatu tarehe 19 kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku. Kituo cha ITV kiliripoti kuwa mabasi ya mikoani yamedoda kituo kikuu cha mabasi Ubungo kwa kukosa abiria ya kwenda Mikoani. Mwandishi Ufoo Saro ndiyo alikuwa ripota wa habari ile kama sijakosea.
Jana Jummane tarehe 20 nimekwenda Ubungo Stand kukata tiketi ya safari yangu, cha ajabu nikakuta magari yameshabukiwa na hakuna nafasi kwa safari niliyokuwa nayo ya Moshi. Hali iliyowalazimu Sumatra kuwapa kibali baadhi za daladala za Ubungo- Kibamba kupeleka abiria Mikoani. Nikabaki najiuliza kama hakuna abiria hizi daladala waliopewa kibali kwenda Mikoani za nini?
ITV ni moja ya kituo kizuri sana hapa nchini hivyo inategemewa kuwa na uweledi katika kufanya kazi zake. Upotoshaji huu ni kwa maslahi ya nani?
Wewe unatokwa mapovu kwa faida ya naniJuzi siku ya Jumatatu tarehe 19 kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku. Kituo cha ITV kiliripoti kuwa mabasi ya mikoani yamedoda kituo kikuu cha mabasi Ubungo kwa kukosa abiria ya kwenda Mikoani. Mwandishi Ufoo Saro ndiyo alikuwa ripota wa habari ile kama sijakosea.
Jana Jummane tarehe 20 nimekwenda Ubungo Stand kukata tiketi ya safari yangu, cha ajabu nikakuta magari yameshabukiwa na hakuna nafasi kwa safari niliyokuwa nayo ya Moshi. Hali iliyowalazimu Sumatra kuwapa kibali baadhi za daladala za Ubungo- Kibamba kupeleka abiria Mikoani. Nikabaki najiuliza kama hakuna abiria hizi daladala waliopewa kibali kwenda Mikoani za nini?
ITV ni moja ya kituo kizuri sana hapa nchini hivyo inategemewa kuwa na uweledi katika kufanya kazi zake. Upotoshaji huu ni kwa maslahi ya nani?
Wanafuata mkumbo tu na maneno Ya mtandaoni Kuwa hali mbaya Lakini si uhalisia..
Mimi mwenyewe jumanne ambayo ni Jana siku moja baada Ya taarifa hiyo nimeenda ubungo kumkatia tiketi Dada yangu Ya kwenda Mwanza cha ajabu naambiwa nafasi zimejaa hadi jumamosi au Nisubiri watanipa taarifa Kama Sumatra wataruhusu kuondoka gari la tatu siku Ya alhamisi tena basi zenyewe luxury za 45...!!
Mkuu sina video lakini kwa waliofuatilia taarifa ya habari ya Azam TV jana usiku, siku moja baada ya taarifa ya habari ya ITV unaweza kuelewa ninachosema.Una yako wewe sio bure. Mbona taarifa ilionesha picha ya video mabasi kweli yamepaki na hata mahojiano tumeona...wewe mawe weka picha tuamini.
Maisha ni magumu, umetumwa nini?
Mkuu uko sahihi siku haifanani. Lakini inawezekanaje siku moja baada ya taarifa ya ITV ya magari kudoda Sumatra watoe vibali ya daladala kupeleka abiria mikoani? Ina maana wale wenye daladala waliomba kibali kwenda mikoani wamepeleka daladala zikadode UBT?Siku hutofautiana....ndio maana ukisema kuna foleni jumatatu, ukienda jumanne usipokuta foleni DAR haimaanisha kuwa hakunaga foleni.
Siku hile na siku za nyuma mabasi yalikuwa mengi sana ya kwenda moshi hayajai, ndio maana hata wale wabeba mizigo wa ubungo waliongea walipohojiwa kuwa kwa kipindi hiki hawana mizigo sababu idadi ya watu imepungua kusafiri....
Yaelekea watu wameanza kusafiri hizi siku za usoni...