Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Sasa Hivi tunatoa au hatutoi?Wazungu walitaka tuipe unnecessary attention and luckily Magufuli never subscribed to this.
Tuna njaa na magonjwa mengi ambayo kimsingi yanaongoza kuua zaidi ya COVID-19, mbona hawakutaka tutoe takwimu?
Magufuli alienda nje ya box, and at the end dunia nzima inaelekea kwenye approach yake with slight improvements.
He handled it the best way.