Upotoshaji: Magufuli alidai kuyamaliza kabisa maovu yote Tanzania

Sang'udi

JF-Expert Member
May 16, 2016
8,259
19,075
Siku za karibuni kumeibuka upotoshaji wa makusudi, tena uliopangiliwa vizuri wa kuwa Magufuli alidai amemaliza rushwa, wizi na ufisadi nchini.

Hebu tutendeni haki, Magufuli hakuwahi kumaliza rushwa, wizi na ufisadi. Ila katika uongozi wake wa serikali na chama tulishuhudia juhudi za dhati za kupambana na rushwa, ujangili, wizi, ufisadi, madawa ya kulevya na huduma mbovu za umma.

Matokeo yake rushwa, ufisadi, ujangili, wizi, huduma mbovu na ufisadi ulipungua sana wakati wa uongozi wake arguably kuliko uongozi mwingine wowote tulioushuhudia katika kizazi chetu.

Tangu kuuawa kwake; yote hayo yamerudi kwa kasi zaidi na serikali iliyopo hata haijali, ndio kwanza inahimiza watu kula kwa urefu wa kamba zao.

Ninatoa wito wa serikali kupambana kwa dhati na maovu haya yanayokua kwa kasi wakati huu.

Unless otherwise; Kanda ya Ziwa, wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsubiri kwa hamu come 2025.

Rest in Peace our most loved President.

Kheri ya Pasaka nyote.
 
Hakuna mtu aliwahi kumaliza maovu duniani, ila hupambana nayo kwa dhati.

Yesu Kristu, pamoja na kuwa Mungu kweli na mwanadamu kweli alipambana na dhambi lakini haijaisha mpaka leo.

Tuache upotoshaji.
 
Siku za karibuni kumeibuka upotoshaji wa makusudi, tena uliopangiliwa vizuri wa kuwa Magufuli alidai amemaliza rushwa, wizi na ufisadi nchini.

Hebu tutendeni haki, Magufuli hakuwahi kumaliza rushwa, wizi na ufisadi. Ila katika uongozi wake wa serikali na chama tulishuhudia juhudi za dhati za kupambana na rushwa, ujangili, wizi, ufisadi, madawa ya kulevya na huduma mbovu za umma.

Matokeo yake rushwa, ufisadi, ujangili, wizi, huduma mbovu na ufisadi ulipungua sana wakati wa uongozi wake arguably kuliko uongozi mwingine wowote tulioushuhudia katika kizazi chetu.

Tangu kuuawa kwake; yote hayo yamerudi kwa kasi zaidi na serikali iliyopo hata haijali, ndio kwanza inahimiza watu kula kwa urefu wa kamba zao.

Ninatoa wito wa serikali kupambana kwa dhati na maovu haya yanayokua kwa kasi wakati huu.

Unless otherwise; Kanda ya Ziwa, wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsubiri kwa hamu come 2025.

Rest in Peace our most loved President.

Kheri ya Pasaka nyote.
Mmeanza kuweka CD upsidedown? Mtasema yote safari hii.😂😂😂😂
 
Ndio maana Magufuli kila alikoenda bado aligombana na wasaidizi wake walioshindwa kupambana na uovu au waliofanya maovu - Ushahidi wa wazi kuwa uovu haukuisha ila alipambana nao kwa nguvu na akili zote.
 
Ninaona wanasiasa na viongozi wa dini uchwara wanapotosha sana.

Unadhani hatujui ukweli ulivyokuwa? Yeye alidhibiti vyombo vya habari visitoe habari hasi dhidi ya serikali yake, huku akishurutisha data za kupika zitangazwe kila mara ili kuhadaa umma. Mfano halisi ni udhibiti wa habari za ugonjwa, wagonjwa na vifo vya Covid, kisha akaitisha maombi fake na kusema cha covid imetoweka nchini kutokana na maombi yale fake.

Hiyo kanda ya ziwa mnayotishia nayo watu labda muwatishie wajinga, maana kama Magufuli mwenyewe angekuwa anajiamini na hiyo kanda ya ziwa asingenajisi uchaguzi wa 2020. Isitoshe kwasasa watu wengi wamelipuuza box la kura, na Magufuli akiwa ndio chanzo. Hivyo watawala wengine wa ccm hawatajali kura za hao watu wachache sana watakaojitokeza kupiga kura, bali watajitangaza na vibaka wao. Labda mlete machafuko.
 
Bahati nzuri wanaoelewa alichokifanya wako thabiti wanawachora wanaohangaika kumchafua. Chadema na ACT wameingia mkenge baada ya kuuza mechi CCM. 2025 siyo CCM na upinzani bali Magufuli damdam na wapinzani wake.
 
Bahati nzuri wanaoelewa alichokifanya wako thabiti wanawachora wanaohangaika kumchafua. Chadema na ACT wameingia mkenge baada ya kuuza mechi CCM. 2025 siyo CCM na upinzani bali Magufuli damdam na wapinzani wake.

Yeye mwenyewe alikuwa anategemea kupora uchaguzi, ndio itakuwa nyie wabeba briefcase wake mlete changamoto?
 
Tangu kuuawa kwake;
Mkuu unaweza kuthibitisha pasina shaka kuwa Magufuli aliuawa?


Unless otherwise; Kanda ya Ziwa, wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsubiri kwa hamu come 2025.
CCM ni professional wa kuiba kura. Na mwaka 2020 Magufuli aliinjinia wizi mkubwa wa chaguzi kupata kutokea tangu tupate uhuru.

Nini kinakuaminisha hizo kura zenu za kanda ya ziwa zitahesabiwa na mtangazwe washindi? CCM wao walivyo hawategemei kura watashinda hata msipowapa kura. Hili pia alilisema Rais Samia wakati wa kampeni 2020
 
Siku za karibuni kumeibuka upotoshaji wa makusudi, tena uliopangiliwa vizuri wa kuwa Magufuli alidai amemaliza rushwa, wizi na ufisadi nchini.

Hebu tutendeni haki, Magufuli hakuwahi kumaliza rushwa, wizi na ufisadi. Ila katika uongozi wake wa serikali na chama tulishuhudia juhudi za dhati za kupambana na rushwa, ujangili, wizi, ufisadi, madawa ya kulevya na huduma mbovu za umma.

Matokeo yake rushwa, ufisadi, ujangili, wizi, huduma mbovu na ufisadi ulipungua sana wakati wa uongozi wake arguably kuliko uongozi mwingine wowote tulioushuhudia katika kizazi chetu.

Tangu kuuawa kwake; yote hayo yamerudi kwa kasi zaidi na serikali iliyopo hata haijali, ndio kwanza inahimiza watu kula kwa urefu wa kamba zao.

Ninatoa wito wa serikali kupambana kwa dhati na maovu haya yanayokua kwa kasi wakati huu.

Unless otherwise; Kanda ya Ziwa, wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsubiri kwa hamu come 2025.

Rest in Peace our most loved President.

Kheri ya Pasaka nyote.
Bora uwasaidie brainwashed wenzio wafahamu,kuwa juhudi kubwa zilifanywa kuwapotosha waonekila kituo kilifanywa Kwa ukamilifu uliotukuka🤔
 
Back
Top Bottom