wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,008
- 28,342
Huenda ni ile ukipiga chafya inazimaina mapepo hiyo.. Inahitaji kupepewa
Huenda ni ile ukipiga chafya inazimaina mapepo hiyo.. Inahitaji kupepewa
Duh....... Simu utadhani imetoka sayari ya Mars
Inaingiza charge hadi kupitilizaDuh....... Simu utadhani imetoka sayari ya Mars
Pepo majununiPepo kisirani
Hii ya kwangu haijatimiza hata mwezi, niliinunua mwisho wa mwezi wa sita duka la Tigo.Hiyo ni Hali ya kawaida kwa sisi watumiaji nguli wa tecno, tunao elewa maana ya tecno huwa hatukai na simu zaid ya mwaka 1 tunauza ikafie kwa mtu mwngne
Inaingiza charge hadi kupitiliza
Ngoja niiache nione mwisho wake itafika ngapiItaenda Hadi buku

Iwe inaongeza na akiba kwenye M PesaNgoja niiache nione mwisho wake itafika ngapi![]()
Juzi kati hapa kuna mwenzetu alileta Uzi kuhusu tatizo la Tecno yake na wewe ukadhihaki...na Mimi ngoja niwapigie Tecno waje wachukuwe hiyo takataka yao!Simu yangu ni utopolo mtupu, unaweza ukawa uko kwenye application nyingine kabisa ie uko kwenye chrome, mara ghafla unakuta simu inajipiga yenyewe kwa namba yoyote ya kwenye phone book.
Ukiiweka mfukoni unakuta imejirekodi mavideo na imejipiga mapicha zaidi ya buku.
Betri inapata moto sana kiasi kwamba kama simu iko mfukoni inakuunguza kabisa. Inabidi uizime na uiache ipoe.
Simu hii ikiwa mfukoni unakuta imejituma meseji ya ajabu na inajituma kwa mtu yoyote, na muhanga mkubwa ni baba mkwe.
Kuna siku ilijituma SMS kuwa ninaomba hela ya kula, na kuna siku ikajituma sms kwa ex-girlfriend wangu kuwa I love you, without you I am nothing.
Pia hi simu haikai kabisa na chaji. Ikiwa full charge, baada ya masaa matatu Inakubudi uiweke Tena chaji.
Simu iko slow, ukifungua browser, unaweza kukaa dakika sita huoni herufi
Hii simu nimeinunua kwenye duka la Tigo, mwishoni mwa mwezi wa sita. Aina ya simu ni tecno S3
Ndugu zetu TECNO Tanzania 🇹🇿 ongeeni na Wachina wenu waboreshe bidhaa.
Ukinunua Iphone za mchina of couse lazima iwe hivyo. Lakini kama ni Iphone ya Apple basi utakuwa unatupiga fix hapa.Hiyo itakuwa na kasoro toka kiwandani. Dosari hizo hazijalishi aina ya simu.
Me niliwahi nunua iphone, ikaniletea zengwe la hivyo nikaipiga chini mapema sana.
Hivi mkuu,vipi yule rafiki yako hajakutafuta tena?Simu yangu ni utopolo mtupu, unaweza ukawa uko kwenye application nyingine kabisa ie uko kwenye chrome, mara ghafla unakuta simu inajipiga yenyewe kwa namba yoyote ya kwenye phone book.
Ukiiweka mfukoni unakuta imejirekodi mavideo na imejipiga mapicha zaidi ya buku.
Betri inapata moto sana kiasi kwamba kama simu iko mfukoni inakuunguza kabisa. Inabidi uizime na uiache ipoe.
Simu hii ikiwa mfukoni unakuta imejituma meseji ya ajabu na inajituma kwa mtu yoyote, na muhanga mkubwa ni baba mkwe.
Kuna siku ilijituma SMS kuwa ninaomba hela ya kula, na kuna siku ikajituma sms kwa ex-girlfriend wangu kuwa I love you, without you I am nothing.
Pia hi simu haikai kabisa na chaji. Ikiwa full charge, baada ya masaa matatu Inakubudi uiweke Tena chaji.
Simu iko slow, ukifungua browser, unaweza kukaa dakika sita huoni herufi
Hii simu nimeinunua kwenye duka la Tigo, mwishoni mwa mwezi wa sita. Aina ya simu ni tecno S3
Ndugu zetu TECNO Tanzania 🇹🇿 ongeeni na Wachina wenu waboreshe bidhaa.
Wewe Bujibuji jiangalie Mkuu, Hiyo uliyonayo siyo simu bali ni Msukule wa Simu. Naamini simu halisi alibaki nayo yuleeeeee rafiki yako uliyeambiwa ulamsalimie baada ya Kugonga taa ya Benzi Lake. Na bado Mkuuu mwaka huu lazima uisome namba teheteheeeeeeeSimu yangu ni utopolo mtupu, unaweza ukawa uko kwenye application nyingine kabisa ie uko kwenye chrome, mara ghafla unakuta simu inajipiga yenyewe kwa namba yoyote ya kwenye phone book.
Ukiiweka mfukoni unakuta imejirekodi mavideo na imejipiga mapicha zaidi ya buku.
Betri inapata moto sana kiasi kwamba kama simu iko mfukoni inakuunguza kabisa. Inabidi uizime na uiache ipoe.
Simu hii ikiwa mfukoni unakuta imejituma meseji ya ajabu na inajituma kwa mtu yoyote, na muhanga mkubwa ni baba mkwe.
Kuna siku ilijituma SMS kuwa ninaomba hela ya kula, na kuna siku ikajituma sms kwa ex-girlfriend wangu kuwa I love you, without you I am nothing.
Pia hi simu haikai kabisa na chaji. Ikiwa full charge, baada ya masaa matatu Inakubudi uiweke Tena chaji.
Simu iko slow, ukifungua browser, unaweza kukaa dakika sita huoni herufi
Hii simu nimeinunua kwenye duka la Tigo, mwishoni mwa mwezi wa sita. Aina ya simu ni tecno S3
Ndugu zetu TECNO Tanzania 🇹🇿 ongeeni na Wachina wenu waboreshe bidhaa.
Bujibuji ukienda kuangalia katuni kwa yule rafiki yako wa Mbezi beach muombe akupe simu, mwambie simu yako tayari ime expire.Iwe inaongeza na akiba kwenye M Pesa
Mkuu si ungenunua sim mpya si ulipewa pesa na yule mzee wake na rafiki yakoSimu yangu ni utopolo mtupu, unaweza ukawa uko kwenye application nyingine kabisa ie uko kwenye chrome, mara ghafla unakuta simu inajipiga yenyewe kwa namba yoyote ya kwenye phone book.
Ukiiweka mfukoni unakuta imejirekodi mavideo na imejipiga mapicha zaidi ya buku.
Betri inapata moto sana kiasi kwamba kama simu iko mfukoni inakuunguza kabisa. Inabidi uizime na uiache ipoe.
Simu hii ikiwa mfukoni unakuta imejituma meseji ya ajabu na inajituma kwa mtu yoyote, na muhanga mkubwa ni baba mkwe.
Kuna siku ilijituma SMS kuwa ninaomba hela ya kula, na kuna siku ikajituma sms kwa ex-girlfriend wangu kuwa I love you, without you I am nothing.
Pia hi simu haikai kabisa na chaji. Ikiwa full charge, baada ya masaa matatu Inakubudi uiweke Tena chaji.
Simu iko slow, ukifungua browser, unaweza kukaa dakika sita huoni herufi
Hii simu nimeinunua kwenye duka la Tigo, mwishoni mwa mwezi wa sita. Aina ya simu ni tecno S3
Ndugu zetu TECNO Tanzaniaongeeni na Wachina wenu waboreshe bidhaa.
Me nadhani zinakuwa zimehakikiwa isipokuwa 1/100 mbovu huweza kupenya kama hivyo.Hivi hamna kufanyika quality assurance kabla bidhaa kuingoa sokoni?