Upotolo wa simu yangu

Upotolo wa simu yangu

Hiyo ni Hali ya kawaida kwa sisi watumiaji nguli wa tecno, tunao elewa maana ya tecno huwa hatukai na simu zaid ya mwaka 1 tunauza ikafie kwa mtu mwngne
Hii ya kwangu haijatimiza hata mwezi, niliinunua mwisho wa mwezi wa sita duka la Tigo.
Hivi Manchester City wanakubalije kudhaminiwa na huu Utopolo?
 
Simu yangu ni utopolo mtupu, unaweza ukawa uko kwenye application nyingine kabisa ie uko kwenye chrome, mara ghafla unakuta simu inajipiga yenyewe kwa namba yoyote ya kwenye phone book.

Ukiiweka mfukoni unakuta imejirekodi mavideo na imejipiga mapicha zaidi ya buku.

Betri inapata moto sana kiasi kwamba kama simu iko mfukoni inakuunguza kabisa. Inabidi uizime na uiache ipoe.

Simu hii ikiwa mfukoni unakuta imejituma meseji ya ajabu na inajituma kwa mtu yoyote, na muhanga mkubwa ni baba mkwe.

Kuna siku ilijituma SMS kuwa ninaomba hela ya kula, na kuna siku ikajituma sms kwa ex-girlfriend wangu kuwa I love you, without you I am nothing.

Pia hi simu haikai kabisa na chaji. Ikiwa full charge, baada ya masaa matatu Inakubudi uiweke Tena chaji.

Simu iko slow, ukifungua browser, unaweza kukaa dakika sita huoni herufi

Hii simu nimeinunua kwenye duka la Tigo, mwishoni mwa mwezi wa sita. Aina ya simu ni tecno S3
Ndugu zetu TECNO Tanzania 🇹🇿 ongeeni na Wachina wenu waboreshe bidhaa.
Juzi kati hapa kuna mwenzetu alileta Uzi kuhusu tatizo la Tecno yake na wewe ukadhihaki...na Mimi ngoja niwapigie Tecno waje wachukuwe hiyo takataka yao!
 
Hiyo itakuwa na kasoro toka kiwandani. Dosari hizo hazijalishi aina ya simu.

Me niliwahi nunua iphone, ikaniletea zengwe la hivyo nikaipiga chini mapema sana.
Ukinunua Iphone za mchina of couse lazima iwe hivyo. Lakini kama ni Iphone ya Apple basi utakuwa unatupiga fix hapa.
 
Huu uzi vijana wa yanga wataupita kama hawajaona kitu.
 
Simu yangu ni utopolo mtupu, unaweza ukawa uko kwenye application nyingine kabisa ie uko kwenye chrome, mara ghafla unakuta simu inajipiga yenyewe kwa namba yoyote ya kwenye phone book.

Ukiiweka mfukoni unakuta imejirekodi mavideo na imejipiga mapicha zaidi ya buku.

Betri inapata moto sana kiasi kwamba kama simu iko mfukoni inakuunguza kabisa. Inabidi uizime na uiache ipoe.

Simu hii ikiwa mfukoni unakuta imejituma meseji ya ajabu na inajituma kwa mtu yoyote, na muhanga mkubwa ni baba mkwe.

Kuna siku ilijituma SMS kuwa ninaomba hela ya kula, na kuna siku ikajituma sms kwa ex-girlfriend wangu kuwa I love you, without you I am nothing.

Pia hi simu haikai kabisa na chaji. Ikiwa full charge, baada ya masaa matatu Inakubudi uiweke Tena chaji.

Simu iko slow, ukifungua browser, unaweza kukaa dakika sita huoni herufi

Hii simu nimeinunua kwenye duka la Tigo, mwishoni mwa mwezi wa sita. Aina ya simu ni tecno S3
Ndugu zetu TECNO Tanzania 🇹🇿 ongeeni na Wachina wenu waboreshe bidhaa.
Hivi mkuu,vipi yule rafiki yako hajakutafuta tena?
 
Simu yangu ni utopolo mtupu, unaweza ukawa uko kwenye application nyingine kabisa ie uko kwenye chrome, mara ghafla unakuta simu inajipiga yenyewe kwa namba yoyote ya kwenye phone book.

Ukiiweka mfukoni unakuta imejirekodi mavideo na imejipiga mapicha zaidi ya buku.

Betri inapata moto sana kiasi kwamba kama simu iko mfukoni inakuunguza kabisa. Inabidi uizime na uiache ipoe.

Simu hii ikiwa mfukoni unakuta imejituma meseji ya ajabu na inajituma kwa mtu yoyote, na muhanga mkubwa ni baba mkwe.

Kuna siku ilijituma SMS kuwa ninaomba hela ya kula, na kuna siku ikajituma sms kwa ex-girlfriend wangu kuwa I love you, without you I am nothing.

Pia hi simu haikai kabisa na chaji. Ikiwa full charge, baada ya masaa matatu Inakubudi uiweke Tena chaji.

Simu iko slow, ukifungua browser, unaweza kukaa dakika sita huoni herufi

Hii simu nimeinunua kwenye duka la Tigo, mwishoni mwa mwezi wa sita. Aina ya simu ni tecno S3
Ndugu zetu TECNO Tanzania 🇹🇿 ongeeni na Wachina wenu waboreshe bidhaa.
Wewe Bujibuji jiangalie Mkuu, Hiyo uliyonayo siyo simu bali ni Msukule wa Simu. Naamini simu halisi alibaki nayo yuleeeeee rafiki yako uliyeambiwa ulamsalimie baada ya Kugonga taa ya Benzi Lake. Na bado Mkuuu mwaka huu lazima uisome namba teheteheeeeeee
 
Simu yangu ni utopolo mtupu, unaweza ukawa uko kwenye application nyingine kabisa ie uko kwenye chrome, mara ghafla unakuta simu inajipiga yenyewe kwa namba yoyote ya kwenye phone book.

Ukiiweka mfukoni unakuta imejirekodi mavideo na imejipiga mapicha zaidi ya buku.

Betri inapata moto sana kiasi kwamba kama simu iko mfukoni inakuunguza kabisa. Inabidi uizime na uiache ipoe.

Simu hii ikiwa mfukoni unakuta imejituma meseji ya ajabu na inajituma kwa mtu yoyote, na muhanga mkubwa ni baba mkwe.

Kuna siku ilijituma SMS kuwa ninaomba hela ya kula, na kuna siku ikajituma sms kwa ex-girlfriend wangu kuwa I love you, without you I am nothing.

Pia hi simu haikai kabisa na chaji. Ikiwa full charge, baada ya masaa matatu Inakubudi uiweke Tena chaji.

Simu iko slow, ukifungua browser, unaweza kukaa dakika sita huoni herufi

Hii simu nimeinunua kwenye duka la Tigo, mwishoni mwa mwezi wa sita. Aina ya simu ni tecno S3
Ndugu zetu TECNO Tanzania ongeeni na Wachina wenu waboreshe bidhaa.
Mkuu si ungenunua sim mpya si ulipewa pesa na yule mzee wake na rafiki yako
 
Na bado hapo kuna siku utaweka mfukoni kuitoa utakuta imeomba mkopo tala, branch, imepost picha Jf, WhatsApp, inatuma sms za mchepuko kwa mkeo🤦🤣😅🤪
 
Back
Top Bottom