Bullycheka
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 560
- 492
Kwani katiba/sheria zinaaemaje juu hao mawaziri wakuu wastaafu?Raila Odinga Waziri Mkuu mstaafu wa Kenya ameondolewa Ulinzi ambao alikuwa anapewa na Serikali kama Waziri Mkuu, kwetu Raisi wetu anaitwa Dikteta wkt Lowasa na Sumaye wanalindwa na kulipwa na Serikali yetu inayoongozwa na Raisi wetu ambaye akiamua wananyang'anywa mara moja, wewe Sumaye tema mate chini, kwanza mtu mwenyewe Fisadi halafu unaleta kibesi, ...
Usije ukawa umekurupuka isingizini