Upole unawagharimu wanaume wengi

Upole unawagharimu wanaume wengi

We hujui siku ya hatari ndiyo utamu unakuwa mwingi embu msitunyase hata sisi tuna genye loh

basi ndio hapo nasema ni kiherehere chao wale wote wanaopata mimba kabla ya ndoa.

Kwasababu wao wanafikiria kukitulia kinapoanza kutoa machoz
 
Dawa ya mwanamke jeuri ni kumuolea mwanamke mwingine na dawa ya mwanaume bahili ni kumtafutia mwenye pesa zaidi yake. hahaa hahhaa!!!!!

sio maneno yangu mie.
Good..!! Kwahiyo wewe ukiwa jeuri?


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Duhhhh yaani ndio umempoteza rafiki yako , huo mchepuko nao ukianza wenge basi jamaa ata dead fasta

Ndo mana nawachukia marafiki Wa mumewangu kwa tabia hizi hizi. Nya...fu!!
 
Good..!! Kwahiyo wewe ukiwa jeuri?


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Tafadhari babu usichokonoe mtima wangu,, mimi nishawahi kukufanyia ujeurii????
Mimi nawaambia wanaume wenye wanawake wajeuriii
Chonde laazizi usiniue kwa puresha mie.
 
Huyo mmoja uliemtafutia hatoshi ongeza mmoja wawe wa3
 
Mungu alilijua hilo ndio maana akaamrisha wanaume tuoe wanawake zaid ya m1.
 
Kwa sababu sisi hatuna nyege au hatusimamishi au akili za juu haziamii chini kama wewe unaweza kutokewa na yote hayo pia sisi tunaweza ukiona hivyo tumia condom au mwaga nje au acha kabisa kutugusa gusa
Miss chagga mbona unaongea kama mwanamke alieachika? Usinielewe vibaya nauliza tu.
 
Mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe.

Unaweza kumshauri amdhibiti mkewe, kumbe jamaa anapenda kudhibitiwa.

Yaani mtu anahangaika na mambo ya mtu utafikiri yeye hana yake yanayotaka uangalifu wake!
 
Miss chagga mbona unaongea kama mwanamke alieachika? Usinielewe vibaya nauliza tu.

Mbona unajihami kabla sijakupa ya uso...sijaachika ila napotakiwa kuongea ukwel siwezi ficha sasa njimwaye mwaye mwishowe muingie kingi kumbe kitu fake mchina haoni ndani ha ha ha siri anayo Mungu
 
Kwa hiyo kwako kati ya upole na kuchepuka ni kipi kibaya? Aina gani ya huruma hiyo?
 
Yaani mtu anahangaika na mambo ya mtu utafikiri yeye hana yake yanayotaka uangalifu wake!

Tatizo la ukosefu wa ajira hujidhihirisha kwa namna nyingi sana.

Mimi nina miripoti ya kuandika kuhusu malaki ya assets yenye thamani ya makumi ya mamilioni ya dola na kubeba habari zenye thamani ya mabilioni ya dola kwa tight deadlines zinazoangaliwa na regulatory bodies na external auditors, nitapata wapi muda wa kumuangalia fulani anaishije?
 
Tatizo la ukosefu wa ajira hujidhihirisha kwa namna nyingi sana.

Mimi nina miripoti ya kuandika kuhusu malaki ya assets yenye thamani ya makumi ya mamilioni ya dola na kubeba habari zenye thamani ya mabilioni ya dola kwa tight deadlines zinazoangaliwa na regulatory bodies na external auditors, nitapata wapi muda wa kumuangalia fulani anaishije?

Mkuu hii ni zaidi ya kukosa ajira, nafikiri kuna watu wana hiyo tabia tu. Yaani hata kama jambo halimuhusu hata kidogo atataka alipekechue weee! tena afadhali ingekua anafanya hivyo kwa nia ya kutafuta suuhu au kusaidia, anataka apate cha kuongea.

Ndio maana siku hizi mzito sana kuomba ushauri kwa watu, kwani kila mtu ana mizigo yake huenda wewe una ahueni, unapoenda kumtaka msaada unafikiri atafanyaje, akiwa muungwana atanyamaza hata kama hatakusaidia, vinginevyo ndio utakuta mambo kama haya mtu anakuja kukuanzishia uzi JF!...
 
Tafadhari babu usichokonoe mtima wangu,, mimi nishawahi kukufanyia ujeurii????
Mimi nawaambia wanaume wenye wanawake wajeuriii
Chonde laazizi usiniue kwa puresha mie.

Hata hujanifanyia jeuri kipenzi changu.... Nimeshakuelewa vizuri sana staki hata nipate presha na wala staki kukupoteza mpenzi..!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hata hujanifanyia jeuri kipenzi changu.... Nimeshakuelewa vizuri sana staki hata nipate presha na wala staki kukupoteza mpenzi..!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Niliona umeanza ukali nikajua babu umepata mwingine huko unakojifanya unasimamia vibarua.
 
Back
Top Bottom