MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,553
- 41,467
wachawi hao kama nini,utampiga mkeo nakwambia badala yake...jaribu utanambia
kwa hiyo umerogwa hadi akili umeshikwa kwa mchepuko wako ??
wachawi hao kama nini,utampiga mkeo nakwambia badala yake...jaribu utanambia
wakati unakojoa alafu unakataa mtoto nyie ndiyo mba mnasababisha yote hayoNaaum hasa ya kutupa vichanga,
kiumbe kisicho hatia toka tumboni mwako.
wakati unakojoa alafu unakataa mtoto nyie ndiyo mba mnasababisha yote hayo
Tatizo wewe hujui nini maana ya ndoa ndio maana umemshawishi mwenzio na kumtafutia mwanamke mwingine. Wewe sio rafiki wa manufaa kwake bali ni rafiki maslai. Wewe ungekuwa rafiki yangu ukanipa ushauri wa kipuuzi kama huo nadhani huo ndio utakuwa mwisho wa urafiki yetu. Hivi mke wake akigundua wewe utamsaidiaje, hivi wewe unaishi nao ndani au una lala nao kitandani kujua hasa ya moyoni mwao? Nyinyi ndio mnaokatisha tamaa ya watu wanaotaka kuingia kwenye ndoa kwa kutoa mitazamo hasi
mwanamke kupata mimba kabla ya ndoa ni kiherehere chake.
Huyo ni mbwege hana cha ucha Mungu wala nini. Tena apangiwe na siku za kupika kabisa huyo hafai kabisa limtu gani halijitambuiHuyo rafiki yako naye ni pimbi tu inamaana yeye hajachanganya na za kwake?
Halafu ni mtu mkubwa kanisani wakati huohuo ni mdogo nyumbani kwake.
mwanamke kupata mimba kabla ya ndoa ni kiherehere chake.
kwa hiyo umerogwa hadi akili umeshikwa kwa mchepuko wako ??
Wenye akili ni wale
maowapandia vichwani:embarrassed1:
Kwa sababu sisi hatuna nyege au hatusimamishi au akili za juu haziamii chini kama wewe unaweza kutokewa na yote hayo pia sisi tunaweza ukiona hivyo tumia condom au mwaga nje au acha kabisa kutugusa gusa
Ni kauli ya nin hii? ;Nikumbusheni!.
sasa nisipokugusa nani ataipandisha akili kichwan iliyoshuka chini?
Hapo kwenye kondom hapo nyinyi wenyew mnakuwa wa kwanza kuzikataa mnasema znaleta kansa au hazina utam
hapo kwenye kumwaga nje mkiona njemba inaongeza kas mnaikumbatia kwa nguvu ili ikukojolee ndan.
Kwann ww uniletee papuchi wakat unajua upo siku za hatari?
Tatzo lenu ile kitu ikaanza kutoa lubricant na kuwa chapachapa hamkumbuki tena tahadhar unaing'ang'ania iingie tu.
imeandikwawapo wenye akili wanaojitambua na wala hakuna anayewapandia kichwani shida ukipewa akili za mbwa huwezi ona kama kuna wenye akili