Upinzani waruhusiwa kukagua mitambo ya tume ya uchaguzi Kenya

uhuru mwagai alishinda kesi ya the heg ambayo waendesha mashtaka wakiwemo majaji neno rushwa ni haramu kwao na mjomba kenyata akashinda kesi hio,je kwa walala hoi na wasaka kwanja asi shinde kesi hio,ni kijikesi tu kinaendeshwa kwa mfumo flani wakuonesha kua mahakama ipo na haki ila !!! uhuru ndie kiongozi alie tangazwa na tume !!this is east africa !!
 
Tuace unafiki wametuacha mbali sana na katika mengi. Mahakama na mfumo wake iko huru kuliko kwetu. Katiba yao ni shirikishi kuliko yetu na zaidi tume yao iko huru zaidi kuliko yetu. Uchumi wametuzidi sana tu sisi mhata tukichanga nchi zote zilizosalia EA ndio tunawafikia. Wao wana viwanda sisi tuna Vi wonder.
Nimeona hata kesi ikiwa inaendelea, lakini wananchi hawakatazwi kujadiliana yanayoendelea mahakamani kupitia tv, radio n.k. tofauti na kwetu ambapo huruhusiwi kabisa kuzungumzia chochote kwa jambo lililoko mahakamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuace unafiki wametuacha mbali sana na katika mengi. Mahakama na mfumo wake iko huru kuliko kwetu. Katiba yao ni shirikishi kuliko yetu na zaidi tume yao iko huru zaidi kuliko yetu. Uchumi wametuzidi sana tu sisi mhata tukichanga nchi zote zilizosalia EA ndio tunawafikia. Wao wana viwanda sisi tuna Vi wonder.
Nimeona hata kesi ikiwa inaendelea, lakini wananchi hawakatazwi kujadiliana yanayoendelea mahakamani kupitia tv, radio n.k. tofauti na kwetu ambapo huruhusiwi kabisa kuzungumzia chochote kwa jambo lililoko mahakamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukabila na ukanda hayo ni matatizo yao kama wa kenya hiyo ndo tamaduni yao...na ukabila na ukanda is not one of the criteria of democracy...yaan hatu determine democracy kwa kuangalia wanavoishi wao kama tamaduni ila transparency, gov accountability,rule of law, freedom of expression and good governance,...........hayo ya ukabila ni mambo yao ya ndani wala haya athiri hizo sifa apo juu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukabila na ukanda unaondoa dhana ya demokrasia, kwasababu kila siku wenye nguvu ndio watafaidi matunda ya demokrasia au kabila lenye watu wengi ndio watashinda mdahalo. Na ndio maana itachikuwa miaka mingi kwa mtu kutoka Mombasa au Turkana au Umasaini kuwa rais wa Kenya.
 
Tuace unafiki wametuacha mbali sana na katika mengi. Mahakama na mfumo wake iko huru kuliko kwetu. Katiba yao ni shirikishi kuliko yetu na zaidi tume yao iko huru zaidi kuliko yetu. Uchumi wametuzidi sana tu sisi mhata tukichanga nchi zote zilizosalia EA ndio tunawafikia. Wao wana viwanda sisi tuna Vi wonder.
Tatizo wapinzani wa huku ni wanafiki sana coz wao matokeo ya vituo vyote wanakuwa nayo kabla hayajafikishwa tume kwanini akati mwenyekiti anatangaza matokeo feki wasiende mahakaman wanasubir mpk mtu ametangazwa mshindi ndo wanasema hatukubaliani na matokeo akati nafasi ya kwenda mahakamani inakuwa ishafinywa na katiba? Matokeo tunakuwa nayo mwenyekiti akimaliza kusoma matokeo ya majimbo yote anaita mawakala wa vyama vyote waingie ndani kujumlisha sisi hatupeleki mawakala akati tunajua matokeo yamechakachuliwa huu c ndo uzwazwa mshindi akishatangazwa tunaanza kusema tumeibiwa huu ni ujinga wa kiwango cha kibashite

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuace unafiki wametuacha mbali sana na katika mengi. Mahakama na mfumo wake iko huru kuliko kwetu. Katiba yao ni shirikishi kuliko yetu na zaidi tume yao iko huru zaidi kuliko yetu. Uchumi wametuzidi sana tu sisi mhata tukichanga nchi zote zilizosalia EA ndio tunawafikia. Wao wana viwanda sisi tuna Vi wonder.
Kinachokufurahisha nini hapo. Umasikini wako wa akili na mali ndo vinalifanya taifa lako kuwa masikini pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuace unafiki wametuacha mbali sana na katika mengi. Mahakama na mfumo wake iko huru kuliko kwetu. Katiba yao ni shirikishi kuliko yetu na zaidi tume yao iko huru zaidi kuliko yetu. Uchumi wametuzidi sana tu sisi mhata tukichanga nchi zote zilizosalia EA ndio tunawafikia. Wao wana viwanda sisi tuna Vi wonder.
Sio lazima useme hiyo iko wazi kitakwimu za kimataifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukabila na ukanda unaondoa dhana ya demokrasia, kwasababu kila siku wenye nguvu ndio watafaidi matunda ya demokrasia au kabila lenye watu wengi ndio watashinda mdahalo. Na ndio maana itachikuwa miaka mingi kwa mtu kutoka Mombasa au Turkana au Umasaini kuwa rais wa Kenya.
Kwani Merakani hawana ukabila? Uturuki hawana ukabila? Leo hivi ni vigumu sana mtu mwenye asili ya Latino kuchaguliwa rais na Obama alipata baada ya miaka 235 ya ubaguzi .Pale Uturuki vigumu sana mtu mwenye asili ya Kurdish kuwa rais wa Uturuki.
 
Kudanganyana tu, mtaalamu wa IT yupo wapi ?!
Wamerhusiwa kukagua mitambo ya IEBC ,mwaka juzi wakafanya fujo hadi maafisa wa tume wakabadilshwa sasa udanganyifu upo wapi? Waliambiwa mara nyingi kwamba IEBC haipigi kura lakini bado wana vijisababu vya kijinga.
 
Yupo jamaa mmoja mtaalam toka ulaya aliAnza kazi kenya, alifanya kazi kenya miaka mitano halafu akaenda Uganda akashangaa jinsi Uganda walivyo nyuma kwa Kenya akasema wako nyuma miaka 20. Akafanya kazi miaka mitano pale Uganda baadaye akaamia Kwetu akashangaa sana jinsi tulivyo nyuma kulinganisha na Uganda akasema tuko nyuma miaka kumi. Sikubisha wala kuuliza kwa sababu sijawahi kuishi Uganda wala Kenya hapo ni kiuchumi na kimiundo. Je ni kwelli? Au alikuwa ananipa changamoto?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuweni wazalendo,ipendeni inchi yenu,hata kama hakuna maendeleo semeni yapo,musikubali kubaki nyuma.Tetea nchi yako hata kwa kusema uwongo.
 
Back
Top Bottom