kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Tayali washavunja wanaitafuta medani ya duniaHawa watu watavunja rekodi!
Tayali washavunja wanaitafuta medani ya duniaHawa watu watavunja rekodi!
Nasikia kuna supplementally report ilinyofolewa for some reasons! Na hiyo fungu 20 ya zaidi ya billion 900 haijawahi tokea!Hili si sishaisha jaman CAG mwenyew na report imesomwa mmeambiwa hamna upotevu wa pesa yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sijaelewa lolote zaidi ya overdraft!!!
Nawaonea huruma watanzania ambao hawajui kwamba idadi ya majambazi ni kubwa kuliko wale tunawajua.
Hawa majambazi wengine wanaua majambazi wenzao wabaki peke yao na sisi watatuua kwa ugumu wa maisha.
Deal done.
Ninadhani hukulewa swali aliloulizwa CAG "Kuna pesa yoyote imeibiwa?" akajibu "Hapana". Kama mbunge alivosema kwenye uzi, CAG hakusema pesa zimeibiwa. Katika ripoti yake ameonesha kiasi cha pesa ambazo matumizi yake hayajathibitishwa. Ni bahati mbaya sana swala limehamia kwenye "wizi". Wanaojitetea wanasema "hawajaiba" badala tu ya kuonesha fedha hizo zilivotumika na tukatoka katika mkwamo huu. Mkuu, elewa hapa swala sio wizi/kupotea fedha - ni kuthibitisha matumizi yake. Period.Hili si sishaisha jaman CAG mwenyew na report imesomwa mmeambiwa hamna upotevu wa pesa yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
2..Bilioni 976.96 Zimetumika Ikulu Bila kupitishwa na Bunge na Kuidhinishwa na CAG Baada ya Serikali kushindwa kuonyesha zilivyotumika Shilingi 1.5 Trilioni iliamua kujilinda kwa kuitumia Ikulu kwa kuwa inajua CAG hatakagua Ikulu. Hivyo CAG alielezwa kuwa shilingi 976.96 bilioni zilihamishwa kutoka kwenye mafungu mbalimbali ya Kibajeti ya Serikali (Reallocation) na kupelekwa Fungu namba 20 (Ikulu). Bunge halikupitisha shilingi 976.96 zitumike na Ikulu, na hata hiyo huo uhamishaji (Reallocation) haukuidhinishwa na CAG kama Sheria inavyotaka, na hata baada ya kutumia bado Serikali haikumpa CAG vielelezo wala uthibitisho wowote wa matumizi hayo. Serikali imeshindwa kuthibitisha imetumiaje Shilingi 1.5 Trilioni, Maelezo kuwa zimetumika na Ofisi ya Rais Ikulu yametolewa kwa makusudi kwa sababu Serikali inajua kuwa CAG hakagui Ofisi ya Rais Ikulu, hivyo ni kichaka cha matumizi mabaya ya fedha za Umma. Jambo baya zaidi ni kuwa Kamati ya Bunge ya PAC ililikalia kimya jambo hili kwenye ripoti yake iliyoletwa bungeni.
Endeleeni kumuamini Raisi Mzalendo na Raisi wa Wanyonge
Duuu!!! Mambo ya kufiwa yanatoka wapi sasa hapa jamani. Huwezi kumjibu mtutu bila kutukana? Dada katowa Data hapa njoo na Data utueleweshe sisi wananchi wa kawaida ambao hatuwezi kupata hizo documentsd. Kwakweli silazima utokwe povu kiasi hiki unless otherwise. Anyway ushauri wangu tuHuyu Binti ndio maana KAFIWA Na MUMEWE LEO. Hizi findings zote anazoongelea ni kabla ya UHAKIKI kukamilika. Kwa anayejua AUDIT PROCESS , hizo Hoja za Ukaguzi zilizotolewa na baadaye Serikali imetoa MAJIBU ambayo ndio yaliingia kwenye PAC na kisha kuletwa Bungeni. Kamama kana mdomo mrefu na kapotoshaji kakubwa.
Za kuambiwa changanya na zakoHili si sishaisha jaman CAG mwenyew na report imesomwa mmeambiwa hamna upotevu wa pesa yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Anashangilia mtu kufiwa badala ya kuchambua hojaDuuu!!! Mambo ya kufiwa yanatoka wapi sasa hapa jamani. Huwezi kumjibu mtutu bila kutukana? Dada katowa Data hapa njoo na Data utueleweshe sisi wananchi wa kawaida ambao hatuwezi kupata hizo documentsd. Kwakweli silazima utokwe povu kiasi hiki unless otherwise. Anyway ushauri wangu tu
Huyu Binti ndio maana KAFIWA Na MUMEWE LEO. Hizi findings zote anazoongelea ni kabla ya UHAKIKI kukamilika. Kwa anayejua AUDIT PROCESS , hizo Hoja za Ukaguzi zilizotolewa na baadaye Serikali imetoa MAJIBU ambayo ndio yaliingia kwenye PAC na kisha kuletwa Bungeni. Kamama kana mdomo mrefu na kapotoshaji kakubwa.
Hawa watu Ni hatari kwa ustawi was Tanzania.Wanakula bill kunawa,hadi makombo na vilivyodondoka wanakula bill kusaza Wala kufikiri.Kwa hoja hizi mama umeitendea haki Taaluma yako. Hoja za msingi zinahitaji majibu ya msingi. Tuache ushabiki na matusi Dada apewe majibu kwa Data kama alivyo Dadavua. Hoja ishawekwa mezani mbele ya hazara na ni issue serious ipatiwe majibu sahihi na wahusika.