Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,416
- 15,969
haya kacheze draftMimi sijaelewa lolote zaidi ya overdraft!!!
haya kacheze draftMimi sijaelewa lolote zaidi ya overdraft!!!
Wamekusanya mitaji yetu mtaani na kutuacha juu ya mawe ebu angalia wanavyo ichezea mitaji yetu waliotupola poa tu chezeeni kumbuka mnakula mbegu.Kweli Pesa Sabuni ya Roho ,hakuna cha Raisi wa Wanyonge wala cha Mzalendo.Mnatufilisi kila Siku na kutuacha Masikini huku mkojichotea tu wenyewe kama Pombe ya Togwa ..
Matapeli yameumbuka mkuu!!Tunajenga flyover, stg, barabara na stiegler's gorge kwa pesa za ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye billon 300 za escrow tulishuhudia mlolongo wa wanufaika mpaka viongozi kadhaa wa dini na kelele zake dunia nzima
Leo hizi tirion 2.4 kweli kelele zenyewe ziwe hivi
na kimya tena zama hizi
Hii ni furahisha tonge tu.
Sent using Jamii Forums mobile app