ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,327
Kwa sasa wapo kimya kama hawapo tanzania na kama hawaoni wala kusikia kinachoendelea. Wanasubiri mchakato wa kupata mgombea ndani ya CCM uishe ili watakaoangukia pua huko ccm wao wawachukue..
Rejea akina mpendazoe kwenye ubunge, shibuda na Arcado Ntagazwa ambao leo ni mizigo katika taifa.
wapinzani hasa CHADEMA ni bure kabisa.
Rejea akina mpendazoe kwenye ubunge, shibuda na Arcado Ntagazwa ambao leo ni mizigo katika taifa.
wapinzani hasa CHADEMA ni bure kabisa.