Niliuliza swali kitambo kidogo, lakini kwa hali inavyoendelea sasa, ushindi kwa UKAWA NI DHAHIRI!
Swali linabadi, je CCM kweli wataipisha UKAWA waingie na kuikaili Ikulu ya Magogoni, pamoja na sauti nyingi za hila na matumizi mabaya ya vyombo vya dola?