Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Huo ndio ukweli upinzani limekuwa ni eneo la kusakia fursa badala ya kuleta mawazo mbadala ya kuwapatia wananchi maendeleo ya kweli. Awamu hii fursa za kisiasa zimepungua na mirija ya kunyonyea imezibwa, hivyo itawashangaza wengi kuona wimbi kubwa la viongozi waliojiaminisha kuwa wapinzani wakirejea CCM. Binafsi sitashangaa kabisa kuwaona Lissu na Mnyika wakikabidhiwa kadi za CCM kwani msimu umebadilika. Ahsante!