Upinzani wa Tanzania hauna afya

Upinzani wa Tanzania hauna afya

Mkuu kufunguka sio ndiyo kuwa na afya, unaweza ukawa mfungukaji ikawa unafunguka ujinga tu. Lazima tukubali mirijja ya magumashi imezibwa. Ndiyo maana wapigaji wanajaribu kumuundia zengwe mkulu.
Nakubaliana na wewe kabisa!! Jaribu kufuatilia kinachoendelea sasa hivi ingawa Bunge halionekani lakini tunapata clip na utaona wanaofunguka na kushangilia ujinga ni akina nani????.Nampongeza rais kwa mengi lakini kwa hili la kukandamiza na kuonea upinzani hakika watalipa gharama ya kuzuia!!!!!!
 
Nakubaliana na wewe kabisa!! Jaribu kufuatilia kinachoendelea sasa hivi ingawa Bunge halionekani lakini tunapata clip na utaona wanaofunguka na kushangilia ujinga ni akina nani????.Nampongeza rais kwa mengi lakini kwa hili la kukandamiza na kuonea upinzani hakika watalipa gharama ya kuzuia!!!!!!
Demokrasia haijakandamizwa ila kwa sababu kipindi cha miaka kumi iliyopitwa siasa ilionekana ndiyo hasa! Kwa hiyo hali ndiyo ikawa chanzo cha magumashi. Watu walikuwa hawataki kufanya kazi hili lipo wazi kabisa.
Sasa isingekuwa kumpata Rais mwenye uthubutu na mwenye kusimamia kile kilichokuwa sahihi hali ingekuwa mbaya zaidi.
 
Back
Top Bottom