Upinzani Tanzania hakuna, wapi mawazo mbadala?

Upinzani Tanzania hakuna, wapi mawazo mbadala?

Asilimia zaidi ya 90 ni kumuongelea Rais ....maendeleo ya watanzania mtayaongelea lini?
Akili yako ipo lwenye mkia wako ulio katika ndio maana unaona kama tunamuonea raisi wako jihulize kwanza kwanin anaishi kwa visasi pili jiulize kwanin siku hizi atoi hotuba
 
Umeamua kuchagua yanayokupendeza tu wewe. Na hii ni kwa sababu ya elimu ya kata uliyoipata. Unashindwa kutofautisha muktadha wa kisiasa wa enzi hizo na leo halafu unajifanya mtaalam wa comparison? Hopeless. Comparison bila kujali context?
Hajui kuwa wakati ule siasa ilikuwa inashindanwa kwa hoja na leo ni kwa risasi na mapanga.
 
Wakiomba kibali naamini kabisa hawatakataliwa!
Mbunge wa upinzani katika jimbo lake hajakatazwa kuongelea na kufuatilia shughuli za maendeleo...ila kiongozi wa wapinzani ambaye ni division failure anewahadaa wapinzani wenzake kuwa ukifanya mutano unakamatwa.

DR mollel wakati akiwa Chadema alifanya mikutano mingi jimboni mwake kuhamasisha maendeleo na hakuna siku aliyokamatwa.
Kweli ujinga ni mzgo, hivi huko kwa wauwaji akili mnafanana!
 
Kutukana ndio jadi ya wapumbavu wa hapo mavini Ufipa endeleeni kupiga porojo zenu za kiduanzi mkijua ndio kipaumbele cha sisi raia, badala ya kuja na hoja mbadala mnakalia kujadili upumbavu tu
Taratiibu, acha kuchemka ndugu. Utamuita kila mtu kuwa ni wa Ufipa sababu tu ya kutojituliza na kutafakari ulichokiandika. Watu welevu hutumia comments kuboresha hoja zao . Mimi nimekupa angalizo la kuconsider context katika mjadala wako lakini unaonekana kutoelewa.
 
Ha ha ha...ndio maana hapo juu nikasema yupo division failure aliyewadanganya kuwa hamruhusiwi kupractise siasa safi kwa maendeleo ya wananchi !fanyeni siasa safi na kwa utaratibu uliopo kwa manufaa ya maendeleo ya wananchi na sio maslahi yenu ya kutaka uongozi!
Kwani kutaka uongozi ni dhambi
 
Ni zaidi ya asilimia 90 kwa maoni yangu ni kwamba wanasiasa wa vyama vya upinzani Tanzania wanalalamika tu.

Hawana sera au ajenda mbadala ya matatizo yanayowakabili watanzania .

Jambo hili linawapa kiki za msimu tu na kuwaondolea credibility ya kuwa alternative ya Chama dola CCM.

Mfano mdogo hakuna ampinzani anayeongelea hoja let say kwa nini sekta ya michezo nchini ipo hoi ?
Hakuna anayejiuliza kuwa wataalamu wa michezo na sanaa waliograduate kwenye vyuo vyetu wapo wapi kusaidia tasnia husika?

Wapinzani nchini wanaitisha press conference almost kila siku iendayo kwa Mungu kulalamikia yaleyale bila kuja na sera mbadala katika maswala mengi ya uhalisia yanayoigusa jamii.

Thisi is a total failure of Tanzania opposition na wakiendelea hivi kuna haki kabisa kuwafutulia mbali.

POVU RUHUSA ILA UJUMBE MUUFANYIE KAZI!


Na asilimia 10 waliobaki ndio hawa hapa.

Lipumba
Mrema
Cheyo
Dovutwa
 
Ni zaidi ya asilimia 90 kwa maoni yangu ni kwamba wanasiasa wa vyama vya upinzani Tanzania wanalalamika tu.

Hawana sera au ajenda mbadala ya matatizo yanayowakabili watanzania .

Jambo hili linawapa kiki za msimu tu na kuwaondolea credibility ya kuwa alternative ya Chama dola CCM.

Mfano mdogo hakuna ampinzani anayeongelea hoja let say kwa nini sekta ya michezo nchini ipo hoi ?
Hakuna anayejiuliza kuwa wataalamu wa michezo na sanaa waliograduate kwenye vyuo vyetu wapo wapi kusaidia tasnia husika?

Wapinzani nchini wanaitisha press conference almost kila siku iendayo kwa Mungu kulalamikia yaleyale bila kuja na sera mbadala katika maswala mengi ya uhalisia yanayoigusa jamii.

Thisi is a total failure of Tanzania opposition na wakiendelea hivi kuna haki kabisa kuwafutulia mbali.

POVU RUHUSA ILA UJUMBE MUUFANYIE KAZI!
Sera yenu mbadala nikuua wale walio kataa kuhama na kumwunga dictator uchwara.
 
Ha ha ha...ndio maana hapo juu nikasema yupo division failure aliyewadanganya kuwa hamruhusiwi kupractise siasa safi kwa maendeleo ya wananchi !fanyeni siasa safi na kwa utaratibu uliopo kwa manufaa ya maendeleo ya wananchi na sio maslahi yenu ya kutaka uongozi!
Inawezekana kufanya siasa mikutano ya ndani inayokutanisha viongozi tu. Au hiyo siasa Safi wakafanyie wapi tena maana Baba yenu alisema ""uchaguzi umekwisha sasa tufanye kazi"". Hivi vyama vya vinafanyia kazi zake vikao vya ndani ambapo napo wanafwatiliwa pia
 
Bahati mbaya sana ile CHADEMA ya Dr. Slaaa imepotea, wakati huo chama kilikua chama mbadala kwa maana kila jambo kuanzia elimu, afya, maji n.k kilijadiliwa kwa utofauti...Yaani ilikua hiviii Serikali inafanya jambo CHADEMA wanasema Serikali inakosea hapa na sisi tukipata nafasi tutafanya vile, huo ndio upinzani kuonyesha njia mbadala...Sasa hivi wameishia kumsema Rais, yaani wao nikujadili alichosema Magufuli, hii inamaana wao kama chama ikitokea Magufuli hajaongea hawana chakusema, huo ndio uanaharakati sarakasi, kulalamika tu hawana tena shida na matatizo ya raia
Mla rushwa na kusaliti chama laana ya upadre itamwandama ata tanga tanga kama kunguru
 
Unaitazama michezo na sanaa kwa jicho gani?
Hujui umuhimu wa michezo na sanaa?

Acha unafiki wewe usidhani hatujui hujuma wanazofanyiwa wapinzani wakitaka kuonyesha ajenda zao na kuchochea maendeleo. Mmejaa hila mpaka mnasahau kwamba kwa wivu wenu ndio mnaozuia wapinzani kuonyesha uwepo wao nchi hii. Ni mara ngapi maoni ya upinzani tena yenye mantaki yanapingwa na serekali na kuhujumiwa wazi wazi kisa yatawapa mtaji wa kisiasa wapinzani? Mfano mrahisi kabla hatujaenda mbali, siku 2 hizi Zitto kakamatwa kisa kaenda kutembelea kata walizopata udiwani kuhamasisha maendeleo. Kibaya zaidi hata watendaji walioandamana na Zitto kukagua miradi ya maendeleo wanasumbuliwa sana mpaka leo hii. Kuna siku meya Jacob alimualika Sumaye kutembelea mradi wa maendeleo ikawa kizaizai kikubwa. Ni nani kama sio akina Makonda waliona nongwa kwa jina la mtaa kupewa jina la mchezaji wa Kenya Victor Wanyama, wakaacha shughuli zao kwenda kuking'oa kile kibao? Usilete mada za kinafiki ili uonekane unawananga wapinzani kwa kudhani hatujui kwamba huwa mnawahujumu kimachomacho.
 
Inawezekana kufanya siasa mikutano ya ndani inayokutanisha viongozi tu. Au hiyo siasa Safi wakafanyie wapi tena maana Baba yenu alisema ""uchaguzi umekwisha sasa tufanye kazi"". Hivi vyama vya vinafanyia kazi zake vikao vya ndani ambapo napo wanafwatiliwa pia
Nenda kamuulize Dr Mollel alikuwa anafanyaje mikutano ya maendeleo jimboni mwake bila bughudha wakati huo akiwa Chadema.
 
Platform mnazotumia kulalamika mnashindwaje kutumia kutuwekea mipango mmbadala

Acha unafiki dogo, kama unaamini unachosema, ni kipi klifanya Zitto akamatwe juzi na kulazwa sero alipoenda kutembelea kata walizopata chama chake kukagua miradi ya maendeleo? Ama unadhani hatujui kwamba huwa mnahujumu waziwazi jitihada za wapinzani kuleta maendeleo kisa mnaona wataungwa mkono na umma? Tunawajua kwa maneno yenu ya kinafiki na hata tabia.
 
Nenda kamuulize Dr Mollel alikuwa anafanyaje mikutano ya maendeleo jimboni mwake bila bughudha wakati huo akiwa Chadema.

Weka mradi wa maendeleo aliofanya Dr. Mollel hapa akiwa mbunge wa cdm, halafu nani kakuambia Dr. Mollel alikuwa mwanacdm? Yeye alikuwa mbunge kupitia cdm na wala hakuwahi kuwa mwanacdm wa ukweli. Yeye ucdm wake ni kama wa Lowassa ndani ya cdm.
 
Back
Top Bottom