funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,535
- 31,199
wewe ndio unafanya unafiki mkubwa...kilichomshinda zitto kufuata taratibu za kufanya hiyo mikutano yake ni kipi kama sio kutafuta kiki?Acha unafiki dogo, kama unaamini unachosema, ni kipi klifanya Zitto akamatwe juzi na kulazwa sero alipoenda kutembelea kata walizopata chama chake kukagua miradi ya maendeleo? Ama unadhani hatujui kwamba huwa mnahujumu waziwazi jitihada za wapinzani kuleta maendeleo kisa mnaona wataungwa mkono na umma? Tunawajua kwa maneno yenu ya kinafiki na hata tabia.
hivi Zitto alishindwa nini kuinform authorities kwamba anataka kutembelea kata zinazoongozwa na ACT kwa minajili ya kukagua wanachokitekeleza.
He did it unlawfully and purposely ili akamatwe na a baadaye aturushie twitter!
msifanye watu ni wapuuzi !
fuata taratibu zote tuone kama utazuiiliwa!
Tuache unafiki na kusaka kiki!