Upinzani Tanzania hakuna, wapi mawazo mbadala?

Upinzani Tanzania hakuna, wapi mawazo mbadala?

ukiniambia ni chague nn kati ya utawala na uinzani..
Mm ninachagua upinzani sababu upinzani unakuja baadaya kuwepo utawala na kazi kubwa ni kusema hta kma kitu cha kufikirika(ideal)
lkn ukiwa mtawala lazima uwe harisia(realistic) .
Kwa maneno mepesi upinzani ni kazi inayoweza kufanywa na mtu yeyote hata kama hajasoma.
 
Posho ndiyo sehemu ya malipo ya kazi wanayofanya wataishije bila posho na mishahara wewe ungeweza kufanya kazi bila malipo?

Umekurupuka hoja yako nyepesi.
Mkubwa kwani wakatu wanasema wabunge wa chadema hawatopokea posho hawakujua kuwa posho ni sehemu ya malipo ya kazi yao na badala yake wakatuambia kuwa hawatachukua posho na kumtukana shibuda lakini kimya kimya wakachukua posho.ni aibu
 
Sasa hivi hatusikii hoja zenye mashiko kutoka kwenu CDM.

Shirika la ATCL limefufuliwa.

Reli inajengwa.
Kwa mara ya kwanza treni za umeme zinakuja Tanzania.

Madawa tele .
Mashule na mazahanati.

Miradi ya maji inajengwa kila kona .

Kwa Mara ya kwanza fly over Tanzania.

Ufisadi na rushwa hamna tena .
Uadilifu kwa watumishi wa umma ni wa kiwango cha juu.

Wao wamekomaa na minor things.

Nchi hii Magufuli ndio kinara sijawahi ona Rais kama Magufuli Afrika na duniani kwa ujumla.


AGENDA ZAO KUU UPINZANI

Magufuli hakiki Phd yako

Sisi tumebaki Wala rambirambi

Sisi agenda yetu ni Bashite

Sisi agenda yetu Jesca kapata zéro

Sisi agenda yetu nchi ina njaa

Sisi agenda yetu Kinana yuko wapi.

Sisi agenda yetu Magufuli hajui kingereza.


Watanzania mchague sisi upinzani hizi ndio agenda zetu kwenu.

Kuna yule mwingine aliyegeuka kua mpiga ramli wa ndege zinazoingia Tanzania alianza kuziponda Bombardier akazipanda zikamprove wrong hakuziponda tena sasa hivi kageukia Boeing ni kituko kabisa kua na wanasiasa wa wa upinzani waliopo Tanzania.
 
Kuna upinzani basi hapa Tanzania yaani sijui wamepatwa na nini hadi nashangaa yaani wamekua viroja tu nilijua labda viroba vikipigwa marufuku watajielewa lakini wapi! Waongo,wazandiki, wachonganishi, leo wakisema hili kesho yake wanalikataa,wamejawa na matusi tu, tusubiri kizazi kijacho hiki kwa upinzani hapana.
 
Eti madawa tele, aibu yako wewe.
Unalaana na aliyekulaani kafa.
Watu wanakufa, wanahangaika, wanalia kwa kukosa madawa halafu unakuja na dhihaka kuwa madawa tele? Aibu,aibu,aibu
 
Eti madawa tele, aibu yako wewe.
Unalaana na aliyekulaani kafa.
Watu wanakufa, wanahangaika, wanalia kwa kukosa madawa halafu unakuja na dhihaka kuwa madawa tele? Aibu,aibu,aibu
 
Hizo ni comedy mwisho wa cku hakuna lolote ajenge kwa makusanyo yapi ya kodi,madawa na mikopo ya wanafunzi tu mmeshindwa kulipa mnafikiria comedy zinawabeba mpka lini
 
ichi kijamaa waga ni kijinga sanaaa, nja tu, et na chenyewe kinatafta attention wakijue wakikumbuke katika ufalme wao, af ana iq ndogo sanaaaa hawezi hata ku reason.

msishangae kuona kinatumia jina lake halisi, kinataka nacho wakijue, et hua kinaitetea ccm sanaaa basi wakalili jina lake.
 
Ni Heri kula maboga na togwa ukiwa paradiso kuliko maziwa na asali ukiwa jehanamu.
 
ina maana kuna wakati ulikuwapo?
afadhali kuna mmoja asiependa hoja mbadala ambae amekiri ilikuwa ni kazi ya kuonekana.
pia nashukuru kwa uongozi uliopo kufanyia kazi maswala yaliopiganiwa na hoja mbadala.
nachoomba kwa sasa nikiwa na hoja mbadala binafsi bila chama cha kisiasa.
sie tunaopigania haki na maendeleo ya kweli ya nchi na mtu mmoja mmoja tunaomba mifumo ya maamuzi iwekwe na ifuatwe.
mifumo ya haki na uwazi na uwajibikaji ya kizalendo ya kitanzania ya kimapinduzi ya kitaalamu iwekwe.
hii ni kwa kutengeneza katiba ya wananchi. katiba bila chembe za makundi ya vyama au dini au rangi au kabila etc
 
ichi kijamaa waga ni kijinga sanaaa, nja tu, et na chenyewe kinatafta attention wakijue wakikumbuke katika ufalme wao, af ana iq ndogo sanaaaa hawezi hata ku reason.

msishangae kuona kinatumia jina lake halisi, kinataka nacho wakijue, et hua kinaitetea ccm sanaaa basi wakalili jina lake.
ww unamtetea nani?

Kwa hiyo kuiba na kuwadhurumu pesa waanga wa bukoka na kuteka watanzani ndio unajisifia

BRING BACK KINANA AND BENN


SWISSME
 
kwa kuanzia rangi na bendera za vyama vipigwe marufuku.
 
Hizo ni comedy mwisho wa cku hakuna lolote ajenge kwa makusanyo yapi ya kodi,madawa na mikopo ya wanafunzi tu mmeshindwa kulipa mnafikiria comedy zinawabeba mpka lini
mnajitekenya mnacheka wenyew kaz kutafuta kiki zisizo na msingi
 
Kuna upinzani basi hapa Tanzania yaani sijui wamepatwa na nini hadi nashangaa yaani wamekua viroja tu nilijua labda viroba vikipigwa marufuku watajielewa lakini wapi! Waongo,wazandiki, wachonganishi, leo wakisema hili kesho yake wanalikataa,wamejawa na matusi tu, tusubiri kizazi kijacho hiki kwa upinzani hapana.
Wewe utakuwepo kukisubili hicho kizazi?
 
Back
Top Bottom