Upinzani sio kukosoa kila kitu

Kuna haja ya kufundishwa siasa za kistaarabu za kisomi
kukosa agenda, kukosa pesa na kufilisika hoja ni fedheha sana kwa vyama vya siasa hasa Tanzania.

vyama vingi vya siasa wamebaki na mihemko na kuporomosha matusi tu 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…