Upinzani penetration...

Upinzani penetration...

Tatizo siyo upinzani sijui mjini sijui vijijini huo ni uwongo kama mjini upinzani wanakubalika mbona hawajapita. Tatizo ni tume huru ya uchaguzi na hilo haliwezi kuwa jukumu la upinzani hilo ni jukumu la watanzania wote ili maamuzi yao yaheshimiwe yasichakachuliwe. Tume huru ya uchaguzi inatakiwa kupigiwa kelele na watanzania wote wanaopenda haki na wenye hofu ya Mungu. Marehemu Mkapa alishaanzisha hiyo hoja lakini haijulikani ilizimika tu kama vile haina umuhimu

Tume ya taifa inatakiwa iwe hoja ya kudumu na ifanyike kampeni ya kutosha kuhamasisha watu pamoja na kuelimisha kwanini Kuna umuhimu wa kuwa na tume guru ya uchaguzi.
 
Yaani hayo masanduku ya kura zilizopigwa tayari + kutokuruhusiwa mawakala wa CHADEMA vituoni, ulitegemea nini? CHADEMA wakipata hata 1 nitashangaa.
Kwa visingizio hamjambo. Hata mngekuwa na mawakala elfu kichapo kilikuwa palepale. Kuishinda CCM inabidi ipasuke kwanza,kama mlivyobahatisha 2015 badala ya kufunga goli mlikazia kuzungusha mikono na viuno tu. Kwa style yenu ya kujenga tumbo la mwenyekiti wenu kuwaongoza watanzania sio leo wala kesho. Magufuli akiingia sahauni siasa mpaka uchaguzi 2025 hapo mtakuwa mmelegea kama mlenda. Anyways, mmevuna mlichopanda.
 
Kwa visingizio hamjambo. Hata mngekuwa na mawakala elfu kichapo kilikuwa palepale. Kuishinda CCM inabidi ipasuke kwanza,kama mlivyobahatisha 2015 badala ya kufunga goli mlikazia kuzungusha mikono na viuno tu. Kwa style yenu ya kujenga tumbo la mwenyekiti wenu kuwaongoza watanzania sio leo wala kesho. Magufuli akiingia sahauni siasa mpaka uchaguzi 2025 hapo mtakuwa mmelegea kama mlenda. Anyways, mmevuna mlichopanda.
Ccm.....naomba mungu awachukue wote.
 
Lissu fungua charity usisubiri mpaka uchaguzi ufike ndio utembeze bakuli,,,,,

This is the way to get support unawavuta wanachama unafanya chama kinenepe😊😊😊, kinakua kikubwa both in numbers ya wanachama pamoja na income.... after all Sio lazima uwe serikalini ndio uhudumie watanzania
 
Lissu fungua charity usisubiri mpaka uchaguzi ufike ndio utembeze bakuli,,,,,

This is the way to get support unawavuta wanachama unafanya chama kinenepe, kinakua kikubwa both in numbers ya wanachama pamoja na income.... after all Sio lazima uwe serikalini ndio uhudumie watanzania
Mambo yanarudi kule kule. Uchaguzi umekwisha wote mnafungiwa kufanya shughuli zozote za kisiasa au kijamii kasoro ccm.
 
Kuna tofauti ya kushinda na kutangazwa mshindi, watanzania bado hawajafikia level ya kupigania ushindi wao, naamini iyo siku ipo karibu
 
Tatizo la upinzani ni hauna watu/ viongozi walio thabiti na walio serious. Wanawapigiwa kura leo na wanashinda, kesho na keshokutwa wananunuliwa upande wa pili kwa bei rahisi kabisa kisha wanauza majimbo waliochaguliwa na wananchi wao.

Hiyo ndio chanzo namba moja la anguko la upinzani, viongozi wake wanakatisha tamaa na kuvunja moyo. Asilimia kubwa ya vijana hawajapiga kura kwa sababu hiyo.
Kwahiyo yaliotendeka jana umeona yapo sawa? Na ndio uchaguzi wa vyama vingi unavyoendeshwa?
 
Unadhani ni rahisi kiasi hicho? Kuwa mpinzani ni kazi ngumu sana Tanzania. Nani kwanza anakula uhuru wa kuanzisha hiyo charity, serikali ipi imruhusu Lissu kuanzisha charity? Waulize tu kuanzisha media house yenye nguvu waliweza? It's not easy kuwa mpinzani kwa nchi za kiafrika, labda tuhamie huko mbelez.
 
Mimi nadhani bila tume HURU, (ambayo kwa sasa kupiata itakuwa kupanda mlima Kilimanjaro), sahau upinzani kuwa chama dola.
 
Ninauhakika hata hiyo charity haiwezi kusajiliwa na wakiisajiri basi haitakaa muda wataifungia kwa madai ya kujihusisha na siasa, solution wajipenyeze watu kwenye taasisi za ulinzi na usalama ili siku ikifika wasimame nao kwani huko ndio kwenye backbone ya ccm
Hello wanajamvi,

Tuko hapa tena tukiongelea uchaguzi.

Kama ambavyo tutakua tunajadili uchaguzi 2025.

Nothing is going to change, CCM itaendelea kuongoza tena na tena

I just think we need us makamanda to have a big debate on how to fight this Enemy... (which is a focus of this thread)

Kwangu mimi most ni upinzani kupenetrate rural areas, Miji mikubwa kama Arusha, Dar, Mwanza tayari kuna MUAMKO ndio maana Hata uchaguzi wanajitokeza watu kwa wingi... hata kampeni zake hazihitaji nguvu sana. I think more effort ipelekwe vijijini, sikumbuki niliona wapi kwamba 80% ya watanzania wanaishi vijijini.. so it make sense UPINZANI KUWEKEZA NGUVU ZAKE HUKO .... (How? Makamanda tusaidiane hapa)

Mimi jibu langu hasa ni kuweka mkakati in the next five years CHADEMA ikuze vyanzo vyake vya mapato (makamanda hapa tusaidiane HOW). CHADEMA pia ifungue CHARITY yake, kwa mfano tunaona MKAPA, JAKAYA KIKWETE FOUNDATION, ila sijaona kiongozi yeyote wa upinzani mwenye charity yake, LISSU una exposure ni mtu unajulikana kimataifa ukifungua CHARITY utakua suppprted ndani na nje ya nchi, fungua lengo ni kuimprove rural areas residents na Watanzania wote kwa mapana, identify kila kijiji kinahitaji nini, then unatoa SOLUTIONS.

Kama ni maji, vyoo vya shule, ama kujenga hospitali shule trust me within FIVE YEARS, UTAKUA UMEKUWA KARIBU NA WANANCHI NA PIA UTAKUA NA PROJECTS zitakazokusaidia kuomba kura, sio sasa hivi Magufuli anasema nimejenga hiki kile, halafu wewe unakua ni mtu wa kupromise tu nitafanya hiki kile. Ukiwa na projects ulizozipatia solutions , wewe pia utakua na projects za kuonyesha kwenye uchaguzi ujao.

Makamanda toeni mawazo yenu, karibuni
 
Mkuu ukishakua karibu na watu ni rahisi kuwa mobilise watu wadai tume huru, you cant just sit far na kusema tunahitaji tume huru .. lazima uwa engage kwanza... Kama upinzani hauhitaji charity unahitaji nini mkuu?? Funguka
Wanasema sio kazi za mbunge hizo.

Ndio hoja yao wakiwa wanaomba kura.
 
Hello wanajamvi,

Tuko hapa tena tukiongelea uchaguzi.

Kama ambavyo tutakua tunajadili uchaguzi 2025.

Nothing is going to change, CCM itaendelea kuongoza tena na tena

I just think we need us makamanda to have a big debate on how to fight this Enemy... (which is a focus of this thread)

Kwangu mimi most ni upinzani kupenetrate rural areas, Miji mikubwa kama Arusha, Dar, Mwanza tayari kuna MUAMKO ndio maana Hata uchaguzi wanajitokeza watu kwa wingi... hata kampeni zake hazihitaji nguvu sana. I think more effort ipelekwe vijijini, sikumbuki niliona wapi kwamba 80% ya watanzania wanaishi vijijini.. so it make sense UPINZANI KUWEKEZA NGUVU ZAKE HUKO .... (How? Makamanda tusaidiane hapa)

Mimi jibu langu hasa ni kuweka mkakati in the next five years CHADEMA ikuze vyanzo vyake vya mapato (makamanda hapa tusaidiane HOW). CHADEMA pia ifungue CHARITY yake, kwa mfano tunaona MKAPA, JAKAYA KIKWETE FOUNDATION, ila sijaona kiongozi yeyote wa upinzani mwenye charity yake, LISSU una exposure ni mtu unajulikana kimataifa ukifungua CHARITY utakua suppprted ndani na nje ya nchi, fungua lengo ni kuimprove rural areas residents na Watanzania wote kwa mapana, identify kila kijiji kinahitaji nini, then unatoa SOLUTIONS.

Kama ni maji, vyoo vya shule, ama kujenga hospitali shule trust me within FIVE YEARS, UTAKUA UMEKUWA KARIBU NA WANANCHI NA PIA UTAKUA NA PROJECTS zitakazokusaidia kuomba kura, sio sasa hivi Magufuli anasema nimejenga hiki kile, halafu wewe unakua ni mtu wa kupromise tu nitafanya hiki kile. Ukiwa na projects ulizozipatia solutions , wewe pia utakua na projects za kuonyesha kwenye uchaguzi ujao.

Makamanda toeni mawazo yenu, karibuni
kama serikali ya Magufuri watakubari. hawakawii kusema charity inafadhiliwa Na mabeberu.
 
Hello wanajamvi,

Tuko hapa tena tukiongelea uchaguzi.

Kama ambavyo tutakua tunajadili uchaguzi 2025.

Nothing is going to change, CCM itaendelea kuongoza tena na tena

I just think we need us makamanda to have a big debate on how to fight this Enemy... (which is a focus of this thread)

Kwangu mimi most ni upinzani kupenetrate rural areas, Miji mikubwa kama Arusha, Dar, Mwanza tayari kuna MUAMKO ndio maana Hata uchaguzi wanajitokeza watu kwa wingi... hata kampeni zake hazihitaji nguvu sana. I think more effort ipelekwe vijijini, sikumbuki niliona wapi kwamba 80% ya watanzania wanaishi vijijini.. so it make sense UPINZANI KUWEKEZA NGUVU ZAKE HUKO .... (How? Makamanda tusaidiane hapa)

Mimi jibu langu hasa ni kuweka mkakati in the next five years CHADEMA ikuze vyanzo vyake vya mapato (makamanda hapa tusaidiane HOW). CHADEMA pia ifungue CHARITY yake, kwa mfano tunaona MKAPA, JAKAYA KIKWETE FOUNDATION, ila sijaona kiongozi yeyote wa upinzani mwenye charity yake, LISSU una exposure ni mtu unajulikana kimataifa ukifungua CHARITY utakua suppprted ndani na nje ya nchi, fungua lengo ni kuimprove rural areas residents na Watanzania wote kwa mapana, identify kila kijiji kinahitaji nini, then unatoa SOLUTIONS.

Kama ni maji, vyoo vya shule, ama kujenga hospitali shule trust me within FIVE YEARS, UTAKUA UMEKUWA KARIBU NA WANANCHI NA PIA UTAKUA NA PROJECTS zitakazokusaidia kuomba kura, sio sasa hivi Magufuli anasema nimejenga hiki kile, halafu wewe unakua ni mtu wa kupromise tu nitafanya hiki kile. Ukiwa na projects ulizozipatia solutions , wewe pia utakua na projects za kuonyesha kwenye uchaguzi ujao.

Makamanda toeni mawazo yenu, karibuni
Ukitaka kumpiga nyoka piga kichwani, pamoja na ulioleza yote, tuanze na moja tu. Tume ya uchaguzi iundwe upya ili pamoja na watu wengine iwe na wawakilishi wa vyama na wakurugenzi waondolewe kwenye kusimamia uchaguzi. Huo ndio utakuwa mwisho wa CCM
 
Back
Top Bottom