Tatizo siyo upinzani sijui mjini sijui vijijini huo ni uwongo kama mjini upinzani wanakubalika mbona hawajapita. Tatizo ni tume huru ya uchaguzi na hilo haliwezi kuwa jukumu la upinzani hilo ni jukumu la watanzania wote ili maamuzi yao yaheshimiwe yasichakachuliwe. Tume huru ya uchaguzi inatakiwa kupigiwa kelele na watanzania wote wanaopenda haki na wenye hofu ya Mungu. Marehemu Mkapa alishaanzisha hiyo hoja lakini haijulikani ilizimika tu kama vile haina umuhimu
Tume ya taifa inatakiwa iwe hoja ya kudumu na ifanyike kampeni ya kutosha kuhamasisha watu pamoja na kuelimisha kwanini Kuna umuhimu wa kuwa na tume guru ya uchaguzi.
Tume ya taifa inatakiwa iwe hoja ya kudumu na ifanyike kampeni ya kutosha kuhamasisha watu pamoja na kuelimisha kwanini Kuna umuhimu wa kuwa na tume guru ya uchaguzi.