Upinzani mnge deal vipi na Ufisadi?

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,669
40,917
Vita ya dhidi ya ubadhirifu na rushwa iliyopewa jina LA ufisadi inayosimamiwa na Magufuli imezua mjadala na kauli za kuipinga kuwa wanaoguswa nayo wanaonewa!

Sio jambo rahisi kufuta ubadhirifu, ufujaji na rushwa bila kugusa MTU kwa maana yote hayo ni matendo ambayo yanafanywa na binadamu!

Sioni ni kwa namna gani tunaweza kushughulika na matendo batili bila kuwagusa baadhi ya watu!

Sasa kila anayeguswa imegeukwa wimbo kuwa anaonewa!

Wapinzani wamesahau kuwa wao ndio waliokuwa wakitaka uovu wote ufutwe hapa nchini!

Sasa tunapojitahidi kuufuta huo uovu wanaibuka kwa kusema kuwa ni makosa kuufuta.

Nataka nijue ni kwa namna gani, upinzani ungepambana na ubadhirifu, wizi na rushwa bila kugusa watu!
 
Vita ya dhidi ya ubadhirifu na rushwa iliyopewa jina LA ufisadi inayosimamiwa na Magufuli imezua mjadala na kauli za kuipinga kuwa wanaoguswa nayo wanaonewa!

Sio jambo rahisi kufuta ubadhirifu, ufujaji na rushwa bila kugusa MTU kwa maana yote hayo ni matendo ambayo yanafanywa na binadamu!

Sioni ni kwa namna gani tunaweza kushughulika na matendo batili bila kuwagusa baadhi ya watu!

Sasa kila anayeguswa imegeukwa wimbo kuwa anaonewa!

Wapinzani wamesahau kuwa wao ndio waliokuwa wakitaka uovu wote ufutwe hapa nchini!

Sasa tunapojitahidi kuufuta huo uovu wanaibuka kwa kusema kuwa ni makosa kuufuta.

Nataka nijue ni kwa namna gani, upinzani ungepambana na ubadhirifu, wizi na rushwa bila kugusa watu!

TUngeanza na yule wa Bilioni nane za kivuko kibovu,Mabehewa mabovu na Kumalizia na Lugumi bila kumsahahu Mr.Escrow account.
 
Bila shaka wangefanya hivyo bila kumuonea MTU,wangetafuta ushahidi wa kutosha, halafu sidhani kama wangeuliza hadhara, tumtumbue au tusimtumbue?

Umesema "wangetafuta ushahidi wa kutosha", hivi wakati upinzani unawataja mafisadi, walitoa ushahidi!

Kusema uwongo ni tabia ya watu wa aina fulani hasa waoga, wanafiki na wambea.

Wimbo wa UFISADI ulianzishwa na kuimbwa na kambi ya upinzani. Serikali, ya wakati huo, kutokushiriki kuimba wimbo huo, ikakebeshwa lawama.

Kinachotokea sasa kwa Serikali iliyoko madarakani, si kuimba tu huo wimbo ila ni pamoja na kuwaimbisha, kuwacheza kwata hata kuwafunga mafisadi.

Tutaishia kuandika hisia zetu, kuhalalisha lawama na shutuma dhidi ya Serikali, humu jamvini tu. Hakika, hakuna kitachobadilika katika vita dhidi ya kila aina ya uovu katika jamii - uzembe, umangimeza, ubadhirifu, rushwa, ufisadi, nk.
 
Vita ya dhidi ya ubadhirifu na rushwa iliyopewa jina LA ufisadi inayosimamiwa na Magufuli imezua mjadala na kauli za kuipinga kuwa wanaoguswa nayo wanaonewa!

Sio jambo rahisi kufuta ubadhirifu, ufujaji na rushwa bila kugusa MTU kwa maana yote hayo ni matendo ambayo yanafanywa na binadamu!

Sioni ni kwa namna gani tunaweza kushughulika na matendo batili bila kuwagusa baadhi ya watu!

Sasa kila anayeguswa imegeukwa wimbo kuwa anaonewa!

Wapinzani wamesahau kuwa wao ndio waliokuwa wakitaka uovu wote ufutwe hapa nchini!

Sasa tunapojitahidi kuufuta huo uovu wanaibuka kwa kusema kuwa ni makosa kuufuta.

Nataka nijue ni kwa namna gani, upinzani ungepambana na ubadhirifu, wizi na rushwa bila kugusa watu!
Kwanza uelewe kwenye kundi la wapinzani ni wachache sana wanasiasa wengine ni wavurugaji wa democrasi tuu
 
Hata kuitamka rechmond kwa sasa hawawezi

Umesema "wangetafuta ushahidi wa kutosha", hivi wakati upinzani unawataja mafisadi, walitoa ushahidi!

Kusema uwongo ni tabia ya watu wa aina fulani hasa waoga, wanafiki na wambea.

Wimbo wa UFISADI ulianzishwa na kuimbwa na kambi ya upinzani. Serikali, ya wakati huo, kutokushiriki kuimba wimbo huo, ikakebeshwa lawama.

Kinachotokea sasa kwa Serikali iliyoko madarakani, si kuimba tu huo wimbo ila ni pamoja na kuwaimbisha, kuwacheza kwata hata kuwafunga mafisadi.

Tutaishia kuandika hisia zetu, kuhalalisha lawama na shutuma dhidi ya Serikali, humu jamvini tu. Hakika, hakuna kitachobadilika katika vita dhidi ya kila aina ya uovu katika jamii - uzembe, umangimeza, ubadhirifu, rushwa, ufisadi, nk.
 
Vita ya dhidi ya ubadhirifu na rushwa iliyopewa jina LA ufisadi inayosimamiwa na Magufuli imezua mjadala na kauli za kuipinga kuwa wanaoguswa nayo wanaonewa!

Sio jambo rahisi kufuta ubadhirifu, ufujaji na rushwa bila kugusa MTU kwa maana yote hayo ni matendo ambayo yanafanywa na binadamu!

Sioni ni kwa namna gani tunaweza kushughulika na matendo batili bila kuwagusa baadhi ya watu!

Sasa kila anayeguswa imegeukwa wimbo kuwa anaonewa!

Wapinzani wamesahau kuwa wao ndio waliokuwa wakitaka uovu wote ufutwe hapa nchini!

Sasa tunapojitahidi kuufuta huo uovu wanaibuka kwa kusema kuwa ni makosa kuufuta.

Nataka nijue ni kwa namna gani, upinzani ungepambana na ubadhirifu, wizi na rushwa bila kugusa watu!
Tungefuata sheria,nyumba za serekali zilizo uzwa kwa bei ya chee zingirudishwa mikononi mwaserekali,viwanja vyote,shule pamoja na mali zingine ambazo ziliporwa na CCM zingerudishwa mikononi mwa wananchi,wale wote waliofanya serekali kuingia hasara kwa kulipa fidia kwa maamzi ya kukurupuka wangechukuliwa hatua,keki ya Taifa ingegaiwa kwa usawa pasipo upendeleo na siyo kwa kupendelea nyumbani kwa kiongozi.
 
Tungefuata sheria,nyumba za serekali zilizo uzwa kwa bei ya chee zingirudishwa mikononi mwaserekali,viwanja vyote,shule pamoja na mali zingine ambazo ziliporwa na CCM zingerudishwa mikononi mwa wananchi,wale wote waliofanya serekali kuingia hasara kwa kulipa fidia kwa maamzi ya kukurupuka wangechukuliwa hatua,keki ya Taifa ingegaiwa kwa usawa pasipo upendeleo na siyo kwa kupendelea nyumbani kwa kiongozi.
Samakii nao haa! we una hamu ya kutumbuliwa
 
Vita ya dhidi ya ubadhirifu na rushwa iliyopewa jina LA ufisadi inayosimamiwa na Magufuli imezua mjadala na kauli za kuipinga kuwa wanaoguswa nayo wanaonewa!

Sioni ni kwa namna gani tunaweza kushughulika na matendo batili bila kuwagusa baadhi ya watu!

Wapinzani wamesahau kuwa wao ndio waliokuwa wakitaka uovu wote ufutwe hapa nchini!

Sasa tunapojitahidi kuufuta huo uovu wanaibuka kwa kusema kuwa ni makosa kuufuta.

Nataka nijue ni kwa namna gani, upinzani ungepambana na ubadhirifu, wizi na rushwa bila kugusa watu!
Tuache kujitoa fahamu na unafiki. KUFUKUA MAKABURI unakujua?

Nchi hii si inazo sheria? Na zifuatwe.
 
TUngeanza na yule wa Bilioni nane za kivuko kibovu,Mabehewa mabovu na Kumalizia na Lugumi bila kumsahahu Mr.Escrow account.
Kwa hiyo hayo yaliyoguswa hakuna hata moja linalokuwa associated na ufisadi?
 
Tungefuata sheria,nyumba za serekali zilizo uzwa kwa bei ya chee zingirudishwa mikononi mwaserekali,viwanja vyote,shule pamoja na mali zingine ambazo ziliporwa na CCM zingerudishwa mikononi mwa wananchi,wale wote waliofanya serekali kuingia hasara kwa kulipa fidia kwa maamzi ya kukurupuka wangechukuliwa hatua,keki ya Taifa ingegaiwa kwa usawa pasipo upendeleo na siyo kwa kupendelea nyumbani kwa kiongozi.
Kumpeleka mtu mahakamani sio kufuata sheria? Au nyie mngewapeleka wapi?
 
Umesema "wangetafuta ushahidi wa kutosha", hivi wakati upinzani unawataja mafisadi, walitoa ushahidi!

Kusema uwongo ni tabia ya watu wa aina fulani hasa waoga, wanafiki na wambea.

Wimbo wa UFISADI ulianzishwa na kuimbwa na kambi ya upinzani. Serikali, ya wakati huo, kutokushiriki kuimba wimbo huo, ikakebeshwa lawama.

Kinachotokea sasa kwa Serikali iliyoko madarakani, si kuimba tu huo wimbo ila ni pamoja na kuwaimbisha, kuwacheza kwata hata kuwafunga mafisadi.

Tutaishia kuandika hisia zetu, kuhalalisha lawama na shutuma dhidi ya Serikali, humu jamvini tu. Hakika, hakuna kitachobadilika katika vita dhidi ya kila aina ya uovu katika jamii - uzembe, umangimeza, ubadhirifu, rushwa, ufisadi, nk.
Mkuu hawa jamaa sidhani hata kama wanajua wanasimamia wapi!
 
Back
Top Bottom