Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,849
Kuuliza fulani yuko wapi nikosa sasahiviSijui muulize aliyezusha.
Kwani watu wanazusha au wanauliza?
Kuuliza fulani yuko wapi nikosa sasahiviSijui muulize aliyezusha.
Kwani watu wanazusha au wanauliza?
We una akili au huna! Tuanzie hapoWasalaam wanaJF,
Kwanza nianze kwa kujisemea kuwa binafsi sio muumini wa chama chochote cha siasa ila siasa ni maisha yangu.
Kwa mambo yanayoendelea hususani kwa hawa viongozi wetu wa vyama pinzani mi nadhani upinzani bado sana kuchukua madaraka.
Ukiwaangalia viongozi hawa ni watu wazima kabisa ila mambo wafanyayo yana utoto mwingi sana.
Eti mtu anayetegrmea kuchukua nchi na kuwa mfariji mkuu anachekelea watu wake kuzuiwa kuuza mahindi nje ya nchi.
Anafurahishwa na tetesi za kuugua kwa rais aliyechaguliwa na wananchi.
Anaungana na upande wa watesi wetu waliotunyonya miaka nenda rudi.
Mwingine ni kiongozi ila ni mlevi. Sifa ambaye maandiko ya Mungu yanasema kuwa mlevi ni mtu mpumbavu haijalishi ni nani.
Kwa hali kama hii napendekeza Magufuli aongezewe miaka 10 baada ya 2025 ili anyooshe mapito yaliyopinda. Na ikiwezekana atawale mpaka afie madarakani maana huyu rais ni chaguo la Mungu na ni mzalendo kweli kweli.!
Wewe ni muumini wa CCM, maana ndio wenye mawazo ya miaka 1000, wakati wote watakuwa washatwaliwa kwenda Jehanum.Wasalaam wanaJF,
Kwanza nianze kwa kujisemea kuwa binafsi sio muumini wa chama chochote cha siasa ila siasa ni maisha yangu.
Kwa mambo yanayoendelea hususani kwa hawa viongozi wetu wa vyama pinzani mi nadhani upinzani bado sana kuchukua madaraka.
Ukiwaangalia viongozi hawa ni watu wazima kabisa ila mambo wafanyayo yana utoto mwingi sana.
Eti mtu anayetegrmea kuchukua nchi na kuwa mfariji mkuu anachekelea watu wake kuzuiwa kuuza mahindi nje ya nchi.
Anafurahishwa na tetesi za kuugua kwa rais aliyechaguliwa na wananchi.
Anaungana na upande wa watesi wetu waliotunyonya miaka nenda rudi.
Mwingine ni kiongozi ila ni mlevi. Sifa ambaye maandiko ya Mungu yanasema kuwa mlevi ni mtu mpumbavu haijalishi ni nani.
Kwa hali kama hii napendekeza Magufuli aongezewe miaka 10 baada ya 2025 ili anyooshe mapito yaliyopinda. Na ikiwezekana atawale mpaka afie madarakani maana huyu rais ni chaguo la Mungu na ni mzalendo kweli kweli.!
Libya kwa Gaddafi walikuwa wakisema hivi hivi enzi zile kabla ahera haijamshukia yule shujaa wao. Ona msala walio nao sasa!Wasalaam wanaJF,
Kwanza nianze kwa kujisemea kuwa binafsi sio muumini wa chama chochote cha siasa ila siasa ni maisha yangu.
Kwa mambo yanayoendelea hususani kwa hawa viongozi wetu wa vyama pinzani mi nadhani upinzani bado sana kuchukua madaraka.
Ukiwaangalia viongozi hawa ni watu wazima kabisa ila mambo wafanyayo yana utoto mwingi sana.
Eti mtu anayetegrmea kuchukua nchi na kuwa mfariji mkuu anachekelea watu wake kuzuiwa kuuza mahindi nje ya nchi.
Anafurahishwa na tetesi za kuugua kwa rais aliyechaguliwa na wananchi.
Anaungana na upande wa watesi wetu waliotunyonya miaka nenda rudi.
Mwingine ni kiongozi ila ni mlevi. Sifa ambaye maandiko ya Mungu yanasema kuwa mlevi ni mtu mpumbavu haijalishi ni nani.
Kwa hali kama hii napendekeza Magufuli aongezewe miaka 10 baada ya 2025 ili anyooshe mapito yaliyopinda. Na ikiwezekana atawale mpaka afie madarakani maana huyu rais ni chaguo la Mungu na ni mzalendo kweli kweli.!
Kwanza unachosa, kisha hujitambui.Anavunja sheria wewe lumumba fc ndio maana watu wanapiga kelele.
Toa utumbo wako akivunja sheria anaambiwa wewe sio kama ndio anaachwa ,angekuwa anataka kufanya analofanya yeye kwakuwa ni rais basi abgekuwa anapiga risasi wanaompinga hadharani uone kama ajafumuliwa na mabeberu.K
Kwanza unachosa, kisha hujitambui.
Nilikwambia mwanzo kwamba uvimbe unune bado ndo raisi wako na utatekereza kile anachoagiza ukasema ni kwa mujibu wa sheria.
Kwa mfano alisema watu wasinywe pombe wakati wa asubuhi, au wafanye usafi siku ya jumamosi ya mwisho wa mwezi kwa vyovyote kama hilo linakugusa lazima utatii tu hata kama humpendi.
Ulivyojibu ni kwamba anataimiza kwa matakwa ya sheria
Sasa tena unasema anavunja sheria, sasa hapo tukueleweje?
Hata kama anavunja sheria na wewe unajua ni haki yako mbona hujapingana nae kutaka hiyo haki?
Kwa mfano kazuia maandamano na wewe umevimba mashavu, mbona hujaenda kuandamana mnapoitishwa kama yale ya lisu?
Na kama hujapinga yale unayoona kavunja sheria huoni kama umeridhika na utawala wake utake usitake?
Nimechoka kukujibu tuishie hapo.
Huulizi kwa kusema mambo kanakwamba ndio ukweli uliopo. Kusema fulani amefichwa na amepandishwa ndege usiku kapelekwa nchi nyingine, huku sio kuuliza ni kuzusha mambo.Sijui muulize aliyezusha.
Kwani watu wanazusha au wanauliza?
Wasalaam wanaJF,
Kwanza nianze kwa kujisemea kuwa binafsi sio muumini wa chama chochote cha siasa ila siasa ni maisha yangu.
Kwa mambo yanayoendelea hususani kwa hawa viongozi wetu wa vyama pinzani mi nadhani upinzani bado sana kuchukua madaraka.
Ukiwaangalia viongozi hawa ni watu wazima kabisa ila mambo wafanyayo yana utoto mwingi sana.
Eti mtu anayetegrmea kuchukua nchi na kuwa mfariji mkuu anachekelea watu wake kuzuiwa kuuza mahindi nje ya nchi.
Anafurahishwa na tetesi za kuugua kwa rais aliyechaguliwa na wananchi.
Anaungana na upande wa watesi wetu waliotunyonya miaka nenda rudi.
Mwingine ni kiongozi ila ni mlevi. Sifa ambaye maandiko ya Mungu yanasema kuwa mlevi ni mtu mpumbavu haijalishi ni nani.
Kwa hali kama hii napendekeza Magufuli aongezewe miaka 10 baada ya 2025 ili anyooshe mapito yaliyopinda. Na ikiwezekana atawale mpaka afie madarakani maana huyu rais ni chaguo la Mungu na ni mzalendo kweli kweli.!
Nalipenda jina lako la Nebuchadenezar, pamoja na kulikosea kuliandika.Wasalaam wanaJF,
Kwanza nianze kwa kujisemea kuwa binafsi sio muumini wa chama chochote cha siasa ila siasa ni maisha yangu.
Kwa mambo yanayoendelea hususani kwa hawa viongozi wetu wa vyama pinzani mi nadhani upinzani bado sana kuchukua madaraka.
Ukiwaangalia viongozi hawa ni watu wazima kabisa ila mambo wafanyayo yana utoto mwingi sana.
Eti mtu anayetegrmea kuchukua nchi na kuwa mfariji mkuu anachekelea watu wake kuzuiwa kuuza mahindi nje ya nchi.
Anafurahishwa na tetesi za kuugua kwa rais aliyechaguliwa na wananchi.
Anaungana na upande wa watesi wetu waliotunyonya miaka nenda rudi.
Mwingine ni kiongozi ila ni mlevi. Sifa ambaye maandiko ya Mungu yanasema kuwa mlevi ni mtu mpumbavu haijalishi ni nani.
Kwa hali kama hii napendekeza Magufuli aongezewe miaka 10 baada ya 2025 ili anyooshe mapito yaliyopinda. Na ikiwezekana atawale mpaka afie madarakani maana huyu rais ni chaguo la Mungu na ni mzalendo kweli kweli.!
Wasalaam wanaJF,
Kwanza nianze kwa kujisemea kuwa binafsi sio muumini wa chama chochote cha siasa ila siasa ni maisha yangu.
Kwa mambo yanayoendelea hususani kwa hawa viongozi wetu wa vyama pinzani mi nadhani upinzani bado sana kuchukua madaraka.
Ukiwaangalia viongozi hawa ni watu wazima kabisa ila mambo wafanyayo yana utoto mwingi sana.
Eti mtu anayetegrmea kuchukua nchi na kuwa mfariji mkuu anachekelea watu wake kuzuiwa kuuza mahindi nje ya nchi.
Anafurahishwa na tetesi za kuugua kwa rais aliyechaguliwa na wananchi.
Anaungana na upande wa watesi wetu waliotunyonya miaka nenda rudi.
Mwingine ni kiongozi ila ni mlevi. Sifa ambaye maandiko ya Mungu yanasema kuwa mlevi ni mtu mpumbavu haijalishi ni nani.
Kwa hali kama hii napendekeza Magufuli aongezewe miaka 10 baada ya 2025 ili anyooshe mapito yaliyopinda. Na ikiwezekana atawale mpaka afie madarakani maana huyu rais ni chaguo la Mungu na ni mzalendo kweli kweli!
Sijawahi kuona mtu mwenye akili timamu anapima ndege, mbuzi, mafenesi nk kama yana magonjwa isipokuwa mtu huyo dishi litakuwa limeyumba, yaani akili zimefyatukaNgoja nifuatilie kama na wafuasi wa Bob Wine nao wana akili za funza kama wa hapa kwetu...ama kweli Tanzania hatujawahi kuwa na Wapinzani wa kweli, kuna kikundi cha wasaka tonge na wajinga wengi! Kwa akili hizi CCM itaongoza milele!
Beberu ndo mume wenu au?Toa utumbo wako akivunja sheria anaambiwa wewe sio kama ndio anaachwa ,angekuwa anataka kufanya analofanya yeye kwakuwa ni rais basi abgekuwa anapiga risasi wanaompinga hadharani uone kama ajafumuliwa na mabeberu.
Mtu mzima kama wewe kukaririshwa uongo ni aibu.MATAGA ni zero kwenye kujenga hoja.Mnajua kuabudu mungu wa Chato tu,ndo mwisho wa mawazo yenuWasalaam wanaJF,
Kwanza nianze kwa kujisemea kuwa binafsi sio muumini wa chama chochote cha siasa ila siasa ni maisha yangu.
Kwa mambo yanayoendelea hususani kwa hawa viongozi wetu wa vyama pinzani mi nadhani upinzani bado sana kuchukua madaraka.
Ukiwaangalia viongozi hawa ni watu wazima kabisa ila mambo wafanyayo yana utoto mwingi sana.
Eti mtu anayetegrmea kuchukua nchi na kuwa mfariji mkuu anachekelea watu wake kuzuiwa kuuza mahindi nje ya nchi.
Anafurahishwa na tetesi za kuugua kwa rais aliyechaguliwa na wananchi.
Anaungana na upande wa watesi wetu waliotunyonya miaka nenda rudi.
Mwingine ni kiongozi ila ni mlevi. Sifa ambaye maandiko ya Mungu yanasema kuwa mlevi ni mtu mpumbavu haijalishi ni nani.
Kwa hali kama hii napendekeza Magufuli aongezewe miaka 10 baada ya 2025 ili anyooshe mapito yaliyopinda. Na ikiwezekana atawale mpaka afie madarakani maana huyu rais ni chaguo la Mungu na ni mzalendo kweli kweli!
Beberu ndo mume wenu au?
Huwezi kujitawala mwenyewe mpaka beberu ndo likusaidie?
Je hao mabeberu nani aliwafikisha hapo walipo?
Zinduka ndugu, nadhani bado unasubili ugali wa kuhesabia namba ndo maana.
Haya weka namba yako ya simu hapo lumumba wakutumie buku saba yako!!...maku weweWasalaam wanaJF,
Kwanza nianze kwa kujisemea kuwa binafsi sio muumini wa chama chochote cha siasa ila siasa ni maisha yangu.
Kwa mambo yanayoendelea hususani kwa hawa viongozi wetu wa vyama pinzani mi nadhani upinzani bado sana kuchukua madaraka.
Ukiwaangalia viongozi hawa ni watu wazima kabisa ila mambo wafanyayo yana utoto mwingi sana.
Eti mtu anayetegrmea kuchukua nchi na kuwa mfariji mkuu anachekelea watu wake kuzuiwa kuuza mahindi nje ya nchi.
Anafurahishwa na tetesi za kuugua kwa rais aliyechaguliwa na wananchi.
Anaungana na upande wa watesi wetu waliotunyonya miaka nenda rudi.
Mwingine ni kiongozi ila ni mlevi. Sifa ambaye maandiko ya Mungu yanasema kuwa mlevi ni mtu mpumbavu haijalishi ni nani.
Kwa hali kama hii napendekeza Magufuli aongezewe miaka 10 baada ya 2025 ili anyooshe mapito yaliyopinda. Na ikiwezekana atawale mpaka afie madarakani maana huyu rais ni chaguo la Mungu na ni mzalendo kweli kweli!