Uchaguzi 2020 Upinzani hizi dakika za majeruhi naona Dkt. Magufuli anatuumiza sana na hoja ya korona, tujipange kumjibu

Sasa hivi ndio mnasema haukuwa na madhara makubwa ila wakati ule ndio nyie mliokuwa mnasema kuwa hali mbaya watu wanakufa majumbani kimya mkimya sijui serikali inaficha,hata huyo Magufuli akawa anaambiwa kakimbia Dar sababu ya corona. Humu mitandaoni mada za corona zilikuwa haziishi ila et sasa ndio mnasema haukuwa na madhara makubwa.

Kama ugonjwa hauna madhara makubwa kwanini sasa mlikuwa mnatisha watu wakati huo au sasa ndio mmejua kuwa haukuwa na madhara makubwa na ndio maana zile kelele mmeziache tena?
Unajua maana ya ugonjwa wa mlipuko? Ugonjwa wowote wa mlipuko huweza kuambukiza na hata kuua kwa muda mfupi, kisha ukaisha wenyewe ama kupatiwa tiba. Mfano mrahisi ni ugonjwa wa kipindupindu au red eyes, magonjwa haya hutokea na kuambukiza kwa haraka mno, ila huisha kwa tiba, au yenyewe automatically. Tafuta mtu mwenye ufahamu wa magonjwa ya mlipuko akupe elimu ya eneo hili.
 
Mbona Lisu anakumbushia risasi wakati ni miaka kibao..Covid 19 mpaka sasa ni habari ngumu Duniani lakini huyu Magufuli alituongoza vyema kukabiliana nayo.


October 28th ni landslide victory kwa JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Lissu anachofanya ni tuhuma tu kwa serikali kuhusika na kushambulia kwake,sasa wewe unaposema kuwa ni mambo ya zamani una maana ni kweli serikali ndio ilihusika ila Lissu anatakiwa asiendelee kukumbushia yashapita?
 
Unajua maana ya ugonjwa wa mlipuko? Ugonjwa wowote wa mlipuko huweza kuambukiza na hata kuua kwa muda mfupi, kisha ukaisha wenyewe ama kupatiwa tiba. Mfano mrahisi ni ugonjwa wa kipindupindu au red eyes, magonjwa haya hutokea na kuambukiza kwa haraka mno, ila huisha kwa tiba, au yenyewe automatically. Tafuta mtu mwenye ufahamu wa magonjwa ya mlipuko akupe elimu ya eneo hili.
Hoja yangu ni huku kusema kuwa ugonjwa haukuwa na madhara makubwa,wakati huko mwanzo mlikuwa mnasema hali mbaya watu wanakufa majumbani kimya kimya ila serikali inaficha.

Ndio nauliza je hayo mliokuwa mkisema wakati huo yalikuwa ni kweli? na kama ni kweli je bado hali hiyo inaendelea hadi sasa?
 
Kiukweli unaweza ukawa humpendi Magufuli lakini ukifiria kuhusu corona na jinsi alivyolishughulikia kura yako lazima umpe

Vinginevyo wakipita wale wengine kufungiwa ndani kunatuhusu.
 
Magufuli nae kama hajui siasa anakumbushia mambo ya zamani hayo yashapita ilikuwa siasa tu mbona hao wote waliyokuwa wanapiga kelele za corona sasa hivi hawavai barakoa tena wala kufuata taratibu zozote za kujikinga na corona hii ni kuonesha kuwa ilikuwa ni siasa tu hawakuwa wakimaanisha wanachokisema.

Mbona leo Lissu anashirikiana na ACT wakati alisema ACT kuwa si chama cha upinzani,ni kwamba alisema kisiasa tu hakuwa akimaanisha hivyo na ndio maana sasa anashirikiana nao.

Kwahiyo Magufuli apotezee tu hiyo ishu.
Huyo Lissu anashirikiana na upinzani kwa manufaa yake binafsi.
Huku mtaani tunamshukuru sana Mungu kutuepusha na gonjwa hili kupitia Magufuli
 
Hoja yangu ni huku kusema kuwa ugonjwa haukuwa na madhara makubwa,wakati huko mwanzo mlikuwa mnasema hali mbaya watu wanakufa majumbani kimya kimya ila serikali inaficha.

Ndio nauliza je hayo mliokuwa mkisema wakati huo yalikuwa ni kweli? na kama ni kweli je bado hali hiyo inaendelea hadi sasa?

Ww una tatizo la uelewa na hauonekani kulijua tatizo hilo. Ngoja nikupe mfano mrahisi, kuelekea mwisho wa mwaka jana mpaka mwanzoni mwa mwaka huu, kulikuwa na mvua nyingi zilizopelekea watu kulalamika uharibifu ule. Je ilikuwa uongo kisa sasa hivi mvua hizo hazipo? Unapimaje ukweli wa ugonjwa huku mamlaka husika zikiwa zinaficha taarifa? Ww sio kwamba ni mbishi, ila una IQ ndogo, hapa ndio tatizo lako la msingi lilipo.
 
Ww una tatizo la uelewa na hauonekani kulijua tatizo hilo. Ngoja nikupe mfano mrahisi, kuelekea mwisho wa mwaka jana mpaka mwanzoni mwa mwaka huu, kulikuwa na mvua nyingi zilizopelekea watu kulalamika uharibifu ule. Je ilikuwa uongo kisa sasa hivi mvua hizo hazipo? Unapimaje ukweli wa ugonjwa huku mamlaka husika zikiwa zinaficha taarifa? Ww sio kwamba ni mbishi, ila una IQ ndogo, hapa ndio tatizo lako la msingi lilipo.
Mamlaka zilificha taarifa ila nyie mlikuwa mnasema hali ni mbaya,mliwezaje kujua kuwa hali ni mbaya ikiwa taarifa zilifichwa?

Nyinyi ambao mlikuwa mnaweza kujua kuwa hali ni mbaya pamoja na serikali kuficha taarifa tunawaona sasa wote tunakusanyana kwenye mikutano ya siasa bila tahadhari zozote,ndio tunauliza kuwa mmeona hali si mbaya tena kwa sasa?
 
Mamlaka zilificha taarifa ila nyie mlikuwa mnasema hali ni mbaya,mliwezaje kujua kuwa hali ni mbaya ikiwa taarifa zilifichwa?

Nyinyi ambao mlikuwa mnaweza kujua kuwa hali ni mbaya pamoja na serikali kuficha taarifa tunawaona sasa wote tunakusanyana kwenye mikutano ya siasa bila tahadhari zozote,ndio tunauliza kuwa mmeona hali si mbaya tena kwa sasa?
IQ ndogo, huo ugonjwa ulikuwa ni wa kudumu mpaka ushangae watu kukaa pamoja sasa. Kwani hata wakati ule ugonjwa ukiwa juu watu walikuwa hawakai pamoja?
 
Tunataka asema yupo wapi Azory, Ben sanaame na nani alimpiga risasi Lissu
 
IQ ndogo, huo ugonjwa ulikuwa ni wa kudumu mpaka ushangae watu kukaa pamoja sasa. Kwani hata wakati ule ugonjwa ukiwa juu watu walikuwa hawakai pamoja?
Unaposema "huo ugonjwa ulikuwa..." kwani sasa hakuna tena huo ugonjwa Tz au ndio sasa hali sio mbaya tena?

Mwanzo watu walikuwa wanavaa barakoa na kunawa sana mikono na sidhani kama ingewezekana kuwajaza watu kama wanavyojazana kwenye kampeni halafu wote wasivae hata barakoa tu,ila baada ya Magufuli kudai kuwa Tz corona imeisha ndipo watu wengi wakaacha kuzingatia hata kuvaa barakoa na kuanza kujiachia kabisa bila woga.
Ila wakati huo nyie mlikuwa mkisema Magufuli anadanganya watu corona bado ipo kwamba huwezi kusema hakuna corona wakati haupimi watu corona.

Sasa hivi tunaona hadi nyie mnajichanganya na wale wanaoamini corona hakuna imeondoshwa na maombi tena bila barakoa,ndio maana nauliza kwani sasa ile hali mbaya haipo tena hadi na nyie muache kuzingatia taratibu za kujikinga na corona na huku mkijichanganya kwenye umati wa watu?
 
Corona imeisambaratisha ccm kwa kuifanya ikiuke mashariti ya zindiko la mwenge lisifanyike kupumbazia akili za watz
Hiko ni kimoja cha pili ni
40 years rule. Walilazimiaha 2015 wakavuka 40 years. So mwaka huu damu ya kutosha itamwagika sababu wamekiuka hii rule. Na Itakuwa mwisho wao hawatainuka tena.
 
Watu kibao tunajua ukimwi upo na wala hatuvai kondom. Kutofuata taratibu za kupambana na ugonjwa, hiyo haimaanishi huo ugonjwa umeisha. Mimi ni mwananchi na ninajua serikali wala maombi sio yaliyoondoa huo ugonjwa, bali huo ugonjwa haukuwa na madhara makubwa kwenye ukanda wetu. Mtanzania yoyote anayeamini serikali na maombi ndio yameondoa huo ugonjwa, ni mjinga kama mjinga yoyote. Imeisha hiyo.
Wanatafuta tu sababu ya kuhalalisha kumuita huyo screwball wao mungu
 
Mie niliwaona wajinga mlipotoka Bungeni kwenda karantini, afu kutwa kucha mnazurula mitaani na kufanya media tour! Nikajua mnatumia matope badala ya akili, wenzenu wanajifungiaga ndani! Hii hoja sio inawaumiza tu, Bali imewamaliza kabisa nyinyi na mabeberu wenzenu!
 
Back
Top Bottom