Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,662
- 102,700
Imepungua kabisa, na sio Tanzania tu, na sio Tanzania tu bali ni Afrika mashariki yote.Kwani mie nabisha kuwa corona si ugonjwa wa mlipuko? nachotaka kujua ni kwamba corona(ugonjwa wa mlipuko) imeisha Tz au imepungua?