mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Kwa jinsi anavyoipiga kwa sasa kila anapopita ni kama anaiweka kichochezi hivi, kwa sababu hadi sasa ni kweli Korona ipo na Ulaya na marekani hari bado ni tete.
Yeye anazungumzia mambo yaliyopita kuwa vingozi wetu walikimbia bungeni mara kujilokudouni hii anatuchafua sana, na kibaya zaidi anasema kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani wanasema Korona itaendelea kwa zaidi ya miaka 2 hivyo anasema kama hawa jamaa wakichukuwa nchi chakwanza ni kutufungia ndani watu kwani vingozi wetu walitoa povu sana kuhusu hilo na mpaka leo hawajakanusha au kulitolea ufafanuzi.
Minaona viongozi wetu tukiwa tumebakiza siku hizi chache walizungumzie hili wapiga kura wetu ambao ni wengi sana kwa sasa watupigie kura nyingi na Korona isiwe ishu tena. Kwa sababu kilamtu anajua kipindi cha Korona hari ilikuwa tete sana.
Yeye anazungumzia mambo yaliyopita kuwa vingozi wetu walikimbia bungeni mara kujilokudouni hii anatuchafua sana, na kibaya zaidi anasema kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani wanasema Korona itaendelea kwa zaidi ya miaka 2 hivyo anasema kama hawa jamaa wakichukuwa nchi chakwanza ni kutufungia ndani watu kwani vingozi wetu walitoa povu sana kuhusu hilo na mpaka leo hawajakanusha au kulitolea ufafanuzi.
Minaona viongozi wetu tukiwa tumebakiza siku hizi chache walizungumzie hili wapiga kura wetu ambao ni wengi sana kwa sasa watupigie kura nyingi na Korona isiwe ishu tena. Kwa sababu kilamtu anajua kipindi cha Korona hari ilikuwa tete sana.