Upinzani chutameni, mpo Uchi

Upinzani chutameni, mpo Uchi

Wewe Utapata buk 3 tu. Huu ni usajili mpya. Memba buk 7View attachment 1043559

Sent using Jamii Forums mobile app
huu ni ugonjwa mbaya sana kila usajili mpya buku saba kwani ww siku ya kwanza unajiunga Jf ulikuwa member buku saba? Changia Hoja kama unaona memba buku saba unahangaika nini ku screenshot? au hizo ndio sera zenu mnazozipambanua kuwa new memba ni buku7? au mnatarajia kila new memba awe upande wenu tuuuu au sio?
 
Hayo uliyoyaorodhesha kama mafanikio ya Magufuli ni sawa na bure kama hali mbaya ya uchumi na ukosefu wa ajira bado vimeshamiri katika jamii

Serikali yoyote huwa kazi yake kubwa ni kupunguza tatizo la ajira na kupambana na hali mbaya ya uduni wa maisha, sasa kwa utawala huu Magufuli ebu twambie amepunguzaje tatizo la ajira pamoja na tatizo la umasikini nchini?
 
Kabla hamjaanza kushutumu kuwa serikali ya awamu ya Tano inadhamira ya kuua na kuufuta upinzani nchini ni vema mkajiaangalia mienendo yenu na kisha mkajitathmini ni nani hasa ambae anataka kuutokomeza upinzani Nchini, ni serikali au Upinzani wenyewe?

Miaka ya 2005 ,2010 na 2015 upinzani ulijizolea umaarufu sana kwa wananchi kwa kuwa na sera bora ambazo zilijipambanua vyema kwa wananchi na wananchi walizielewa kwa urahisi kiasi cha kuwakubali na hivyo kujenga imani kwao.

Sera kama ya kupambana na mafisadi ambayo Dr. Slaa aliisimamia kwa nguvu zote au utawala wa kimajimbo ambayo Mbowe kamanda wa anga alikuwa akisimamia unaona kabisa zilikuwa zikivuta hisia kwa wananchi walio wengi. nakumbuka pia namna Dr. Slaa alivyokuwa anaweza kujenga hoja zenye ushahidi wa kutosha bungeni na nchi nzima Dr. Slaa na akina Zitto Kabwe walijipatia umaarufu kwa hoja kali Bungeni.

Hali imekuwa tofauti sasa upinzani leo hii ukiwaambia wawaeleze wananchi ajenda yao wanayo isimamia kama chama pinzani sina shaka kabisa kuwa hawana na kama wanayo basi hawana nguvu ya kuisimaimia mbele ya wananchi. mbaya zaidi hoja ambazo zilikuwa zinawapambanua na kuwatofautisha na chama tawala ndizo ambazo serikali au chama tawala ndio wanazitekeleza kwa nguvu zote na hivyo kuwafanya wakose hoja za kusimamia.

Ninachokiona kwa upinzani kwa sasa ni hoja za kudandia au bendela fuata upepo, leo ikija hoja ya korosho basi wapinzani wote watahamia katika mitandao ya kijamii na wataishupalia na kuonyesha umahili na ujuaji wao kuhusu suala husika, kesho lijitokeza suala la maduka ya kubadilishia fedha basi wanasahau korosho wanahamia maduka ya kubadilishia fedha.

Mwisho wa siku 2020 hii hapa. Magufuli atawaambia wananchi Mnaziona Barabara, Hospitali,Reli,Elimu bure, Upatikanaji wa umeme, madawa, maji nk.... sasa sijui nyie mtaonyesha nini?

Ninachokiona ni kuwa upinzani wamekosa watu wenye maono na uwezo mkubwa wa kuandaa sera na ajenda za kitaifa kama walivyokuwa enzi za kina Dr. Slaa na kundi lake hivyo kabla hawajaaza kumtafuta anaeua upinzani wajitafakali wenyewe na kuona wanaanguka wapi?

Magufuli Anachapa kazi na wananchi wanaona na vile vizuri anavyovifanya na nyie mnavipinga kwa kudai mnataka maendeleo ya watu badala ya vitu wananchi wanawashangaa pia.
#MATAGA mnataabika sana
 
huu ni ugonjwa mbaya sana kila usajili mpya buku saba kwani ww siku ya kwanza unajiunga Jf ulikuwa member buku saba? Changia Hoja kama unaona memba buku saba unahangaika nini ku screenshot? au hizo ndio sera zenu mnazozipambanua kuwa new memba ni buku7? au mnatarajia kila new memba awe upande wenu tuuuu au sio?
Dogo Kama unahoja vile lakini unakosa namna ya kuiwasiilisha au ufahamu wa kuitetea. Hebu waalimishe wapinzani kwanza; Nini maana ya sera "'policy"' ama unazungumzia Ilani "manifesto" !!. Nani anatunga sera..Nani anatakiwa kuzitangaza sera au Ilani? Wapingani au watawala? Nani anaruhusu utangazaji na wapi atazitangaza hizo sera "policy"? Ni kweli anayetakiwa kutangazwa na kuzitekeleza sera Ni wapingaji/wapinzani? Kwa minajili gani? Atatekelezaje hizo sera anazotangaza na kwa bajeti gani. Je anaruhusiwa kutembea nchi nzima kama inavyotakiwa na katiba na Sheria kutangazwa hizo sera? Zitawafikiaje walengwa ambao hawajaruhusiwa kuwafikia japp Sheria inaruhusu Hilo? Je yapaswa kuwalaumu hawana sera hawa wapingaji/ Wapinzani kwa mukhtada huu? Anayetangaza na kutekeleza sera siku zote Ni watawala..yaaani sisi Happ sio walee. Nina hakika una "points" mchango miingi na "valid" sahihi lakini namna ya uwasikishwaji. Nadhani hawa wapinzani hawahitajiki kuchutama wanachutamishwa na kulazimisha kuvuliwa nguo..hawajavua wenyewe..
 
huu ni ugonjwa mbaya sana kila usajili mpya buku saba kwani ww siku ya kwanza unajiunga Jf ulikuwa member buku saba? Changia Hoja kama unaona memba buku saba unahangaika nini ku screenshot? au hizo ndio sera zenu mnazozipambanua kuwa new memba ni buku7? au mnatarajia kila new memba awe upande wenu tuuuu au sio?
Dogo Kama unahoja vile lakini unakosa namna ya kuisakilisha au ufahamu wa kuitetea. Hebu waelimishe wapinzani kwanza; Nini maana ya sera "'policy"' ama unazungumzia Ilani "manifesto" !!. Nani anatunga sera..Nani anatakiwa kuzitangaza sera au Ilani? Wapingani au watawala? Nani anaruhusu utangazaji na wapi atazitangaza hizo sera "policy"? Ni kweli anayetakiwa kutangazwa na kuzitekeleza sera Ni wapingaji/wapinzani? Kwa minajili gani? Atatekelezaje hizo sera anazozitangaza na kwa bajeti gani? Je anaruhusiwa kutembea nchi nzima kama inavyotakiwa na katiba na Sheria kutangaza hizo sera? Zitawafikiaje walengwa ambao hawajaruhusiwa kuwafikia japo Sheria inaruhusu Hilo? Je yapaswa kuwalaumu hawana sera hawa wapingaji/ Wapinzani kwa mukhtada huu? Anayetangaza na kutekeleza sera siku zote unamjua/ tunamjua..yaaani Kati ya sisi hapa au walee. Nina hakika una "points" mchango miingi na "valid" sahihi lakini namna ya uwasikishwaji. Nadhani hawa wapinzani hawahitajiki kuchutama wanachutamishwa na kulazimisha kuvuliwa nguo..hawajavua wenyewe..
 
Dogo Kama unahoja vile lakini unakosa namna ya kuiwasiilisha au ufahamu wa kuitetea. Hebu waalimishe wapinzani kwanza; Nini maana ya sera "'policy"' ama unazungumzia Ilani "manifesto" !!. Nani anatunga sera..Nani anatakiwa kuzitangaza sera au Ilani? Wapingani au watawala? Nani anaruhusu utangazaji na wapi atazitangaza hizo sera "policy"? Ni kweli anayetakiwa kutangazwa na kuzitekeleza sera Ni wapingaji/wapinzani? Kwa minajili gani? Atatekelezaje hizo sera anazotangaza na kwa bajeti gani. Je anaruhusiwa kutembea nchi nzima kama inavyotakiwa na katiba na Sheria kutangazwa hizo sera? Zitawafikiaje walengwa ambao hawajaruhusiwa kuwafikia japp Sheria inaruhusu Hilo? Je yapaswa kuwalaumu hawana sera hawa wapingaji/ Wapinzani kwa mukhtada huu? Anayetangaza na kutekeleza sera siku zote Ni watawala..yaaani sisi Happ sio walee. Nina hakika una "points" mchango miingi na "valid" sahihi lakini namna ya uwasikishwaji. Nadhani hawa wapinzani hawahitajiki kuchutama wanachutamishwa na kulazimisha kuvuliwa nguo..hawajavua wenyewe..
Umenena vema mkuu nashukuru kwa kupigia mistari hoja na kuifanya ieleweke vema
 
Matope kazini. Sera zipo lakini ruhusa ya upinzani kuwaeleza wananchi hakuna! Kutwa kuchwa ni wao kupita kuwadanganya wananchi huku wakiwaomba wawaunge mkono kwa nguvu. Polisi, tbc na mahakama vimekuwa vyombo vyao vya kukandamiza upinzani. Mpaka kichefuchefu kwa yanayoendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi inaongozwa kienyeji pasipo katiba sheria za Nchi kufuatwa kila kitu ni zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM na Naibu Rais ndugu Daud Maliyamungu Bashite
 
Kabla hamjaanza kushutumu kuwa serikali ya awamu ya Tano inadhamira ya kuua na kuufuta upinzani nchini ni vema mkajiaangalia mienendo yenu na kisha mkajitathmini ni nani hasa ambae anataka kuutokomeza upinzani Nchini, ni serikali au Upinzani wenyewe?

Miaka ya 2005 ,2010 na 2015 upinzani ulijizolea umaarufu sana kwa wananchi kwa kuwa na sera bora ambazo zilijipambanua vyema kwa wananchi na wananchi walizielewa kwa urahisi kiasi cha kuwakubali na hivyo kujenga imani kwao.

Sera kama ya kupambana na mafisadi ambayo Dr. Slaa aliisimamia kwa nguvu zote au utawala wa kimajimbo ambayo Mbowe kamanda wa anga alikuwa akisimamia unaona kabisa zilikuwa zikivuta hisia kwa wananchi walio wengi. nakumbuka pia namna Dr. Slaa alivyokuwa anaweza kujenga hoja zenye ushahidi wa kutosha bungeni na nchi nzima Dr. Slaa na akina Zitto Kabwe walijipatia umaarufu kwa hoja kali Bungeni.

Hali imekuwa tofauti sasa upinzani leo hii ukiwaambia wawaeleze wananchi ajenda yao wanayo isimamia kama chama pinzani sina shaka kabisa kuwa hawana na kama wanayo basi hawana nguvu ya kuisimaimia mbele ya wananchi. mbaya zaidi hoja ambazo zilikuwa zinawapambanua na kuwatofautisha na chama tawala ndizo ambazo serikali au chama tawala ndio wanazitekeleza kwa nguvu zote na hivyo kuwafanya wakose hoja za kusimamia.

Ninachokiona kwa upinzani kwa sasa ni hoja za kudandia au bendela fuata upepo, leo ikija hoja ya korosho basi wapinzani wote watahamia katika mitandao ya kijamii na wataishupalia na kuonyesha umahili na ujuaji wao kuhusu suala husika, kesho lijitokeza suala la maduka ya kubadilishia fedha basi wanasahau korosho wanahamia maduka ya kubadilishia fedha.

Mwisho wa siku 2020 hii hapa. Magufuli atawaambia wananchi Mnaziona Barabara, Hospitali,Reli,Elimu bure, Upatikanaji wa umeme, madawa, maji nk.... sasa sijui nyie mtaonyesha nini?

Ninachokiona ni kuwa upinzani wamekosa watu wenye maono na uwezo mkubwa wa kuandaa sera na ajenda za kitaifa kama walivyokuwa enzi za kina Dr. Slaa na kundi lake hivyo kabla hawajaaza kumtafuta anaeua upinzani wajitafakali wenyewe na kuona wanaanguka wapi?

Magufuli Anachapa kazi na wananchi wanaona na vile vizuri anavyovifanya na nyie mnavipinga kwa kudai mnataka maendeleo ya watu badala ya vitu wananchi wanawashangaa pia.

Ukiona jitu zima lenye mvi linaandika BENDELA badala ya BENDERA,then I was done with that nonsense!
 
Ukiona jitu zima lenye mvi linaandika BENDELA badala ya BENDERA,then I was done with that nonsense!
Mengi ya hayo majitu kama uchafu yanafagiliwa, yanaokotwa, yanazolewa, yanakokotwa na kuja kubwagwa humu kuichafua JF iwe kama dampo. Kiswahili chao ndicho hicho na hapo hilo jitu limejitahidi kweli kweli!
 
Kabla hamjaanza kushutumu kuwa serikali ya awamu ya Tano inadhamira ya kuua na kuufuta upinzani nchini ni vema mkajiaangalia mienendo yenu na kisha mkajitathmini ni nani hasa ambae anataka kuutokomeza upinzani Nchini, ni serikali au Upinzani wenyewe?

Miaka ya 2005 ,2010 na 2015 upinzani ulijizolea umaarufu sana kwa wananchi kwa kuwa na sera bora ambazo zilijipambanua vyema kwa wananchi na wananchi walizielewa kwa urahisi kiasi cha kuwakubali na hivyo kujenga imani kwao.

Sera kama ya kupambana na mafisadi ambayo Dr. Slaa aliisimamia kwa nguvu zote au utawala wa kimajimbo ambayo Mbowe kamanda wa anga alikuwa akisimamia unaona kabisa zilikuwa zikivuta hisia kwa wananchi walio wengi. nakumbuka pia namna Dr. Slaa alivyokuwa anaweza kujenga hoja zenye ushahidi wa kutosha bungeni na nchi nzima Dr. Slaa na akina Zitto Kabwe walijipatia umaarufu kwa hoja kali Bungeni.

Hali imekuwa tofauti sasa upinzani leo hii ukiwaambia wawaeleze wananchi ajenda yao wanayo isimamia kama chama pinzani sina shaka kabisa kuwa hawana na kama wanayo basi hawana nguvu ya kuisimaimia mbele ya wananchi. mbaya zaidi hoja ambazo zilikuwa zinawapambanua na kuwatofautisha na chama tawala ndizo ambazo serikali au chama tawala ndio wanazitekeleza kwa nguvu zote na hivyo kuwafanya wakose hoja za kusimamia.

Ninachokiona kwa upinzani kwa sasa ni hoja za kudandia au bendela fuata upepo, leo ikija hoja ya korosho basi wapinzani wote watahamia katika mitandao ya kijamii na wataishupalia na kuonyesha umahili na ujuaji wao kuhusu suala husika, kesho lijitokeza suala la maduka ya kubadilishia fedha basi wanasahau korosho wanahamia maduka ya kubadilishia fedha.

Mwisho wa siku 2020 hii hapa. Magufuli atawaambia wananchi Mnaziona Barabara, Hospitali,Reli,Elimu bure, Upatikanaji wa umeme, madawa, maji nk.... sasa sijui nyie mtaonyesha nini?

Ninachokiona ni kuwa upinzani wamekosa watu wenye maono na uwezo mkubwa wa kuandaa sera na ajenda za kitaifa kama walivyokuwa enzi za kina Dr. Slaa na kundi lake hivyo kabla hawajaaza kumtafuta anaeua upinzani wajitafakali wenyewe na kuona wanaanguka wapi?

Magufuli Anachapa kazi na wananchi wanaona na vile vizuri anavyovifanya na nyie mnavipinga kwa kudai mnataka maendeleo ya watu badala ya vitu wananchi wanawashangaa pia.
Macho yako yana matatizo.Nenda kwa Madaktari wa macho wakakupime

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom