Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Hahahahahaaaaa,umepiga mule mule!!!!!!!Watanzania si wajinga kama unavyofikiria
Hahahahahaaaaa,umepiga mule mule!!!!!!!Watanzania si wajinga kama unavyofikiria
Huwezi kumuelewa na kama ungemuelewa ningeshangaa maana lumumba pamejaa vilaza!hakuna mahala nilipo waita watanzania ni wajinga? bali nimesema watanzania wanaona yanayofanywa na kila mtu chama tawala na pinzani, hivyo suala ni lenu kuchutama au kuendelea kutembea uchi 2020 inakaribia
yani hapo hakuna hoja hata moja yani akuambie waliomteka MO,Roma na walio mshambulia lisu ye anawajuaje si ukaulize polisi ndo wanazo hizo taarifa
uwanja wandege kwani ye ndo mamlaka ya anga mbona mikoa mingi tu kuna viwanja vya ndege
mikutano ya kisiasa ipi ni jana tu tarehe 10 mbunge wako wa tarime vijijini amefanya mkutano
sasa sijui mnataka nini kila kitu kipo wazi
wanarukaruka tuu wanashindwa kuzisema sera za upinzani zaidi ya kutoa tuhuma kwa Magufuli.Naungana na kila mtu anayelaumu mabaya ya Magufuli..... labda hii ni moja ya sera kuu? dont know
ila swali linabaki sera za upinzani ni zipi?
uzuri ni kwamba hata ww unaedai kuwa umeelewa zaidi inaonesha kuwa bado haujaelewa pia, soma vizuri....Huwezi kumuelewa na kama ungemuelewa ningeshangaa maana lumumba pamejaa vilaza!
Anachosema ni kuwa,watz sio wajinga kitoelewa propaganda cheap uliyoandika!Usidhani wasomaji ni watoto wadogo kwamba akilj unamwambia ateme mate umchape mbaya naye anaridhika!!!!!
hizi ndio sera mlizobakiwa nazo ambazo mnaweza kusimama nazo kwa wananchi na wakawaelewa, matusi, kejeli na tuhuma ambazo mkiambiwa mthibitishe hamuwezi.Rubbish
Unafikiri kila mtu anawaza mawazo yako
Mkimaliza kuua na kuteka kudhulumu na kuminya demokrasia ndio mje muandike huu upupu wenu
All I can say ' You are out of your mind'
Hivi mtu mwenye akili timamu wawezaje kuisifu serikali inayofanya ujambazi wa kiwango hicho??
Mbona haujayataja ya kuteka,kutesa,kuua,kulazimisha kujiunga na CCM,wizi wa kura na kulazimisha chaguzi nk.Kwani hayo Watanzania hawayaoni?Utadai ushahidi.Muhalifu huwa anakuachia ushahidi kiurahisi tu?hakuna mahala nilipo waita watanzania ni wajinga? bali nimesema watanzania wanaona yanayofanywa na kila mtu chama tawala na pinzani, hivyo suala ni lenu kuchutama au kuendelea kutembea uchi 2020 inakaribia
bado sijaona sera yenu hapo? naona tuhuma tuu ambazo anaetakiwa kujibu sio Magufuli
Hili haliwezekani chini ya utawala huu! Labda kama kuna siri unayoifahamu, tusiyoijua wengi wetu, inayokufanya uamini hivyo!2020 CCM itakuwa chama cha upinzani kama KANU ya kenya amini usiamini
uzuri ni kwamba sina chama sio ccm wala Chadema ila nimewaambia chutameni, hivyo ni uamuzi wenu kukimbia uchi au kuchutama msaidiwe kujisitiri
Watanzania si wajinga kama unavyofikiria
unastahili kuwa Jf-Expert sio wengine ma -expert vichwa maji tuu.... Heshima yako mkuuNingeondoa huko 'kusifu' alikofanya mleta mada na kutupilia mbali.
Baada ya kufanya hivyo, yale mengine aliyoyaweka humo ningeyachambua kwa umakini mkubwa kama ningekuwa na sauti yoyote ndani ya vyama vya upinzani.
'Mystery', umetoa 'rebutal' makini sana juu ya hayo aliyoyaweka kama sababu za CCM kuendelea kuwavutia wananchi.
Lakini CHADEMA na wenzao sasa wanatakiwa wawe na mikakati ya kuyawasilisha haya, yawaingie na kuwakorea kabisa wananchi. Ni mambo mazito sana yanayohitaji kuelezwa vizuri kwa wananchi, na mifano hai ikitolewa, isionekane kuwa uzushi, kama wanavyotaka CCM wananchi wayachukulie.
Hoja ya 'Sera' ni mhimu sana. Hata kama baadhi ya mambo yao yamechukuliwa na CCM na kufanyiwa kazi, hiyo haina maana kwamba CHADEMA mambo hayo wamenyang'anywa. Kama waliyaamini, inatakiwa waendelee kuyasisitiza na kuonyesha njia ambazo wangezitumia kuyafanikisha zaidi ya hao CCM wanavyofanya.
Chukulia mfano wa 'elimu bure' na utekelezaji wake. Kama CCM wameitekeleza hii, haina maana kwamba CHADEMA hawawezi tena kuitumia kujitofautisha na jinsi CCM ilivyoiparamia. Hali kadhalika na mengineyo yaliyoporwa.
Udhaifu ninaouona sasa hivi, ni hali ya 'mgando' inayowakabili wapinzani wakati huu.
Sina hakika kama mgando huu unatokana na hali ngumu inayowakabili katika utendaji wao 'pekee'.
Nadhani kuna sababu nyingine zaidi ya uonevu wanaofanyiwa zinazowasababishia kuwa na hali ya kutoonyesha uhai katika mambo yao ya siasa
Sina hakika kama wapinzani watahimili miaka mitano mingine ya CCM chini ya Magufuli.
Ukweli ni kwamba naiona Tanzania tofauti kabisa baada ya 2020, kama hali itaendelea au kuzidi inayoonekana sasa.
Tuzidi kuliombea Taifa letu.
yani hapo hakuna hoja hata moja yani akuambie waliomteka MO,Roma na walio mshambulia lisu ye anawajuaje si ukaulize polisi ndo wanazo hizo taarifa
uwanja wandege kwani ye ndo mamlaka ya anga mbona mikoa mingi tu kuna viwanja vya ndege
mikutano ya kisiasa ipi ni jana tu tarehe 10 mbunge wako wa tarime vijijini amefanya mkutano
sasa sijui mnataka nini kila kitu kipo wazi
kwa taarifa yako tuu,,, sitegemei kulipwa na yeyote nafanya yangu kwa uhuru wangu, nimeingia jf kama ww ulivyoingia jf na baadae ukawa mwenyeji, sijaona mahali palipoandikwa new memba wanalipwa buku mbili, au wakakatazwa kuchangia mada zilizopo ubaoni,Hongera sana kwa thread! Umejitahidi Sana. Tutakuongezea buk 2 ziwe 9. View attachment 1043553
Sent using Jamii Forums mobile app