Upinzani: CCM ni Hatari kama Dihdydrogen Monoxide

Upinzani: CCM ni Hatari kama Dihdydrogen Monoxide

CCM ni hatari kama "Dihdydrogen Monoxide", dihydrogen monoxide ni kemikali hatari ambayo pia hujulikana kama hydric acid, hydrogen oxide, hydroxilic acid.

Kemikali hiyo hutumika kwenye viwanda vya nuclear, huweza kusababisha madhara ya kukuunguza vibaya sana, pia inasaidia kutengeneza kutu kwa haraka sana, lakini kemikali hiyo pia hupatikana majumbani mwetu, hutumika kwa kuzuwia moto, hutumika kwa kutayarisha vyakula na pia kwenye baadhi ya dawa tunazotumia.

Ili kuhakikisha Watanzania hatujiongezei madhara kwa kemikali hii hatari inabidi tuhakikishe na tuwe makini kutoitumia, majumbani mwetu, viwandani mwetu, mashuleni na hata mitaani.

Upinzani Tanzania kila kukicha unakuja na hatari mpya ya CCM kubaki kuwepo madarakani. CCM kuendelea kuwepo madarakani ni kama kukubali kuiwacha dihdrogen monoxide iendelee kuwepo majumbani mwetu na huku madhara yake tunayajuwa.

Ni wakati muafaka sasa tuhakikishe kuwa hatukubali kutumia dihdrogen monoxide (CCM) kuwepo Tanzania hii. Madhara ya kuiwacha ni makubwa sana.

Kabla hatuja chukuwa hatua ya kuwacha kuitumia dihdrogen monoxide aka CCM, kwanza tuielewe vizuri hii kemikali;

Dihdrogen monoxide pia kitaalam hujulikana kama H2O. H2O kwa walioenda shule japo kiduchu si kingine bali ni Maji.

Jee, tupo tayari kuacha kuitumia kemikali hii hatari kama upinzani unavyotaka kutuaminisha?

Ukitaka kujuwa zaidi kuhusu dihdrogen monoxide, pitia hapa:
http://geekiez.com/have-you-been-exposed-to-deadly-dihydrogen-monoxide/


Epua huo uchafu haraka wape mafisadi wale
 
Contaminated water is a serious health risk. Chanzo cha mlipuko wa magonjwa hatarishi.

Dawa yake utainywa bila "dihydrogen monoxide"? au zile drip utazobandikwa zina asilimia ngapi ya "dihydrogen monoxide"?

Ingawa upo simpleminded lakini kutokujuwa kuwa inabidi upate bilauri ya "dihydrogen monoxide" kila mara utakuwa ni u punguani wa hali ya juu.
 
Sasa unachokitaka ni nini? nimekwambia nangoja ripoti rasmi kutoka kwa Zitto Kabwe, unataka nikae najibu uongo wenu wakati ukweli upo? unanchekesha!

Faiza,
Serikali ya ccm kuihusisha na wizi si jambo la kushangaza. Hili la escrow si la kwanza kutokea ndani ya serikali ya ccm. Awali kulikua na EPA, RICHMOND, UNUNUZI WA RADAR na yote haya yalikua matukio ya ufisadi. Nilitegemea kwa mkongwe kama wewe mwenye kuijua serikali hii ya ccm vizuri ungetulia kwanza mpaka mwisho wa sakata la escrow kama ambavyo umesema sasa kua unasubiria report ya PAC ndio upate cha kuongea. Ndio maana nikakuambia kwamba, sasahivi umepunguza kutoka povu kama awali baadaya kuona angalau sasa upepo unaelekea wapi.
 
Sasa unachokitaka ni nini? nimekwambia nangoja ripoti rasmi kutoka kwa Zitto Kabwe, unataka nikae najibu uongo wenu wakati ukweli upo? unanchekesha!

Faiza,
Serikali ya ccm kuihusisha na wizi si jambo la kushangaza. Hili la escrow si la kwanza kutokea ndani ya serikali ya ccm. Awali kulikua na EPA, RICHMOND, UNUNUZI WA RADAR na yote haya yalikua matukio ya ufisadi. Nilitegemea kwa mkongwe kama wewe mwenye kuijua serikali hii ya ccm vizuri ungetulia kwanza mpaka mwisho wa sakata la escrow kama ambavyo umesema sasa kua unasubiria report ya PAC ndio upate cha kuongea. Ndio maana nikakuambia kwamba, sasahivi umepunguza kutoka povu kama awali baadaya kuona angalau sasa upepo unaelekea wapi.

Naona unajidangaya nafsi yako kwa kuwa tu umejazwa ujinga na umekuingia, nakushauri kapate lita moja ya "dihydrogen monoxide" kwa afya yako.
 
FaizaFoxy, hii dozi nzito kweli....Sijui kama hawa watoto wa bavicha na ukawa watakuelewa!!!!

Ukiingia tu CCM unamwagiwa Dihydrogen monoxide akilini ili akili iwe urojorojo hata ukiambiwa fedha za escrow walizoiba CCM ni mali ya watanzania unakuwa huwezi kabisa kuelewa maana ubongo unakuwa umeshafanywa urojo. kama unabisha jaribu kumuelewesha FF hilo kama atakuelewa?
 
CCM ni hatari kama "Dihdydrogen Monoxide", dihydrogen monoxide ni kemikali hatari ambayo pia hujulikana kama hydric acid, hydrogen oxide, hydroxilic acid.

Kemikali hiyo hutumika kwenye viwanda vya nuclear, huweza kusababisha madhara ya kukuunguza vibaya sana, pia inasaidia kutengeneza kutu kwa haraka sana, lakini kemikali hiyo pia hupatikana majumbani mwetu, hutumika kwa kuzuwia moto, hutumika kwa kutayarisha vyakula na pia kwenye baadhi ya dawa tunazotumia.

Ili kuhakikisha Watanzania hatujiongezei madhara kwa kemikali hii hatari inabidi tuhakikishe na tuwe makini kutoitumia, majumbani mwetu, viwandani mwetu, mashuleni na hata mitaani.

Upinzani Tanzania kila kukicha unakuja na hatari mpya ya CCM kubaki kuwepo madarakani. CCM kuendelea kuwepo madarakani ni kama kukubali kuiwacha dihdrogen monoxide iendelee kuwepo majumbani mwetu na huku madhara yake tunayajuwa.

Ni wakati muafaka sasa tuhakikishe kuwa hatukubali kutumia dihdrogen monoxide (CCM) kuwepo Tanzania hii. Madhara ya kuiwacha ni makubwa sana.

Kabla hatuja chukuwa hatua ya kuwacha kuitumia dihdrogen monoxide aka CCM, kwanza tuielewe vizuri hii kemikali;

Dihdrogen monoxide pia kitaalam hujulikana kama H2O. H2O kwa walioenda shule japo kiduchu si kingine bali ni Maji.

Jee, tupo tayari kuacha kuitumia kemikali hii hatari kama upinzani unavyotaka kutuaminisha?

Ukitaka kujuwa zaidi kuhusu dihdrogen monoxide, pitia hapa:
http://geekiez.com/have-you-been-exposed-to-deadly-dihydrogen-monoxide/



ni kweli kwa wizi tu ni hatari
 
Hasomeki kwa sababu kishapata ubwabwa wa nguvu pale Ikulu, kwa lile kundi maarufu la MACCM wenyewe wanaliita "Wazee wa Dar" na bahasha ya kaki ambayo ya kwake ilionekana imetunatuna kuliko za wenzie. Kwa hiyo wala hujakosea uliposema hasomeki, hauko pekee yako.

Dada Faiza Fox mbona husomeki, au ni kwa sababu sijapata lunch bado??
 
Faiza,
Nijibu swali hili kwanza; EPA ULIKUA UFISADI AU SI UFISADI?

Nakushauri, kwanza kapate lita moja ya maji aka "dihydrogen monoxide" ukimaliza fungulia nyuzi mpya hilo swali lako, ntakuja kukujibu.
 
Hata mimi nakubali, CCM ni dihydrogen monoxide, DHMO! na sifa yake kubwa ni uongo, ulaghai, utapeli, wizi, ufisadi na mauaji. Ukiondoa hizo sifa unabaki na water, H2O! FaizaFoxy unlike DHMO, ESCROW is real and not a hoax. The king is walking naked lakini wewe unamsifia alivyotundika madudu...shame, shame, shame!
 
Last edited by a moderator:
Ajuza aka Bibi Kungwi, rudisheni fedha zetu. Ndiyo habari ya kujini kwa sasa. Na mtapigwa tu siku za karibuni hadi mvimbe.

Soma sahihi yangu bapo chini. Kama unafikiri barafu na mvuke ni maji, haya kunywa. Sisi tunafahamu kuwa Escrow ni MAJI au Water na usije na maneno kama H2O ambayo inaweza kuja katika form tatu tofauti. Ajuza weeeee...,

Dihydrogen Monoxide.
 
Hata mimi nakubali, CCM ni dihydrogen monoxide, DHMO! na sifa yake kubwa ni uongo, ulaghai, utapeli, wizi, ufisadi na mauaji. Ukiondoa hizo sifa unabaki na water, H2O! FaizaFoxy unlike DHMO, ESCROW is real and not a hoax. The king is walking naked lakini wewe unamsifia alivyotundika madudu...shame, shame, shame!

Inaonesha hata huelewi ni nini DHMO, soma tena fata na link ujifunze.

Hivyo ndio vichwa vya chadema! makubwa.
 
Ajuza aka Bibi Kungwi, rudisheni fedha zetu. Ndiyo habari ya kujini kwa sasa. Na mtapigwa tu siku za karibuni hadi mvimbe.

Soma sahihi yangu bapo chini. Kama unafikiri barafu na mvuke ni maji, haya kunywa. Sisi tunafahamu kuwa Escrow ni MAJI au Water na usije na maneno kama H2O ambayo inaweza kuja katika form tatu tofauti. Ajuza weeeee...,

Mlitaka umeme wa bure? kapate gilasi ya maji upooze koo, umechemsha.
 
Inaonesha hata huelewi ni nini DHMO, soma tena fata na link ujifunze.
Hivyo ndio vichwa vya chadema! makubwa.
FYI, I am a chemist! DHMO was/is a viral joke/a hoax kama ilivyo CCM.
 
Back
Top Bottom