Upinzani: CCM ni Hatari kama Dihdydrogen Monoxide

Upinzani: CCM ni Hatari kama Dihdydrogen Monoxide

Upinzani wa waadhirika na viroba hauwezi kuishinda ccm.mtabaki kama fisi mkingojea mkono udundoke
Endelea kuwapa moyo wafu wenzako ccm . UKAWA NI SUMU YA KUISAMBARATISHA SERIKALI YA CCM MADARAKANI
 
Endelea kuwapa moyo wafu wenzako ccm . UKAWA NI SUMU YA KUISAMBARATISHA SERIKALI YA CCM MADARAKANI

UKAWA yenyewe imeshaanza kusambaratika, hauna habari?
 
UKAWA yenyewe imeshaanza kusambaratika, hauna habari?
leta ushahidi wa UKAWA kusambaratika acha umbea na unafiki hizi ni pojoro za ccm ...Tunatambua UKAWA ni mti wenye matunda mema lazima upigwe mawe sisi hatujali kawaida.
 
Naona umeacha kutoa povu kwenye sakata la escrow a/c, posho waliyo kupa imeisha?

Wala hakuna povu, tunasubiri ripoti rasmi kutoka kwa Zitto Kabwe, yanini tuandikie mate na wino upo?

Umeshagonga bilauri ya dihydrogen monoxide?
 
ndo maana JK amesema amechoka anatamani muda wake uishe akachunge mbuzi huko chalinze

Na mwingine amesema amechoka na anatamani amalize muda wake akafuge NYUKI na kulina ASARI, kwa maneno haya ya viongozi wetu wa juu kabisa tunaweza kusonga mbele?
 
Wala hakuna povu, tunasubiri ripoti rasmi kutoka kwa Zitto Kabwe, yanini tuandikie mate na wino upo?

Umeshagonga bilauri ya dihydrogen monoxide?

Ulikua unakomaa hapa jamvini kwa kila post inayohusu escrow a/c. Tena si wewe tu, kuna team iliibuka hapa ilikua haichangii uzi wowote tofauti na escrow a/c. Sikiliza Faiza, linapokuja suala la kitaifa linalogusa umma hebu tuwe tunajitahidi kuweka kwanza pembeni mahaba ya hivi vyama vyetu. Kwenye hili tulipaswa kuwa wamoja likisha malizika kila mtu atawanyikie upande wake. Tuwe kama national team ambayo ina mkusanyiko wa wachezaji toka vilabu mbalimbali wakipigania taifa lao. Hivi kwa mfano wewe leo hii report ya escrow iwekwe mezani na ionekane ni kweli kulikua na wizi na kabla ulikua unatetea kua sio wizi utajisikiaje?
 
na mwingine amesema amechoka na anatamani amalize muda wake akafuge nyuki na kulina asari, kwa maneno haya ya viongozi wetu wa juu kabisa tunaweza kusonga mbele?
Ndo maana hatuendelee ccm wanaiba wanavyotaka kwa sababu wanajua kiongozi wao amechoka
 
Wala hakuna povu, tunasubiri ripoti rasmi kutoka kwa Zitto Kabwe, yanini tuandikie mate na wino upo?

Umeshagonga bilauri ya dihydrogen monoxide?
ccm inaenda kuanguka za mwinzi ccm zimeshakaribia
 
Ulikua unakomaa hapa jamvini kwa kila post inayohusu escrow a/c. Tena si wewe tu, kuna team iliibuka hapa ilikua haichangii uzi wowote tofauti na escrow a/c. Sikiliza Faiza, linapokuja suala la kitaifa linalogusa umma hebu tuwe tunajitahidi kuweka kwanza pembeni mahaba ya hivi vyama vyetu. Kwenye hili tulipaswa kuwa wamoja likisha malizika kila mtu atawanyikie upande wake. Tuwe kama national team ambayo ina mkusanyiko wa wachezaji toka vilabu mbalimbali wakipigania taifa lao. Hivi kwa mfano wewe leo hii report ya escrow iwekwe mezani na ionekane ni kweli kulikua na wizi na kabla ulikua unatetea kua sio wizi utajisikiaje?

Sasa unachokitaka ni nini? nimekwambia nangoja ripoti rasmi kutoka kwa Zitto Kabwe, unataka nikae najibu uongo wenu wakati ukweli upo? unanchekesha!

Mpaka wabunge wenu wamedanganyana bungeni, eti "kama " kuna barua ya mahakama imezuwia mjadala, wakashushuliwa na Azzan Zungu.
 
Back
Top Bottom