Upigaji mzima kwa mujibu wa CAG ni trillion 5.8 kwa mwaka 2020/2021

ANAUPIGA MWINGI

JF-Expert Member
Apr 14, 2022
389
753
Huu ni upigaji mkubwa sana, na still hakuna hatua za maana zitakazo chukuliwa, zaidi ya watu kuhamishiwa taasisi zingine, au kutumbuliwa na kibaya sana ni sisi wananchi kuingiza utani na mzaha wakati ndugu zetu au Watanzania wenzetu wakiteseka kwa kukosa huduma muhimu kama maji na afya.

Wengi tunashangilia kwa sababu tu tuna vijikazi na tunamudu huduma za private, hii ni sawa lalini vipi hao ndugu zetu wengine hasa huko vijijini?

Tukieendelea kuwa tunachukulia utani na mizaha kwenye mambo serious kiasi hiki, hakika ufisadi hautakaaa uishe, swala sio ufisadi umefanyika awamu gani swala ni hatua zichukuliwe.

Haiwezekani upigaji wa kiwango hiki na watu wanahamishwa au kubadilishiwa kazi ndo basi.

Juzi mama kateua mtendaji mpya wa MSD, ni sasa lakini vipi hao walio sabanisha jio hasara? Au ndo wana stafishwa wakatumie hizo pesa walizo piga?
 
Ni kweli kabisa, watu wanapiga wanaficha kwa ajili ya watoto wao, kuja kutumia hata kama wao hawatakuwa Duniani, sisi tunashangilia tuna ujinga mwingi sana vichwani mwetu na kamwe hii ncho haitapata ukombozi wa maana kama sisi raia tutaendelea na uzuzu huu.

Na hii ndo inawapa nguvu sana watawala, kwenye nchi zingine Raisi asingeweza hata kutoka nje ya Mchi lalini angalia Mama anakula Bata USA huku Mabilion kwa mabilion yakipigwa, hana huruma na hana wasiwasi kwa sababu anaongoza mazuzu
 
Tatizo la hii report huwa haitaji watu wakipiga,inataja taasisi tu,mfano tamisemi wamenunua bodaboda kwa wastsni wa shilingi milioni 11 kila moja!, waziri yupo katibu yupo,nani amelipa hizi fedha,kwenda wapi? Huyo ndio inabidi tumtie Kabali,
Maana kutaja tu ufisadi bila kuweka sura za watu,haitoshi.

Kitaa Hali ni mbaya,unakuta wazee wamestasfu,vijana wao wenye “degree" wapo nyumbani hawana mbele Wala nyuma ni kilio tu, kwa mtu mwenye kaajira Jake hawezi kuelewa hii hari.
 
DANGANYIKA KANTRII ITAENDELEWA KULIWA MPAKA PALE SISI WADANGANYIKA TUKIACHA UJINGA NA KUITOA SIRIKALI YA CHICHIEMU
Tuna ujinga mwingi sana ndo maana Mama yuko USA anakula Bata, fikiria mama anapata wapi nguvu za kula bata wakati watu wanapiga pesa? Ni kwa sababu anajua anaongoza watu wana aina gani, kinacho mpa nguvu ni aina ya watu anao waongoza
 
Tatizo la hii report huwa haitaji watu wakipiga,inataja taasisi tu,mfano tamisemi wamenunua bodaboda kwa wastsni wa shilingi milioni 11 kila moja!,waziri yupo katibu yupo,nani amelipa hizi fedha,kwenda wapi?huyo ndio inabidi tumtie Kabali,
Maana kutaja tu ufisadi bila kuweka sura za watu,haitoshi.
Kitaa Hali ni mbaya,unakuta wazee wamestasfu,vijana wao wenye " degree"wapo nyumbani hawana mbele Wala nyuma ni kilio tu,kwa mtu mwenye kaajira Jake hawezi kuelewa hii hari.
Mkuu ukiangalia total upigaji hio pesa inaweza maliza tatizo la ajira kabisa, lakini pesa zinapigwa na kibaya watawala hawana hata wasiwasi, mama hana wasiwasi kabisa ndo kwanza anakula bata, raia sisi tuko bise na mizaha
 
Huu ni upigaji mkubwa sana, na still hakuna hatua za maana zitakazo chukuliwa, zaidi ya watu kuhamishiwa taasisi zingine, au kutumbuliwa na kibaya sana ni sisi wananchi kuingiza utani na mzaha wakati ndugu zetu au Watanzania wenzetu wakiteseka kwa kukosa huduma muhimu kama maji na afya.

Wengi tunashangilia kwa sababu tu tuna vijikazi na tunamudu huduma za private, hii ni sawa lalini vipi hao ndugu zetu wengine hasa huko vijijini?

Tukieendelea kuwa tunachukulia utani na mizaha kwenye mambo serious kiasi hiki, hakika ufisadi hautakaaa uishe, swala sio ufisadi umefanyika awamu gani swala ni hatua zichukuliwe.

Haiwezekani upigaji wa kiwango hiki na watu wanahamishwa au kubadilishiwa kazi ndo basi.

Juzi mama kateua mtendaji mpya wa MSD, ni sasa lakini vipi hao walio sabanisha jio hasara? Au ndo wana stafishwa wakatumie hizo pesa walizo piga?
Na huo wote wakati wa yule bwana.
 
Huu ni upigaji mkubwa sana, na still hakuna hatua za maana zitakazo chukuliwa, zaidi ya watu kuhamishiwa taasisi zingine, au kutumbuliwa na kibaya sana ni sisi wananchi kuingiza utani na mzaha wakati ndugu zetu au Watanzania wenzetu wakiteseka kwa kukosa huduma muhimu kama maji na afya.

Wengi tunashangilia kwa sababu tu tuna vijikazi na tunamudu huduma za private, hii ni sawa lalini vipi hao ndugu zetu wengine hasa huko vijijini?

Tukieendelea kuwa tunachukulia utani na mizaha kwenye mambo serious kiasi hiki, hakika ufisadi hautakaaa uishe, swala sio ufisadi umefanyika awamu gani swala ni hatua zichukuliwe.

Haiwezekani upigaji wa kiwango hiki na watu wanahamishwa au kubadilishiwa kazi ndo basi.

Juzi mama kateua mtendaji mpya wa MSD, ni sasa lakini vipi hao walio sabanisha jio hasara? Au ndo wana stafishwa wakatumie hizo pesa walizo piga?
Duh tungejenga flyover kila wilaya jameni. Mpaka mtakapoelewa ccm sio nzuri kwa ustawi wa nchi hii!
 
Huu ni upigaji mkubwa sana, na still hakuna hatua za maana zitakazo chukuliwa, zaidi ya watu kuhamishiwa taasisi zingine, au kutumbuliwa na kibaya sana ni sisi wananchi kuingiza utani na mzaha wakati ndugu zetu au Watanzania wenzetu wakiteseka kwa kukosa huduma muhimu kama maji na afya.

Wengi tunashangilia kwa sababu tu tuna vijikazi na tunamudu huduma za private, hii ni sawa lalini vipi hao ndugu zetu wengine hasa huko vijijini?

Tukieendelea kuwa tunachukulia utani na mizaha kwenye mambo serious kiasi hiki, hakika ufisadi hautakaaa uishe, swala sio ufisadi umefanyika awamu gani swala ni hatua zichukuliwe.

Haiwezekani upigaji wa kiwango hiki na watu wanahamishwa au kubadilishiwa kazi ndo basi.

Juzi mama kateua mtendaji mpya wa MSD, ni sasa lakini vipi hao walio sabanisha jio hasara? Au ndo wana stafishwa wakatumie hizo pesa walizo piga?

Tatizo ni hao hao watu wa chini wakilishwa uongo na kuitwa wanyonge wanatoa kura, na wakiambiwa tuingie mtaani ili tuheshimiane, wanasema wanatunza amani! Kutetea wajinga ni kazi ngumu sana.
 
Kama Hela Yote hiyo Ilipigwa na Bado Tukaona Maendeleo na Wanyonge wakaishi kitajiri, Magufuli Atabakia Kuwa Rais Bora Kuwahi Kutokea Tanzania.

We Need Another Magufuli.
Ili tupigwe vizuri? Jiwe ameanza kuiba toka 1995 na kavunja rekodi ya wizi tangu tupate uhuru ya upigaji kwa kuiba 1.5 T iyo kumbuka ndo iliwekwa wazi je ambazo hazikuwekwa wazi ni zaidi ya Trillion 30 huko. Eti we need another Magufuli
 
Kuna kikundi kinanufaika,kuanzia jeshini,police,uamiaji,kwenye chama tawala,sasa mwananchi wa kawaida afanyeje?lazima aongozwe kulianzisha au ofisa mmoja kule jeshini amtwange risasi raisi.lakini taasisi zote hizo za usalama zinakula na tabaka tawala.
Pale Kenya ilichukua muungano wa wanasiasa wa upinzanzani na wananchi kukuondoa chama tawala Madarakani,hapa lazima uwe na viongozi wasioogopa kufa,Hawa jamaa wa Ikulu na wenzio wao hawawwzi kuiachia hii nchi kirahisi.
Kikwete na familia yake na marafiki,Mkapa,Mwinyi,Hawa ndio wanaongoza kuitafuna nchi hii,hakuna wizi wa kutisha unaofanyika bila kuwahusisha viongozi wastaafu na waliopo madarakani
 
Huu ni upigaji mkubwa sana, na still hakuna hatua za maana zitakazo chukuliwa, zaidi ya watu kuhamishiwa taasisi zingine, au kutumbuliwa na kibaya sana ni sisi wananchi kuingiza utani na mzaha wakati ndugu zetu au Watanzania wenzetu wakiteseka kwa kukosa huduma muhimu kama maji na afya.

Wengi tunashangilia kwa sababu tu tuna vijikazi na tunamudu huduma za private, hii ni sawa lalini vipi hao ndugu zetu wengine hasa huko vijijini?

Tukieendelea kuwa tunachukulia utani na mizaha kwenye mambo serious kiasi hiki, hakika ufisadi hautakaaa uishe, swala sio ufisadi umefanyika awamu gani swala ni hatua zichukuliwe.

Haiwezekani upigaji wa kiwango hiki na watu wanahamishwa au kubadilishiwa kazi ndo basi.

Juzi mama kateua mtendaji mpya wa MSD, ni sasa lakini vipi hao walio sabanisha jio hasara? Au ndo wana stafishwa wakatumie hizo pesa walizo piga?
Mbuzi wameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba zao
 
.....still hakuna hatua za maana zitakazo chukuliwa....
Na hautakaa uishe na ndio maana kila ripoti hizi hazina mabadiliko ya maana(Hivyo Ukibahatakia kupata nafasi na wewe pita mulemule.
 
Hela haziibiwi bila watawala kujua Ndio maana huoni hata mtu mmoja kufungwa

Hii ni chain ya kutoka juu kabisa ambayo kwa ukweli kabisa akasema muibe kidogo

Hapo unaona tatizo lilipo? Ni mlolongo mrefu wa upigaji na hawawezi kuukata maana ni sheria yao waliojitungia
Ndio maana unaona hata maofisini unaulizwa rushwa dhahiri kabisa bila woga kwa sababu nao wanaona kama haziwafikii za juu Acha watutafune Sisi
 
Back
Top Bottom