Uchunjuba Punjubi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 799
- 619
Habarini wakuu, hivi mfano mtu anataka kuja kuwa muimba mziki au muigizaji, je ili atimize ndoto yake hiyo huwa kuna time limit mfano labda ni late 20's au early 30's au huwa haina limitations kama kwenye mpira n.k