Kuna vipindi havihitaji kuwa seriously na kukaza uso ili kukiendesha.
Ni soga tu Kama kijiweni na kipindi kinaenda swaafi kabisa.
La muhimu kusiwe na maneno mengi yenye ukakasi Kama aliyokuwa anayatoa Marehemu Kibonde..yule alikuwa mropokaji haswa
jahazi limezama 😂😂😂Jahazi limesombwa na maji
Ndio basi tenajahazi limezama í ½í¸í ½í¸í ½í¸
Kama hivyoYote? Kivipi??
Hakuna watangazaji hapa, hakuna wahariri na hakuna waongozaji. Ni vikundi vya wahuni vinavyokutana kupiga soga kwenye vipaza sauti. PeriodtHii kasumba ya kuokoteza watu waropokaji wasio na weledi na kuwapa vipindi haina afya kwa tasnia ya habari, eti wanaojiita ‘wachekeshaji’ ndo wamekuwa watangazaji!!
Kanjanja Media House wamekula kitanzi duuu..Kama hivyoView attachment 1549722
Hawajui power of media house.. ndio maana wanai-abuse.Leo nimesikia wamefungiwa wiki mojahiyo radio kwa kutangaza habari za wagombea ubunge kupita bila kupingwa bila ya kuwa na uthibitisho.
Ina maana hawakuongea na Nec ili kupata uhakika?Leo nimesikia wamefungiwa wiki mojahiyo radio kwa kutangaza habari za wagombea ubunge kupita bila kupingwa bila ya kuwa na uthibitisho.
Nadhani ni hivyo.Ina maana hawakuongea na Nec ili kupata uhakika?
NdioHiki kipindi kilifungiwa kwani?
CLOUDS FM/TV NI WATOVU WAKUBWA WA NIDHAMUSiku ya jana, tumeshuhudia na kusikia hukumu iliyotolewa na Mamlaka ya mawasiliano Tanzania juu ya kipindi maarufu cha Jahazi kinachoruka kupitia Clouds Fm.
Hukumu hiyo imekuja baada ya watangazaji wa kipindi hicho akiwemo G. Habash, Dj Fetty na wenzao kukiuka miiko na maadili ya utangazaji.
Watangazaji hao kupitia kipindi hicho kilichokuwakikiruka kila siku za wiki kuanzia majira ya saa 10 alasiri walisikika wakihamasisha jamii kufanya tendo la kujichua yaani "Punyeto". Jambo ambalo ni kinyume na maadili ya jamii yetu na kuwafunza tabia mbovu vijana na watu mbalimbali.
Baada ya kipindi watangazaji pamoja na msimamizi wa kipindi, Abdul Chembea, msimamizi wa maudhui wa Clouds, Seba Maganga pamoja na Sheba Kusaga waliitwa na kuhojiwa. Wote walikiri makosa hayo na uongozi wa Clouds uliwachukulia hatua za kinidhamu watangazaji wawili, mmoja akisimamishwa kazi mwezi mmoja na Dj Fetty akisimamishwa kazi wiki mbili.
Pamoja na hayo, Mamlaka ya mawasiliano Tanzania wanasema kuwa, vitendo hivyo vimekuwa vikijirudia rudia kwa watangazaji wa kipindi wa kipindi hicho ambapo, mwezi June mwaka huu waliitwa kutokana na kukiuka miiko na maadili ya utangazaji wakiwa katika kipindi hicho na walikiri kosa na kupigwa faini ya million 5.
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania, imekifungia kipindi hicho na kuwaambia CMG wasizalishe kipindi kingine tena chenye maudhui yanayofanana na kipindi hicho katika muda husika. Pia, wamepewa rai ya kuwapa mafunzo watangazaji na wasimamizi wa vipindi juu ya miiko na maadili ya utangazaji. Kadhalika, kuzihariri taarifa na maudhui ya siku husika kabla ya kwenda hewani.
Watu mbalimbali wapenzi na wafwatiliaji wa kipindi hicho wamepokea kwa masikitiko makubwa taarifa hii. Wengine wakisema kuwa walikuwa wanafanya 'comedy'. Wengine wakisema hivyo ndivyo kipindi kinachangamka kwani hakuna mtu anaeyazingatia.
Upi mtazamo wako?