MECKIAD RUYINGO
Member
- Jun 10, 2011
- 20
- 0
Mm ni ss ninasoma chuo kikuu cha dodoma mwaka wa tatu ba-education.. Kwa muda mwingi nilikuwa nikilelewa na kaka yangu ila by this moment i need to see my mum because mum ndiye mwenye kufahamu how much pain gained bcz of me..