BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,045
- 10,469
Kuna wakati wanawake wanakuwa ahead of time kwenye kugundua mambo refer ulaji wa tunda katika bustani ya Eden usikute hata Adam mwenyewe alikuwa hata hajui location ya mti wa matunda ulipo.
For the long period of time pamekuwa na malalamiko dhidi ya wanawake kutumia kigezo cha pesa kuingia kwenye mahusiano. But kiukweli ukiangalia uhalisia ulivyo utajagundua they are very right.
Upendo ni pesa, Pesa ni upendo. Ukimpenda mtu iwe mke, mtoto, au mzazi lazima uhakikishe ana easy access ya mahitaji yake muhimu kama mavazi, makazi na chakula bila kusahau usalama na Afya yake. Je ni kivipi utaweza kutimiza mahitaji yao kama huna pesa? So ukikosa pesa automatically unaonekana ni careless na ukishakuwa careless it's means huna upendo.
wanawake wana stress za mchezo na marejesho ya vikoba na at same time anataka kusuka, ale na avae mwanamke wa design hii ukienda kumwambia unampenda bila ya kumpa pesa anaona kama unamdhihaki tu.
Imagine mzazi wenu kalazwa bill ya hospital inahitajika kulipwa unaambiwa unajibu huna pesa akatokea mdogo wako ambaye mnajua hana mapenzi ya dhati na mzazi ila kutokana na financial status yake akaclear bill nani ataonekana ana upendo?
Mimi leo nikiulizwa nini maana ya upendo nitajibu Kwa confidence Tena loud and clear kuwa upendo ni pesa, Pesa ni upendo.
For the long period of time pamekuwa na malalamiko dhidi ya wanawake kutumia kigezo cha pesa kuingia kwenye mahusiano. But kiukweli ukiangalia uhalisia ulivyo utajagundua they are very right.
Upendo ni pesa, Pesa ni upendo. Ukimpenda mtu iwe mke, mtoto, au mzazi lazima uhakikishe ana easy access ya mahitaji yake muhimu kama mavazi, makazi na chakula bila kusahau usalama na Afya yake. Je ni kivipi utaweza kutimiza mahitaji yao kama huna pesa? So ukikosa pesa automatically unaonekana ni careless na ukishakuwa careless it's means huna upendo.
wanawake wana stress za mchezo na marejesho ya vikoba na at same time anataka kusuka, ale na avae mwanamke wa design hii ukienda kumwambia unampenda bila ya kumpa pesa anaona kama unamdhihaki tu.
Imagine mzazi wenu kalazwa bill ya hospital inahitajika kulipwa unaambiwa unajibu huna pesa akatokea mdogo wako ambaye mnajua hana mapenzi ya dhati na mzazi ila kutokana na financial status yake akaclear bill nani ataonekana ana upendo?
Mimi leo nikiulizwa nini maana ya upendo nitajibu Kwa confidence Tena loud and clear kuwa upendo ni pesa, Pesa ni upendo.