Buntungwa
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 549
- 310
- Thread starter
- #21
Upendo ni uroho wa kutamani kitu kikurizishe nafsi yako, waweza penda kuwa mwongo, mbeya, waweza kutamani kuolewa na jamaa katili , waweza penda kuona mtu analia kwa uchungu, waweza penda pili pili kali sana unazila huku unawashwa.
Mmmmmhhhhh 🙂