Muda si mrefu tutamrudisha tido kwa nguvu ya umma
Hatushangai hilo kutokea kwa chama ambacho hakijui lolote zaidi ya vurugu na majaribio ya kubaka. Huyo Tido ndiye mliyekuwa mnamtukana pale alipokata matangazo ya ufunguzi wa kampeni yenu pale Jangwani. Mkataka hata kumfanyia lynching mwandishi.