Monsgnor
JF-Expert Member
- Mar 26, 2012
- 551
- 564
Hovyo!Kumbe wewe umetishwa na shungi?Mimi mbona ofisi nyingi tu za serikali nakaribishwa na Gospel music kwa sauti kubwa tu lakini sijali nafuata kilichonipeleka hapo then naendelea na safari yangu? Ukiona unanyanyasika kuishi kwenye nchi yenye imani tofauti za kidini nenda ukaishi VATICAN mdini mkubwa wewe!Huna haya?
Jamani sio wakristo wote ni wakatoliki kwa hiyo usi ihusishe VATICAN kama huna uhakika huyo unae msema ni mkatoliki! Tuheshimiane kama mwanzo Jama! Upuuzi aliouandika huyo na research yake anayojua mwenyewe dili nae peke yake!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums