ahsante sana kwa utafiti mzuri ila nahofu hujakamilisha utafiti wako. labda una hofu na shungi kitu ambacho ni kweli zikikaa shungi tano zinaonekana sana kuliko vimini 50. kama si majungu unaleta hapa kama kina mama kisimani.
naomba utupe data hizi.
nssf ina wafanyakazi wangapi, maafisa waangapi, menejiment wangapi,
wakristo wangapi na waislam wangapi na
kada ya chini makarani, madereva, wahudumu wakristo wangapi waislam wangapi,
lete hapa ukipata kada ya maafisa waislam ni zaidi ya 40% nakupa tzs 100,000 cash
vinginevyo hayo ni majungu na udini wako peleka kisimani kwa wanawake wenzio
/kwa vile ninvyoijua nssf, nami naongeza hilo dau kwa TZS 200,000/-, na huyo mdini tunampa siku saba kuweza kupokea hilo dau kama atatimiza hayo maagizo