Updates: Ziara ya RC Makonda na Waziri Lukuvi kutatua changamoto za ardhi mkoa wa Dar Es Salaam

Mwl.RCT

JF-Expert Member
Jul 23, 2013
13,577
18,600


Serikali ya Awamu ya Tano tangu imeingia madarakani imekuwa ikifanya kazi kubwa katika kuhakiksha migogoro ya ardhi nchini inaisha kabisa ama kupungua kwa kiasi kikubwa kupitia mikutano inayofanya na wizara ya Ardhi kwa kushirikina na wananchi wa maeneo husika Wizara hiyo imekuwa ikifanya ziara mbalambali nchini hasa katika maeneo yanayokuwa na migogoro ya ardhi ambapo leo Waziri wa Ardhi akishirikina na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda wamefanya ziara eneo la Gongo la Mboto na kusikiliza kero za ardhi kutoka kwa wakazi wa eneo hilo.
 
Karibu tufuatilie mkutano wa Waziri Lukuvi na RC Makonda wanaotatua kero za wananchi wa Bunju wilayani kinondoni.
Clouds tv hoyeee!
 


Serikali ya Awamu ya Tano tangu imeingia madarakani imekuwa ikifanya kazi kubwa katika kuhakiksha migogoro ya ardhi nchini inaisha kabisa ama kupungua kwa kiasi kikubwa kupitia mikutano inayofanya na wizara ya Ardhi kwa kushirikina na wananchi wa maeneo husika Wizara hiyo imekuwa ikifanya ziara mbalambali nchini hasa katika maeneo yanayokuwa na migogoro ya ardhi ambapo leo Waziri wa Ardhi akishirikina na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda wamefanya ziara eneo la Gongo la Mboto na kusikiliza kero za ardhi kutoka kwa wakazi wa eneo hilo.

Badala ya kutatua kero kubwa za wananchi yeye anatafuta kiki kwenye vyombo vya habari.Jiji chafu kila kona,Stendi ya maana hakuna,wanafunzi wanakaa chini au wanne katika dawati,barabara za mitaa mbovu
 
Jamaa alikuwa location nn au kurichaji kuongeza nguvu,alipotea sana baada ya konkii konkii masta maan wiki huwa haipiti kaibukia kwa Lukuvi
 


Serikali ya Awamu ya Tano tangu imeingia madarakani imekuwa ikifanya kazi kubwa katika kuhakiksha migogoro ya ardhi nchini inaisha kabisa ama kupungua kwa kiasi kikubwa kupitia mikutano inayofanya na wizara ya Ardhi kwa kushirikina na wananchi wa maeneo husika Wizara hiyo imekuwa ikifanya ziara mbalambali nchini hasa katika maeneo yanayokuwa na migogoro ya ardhi ambapo leo Waziri wa Ardhi akishirikina na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda wamefanya ziara eneo la Gongo la Mboto na kusikiliza kero za ardhi kutoka kwa wakazi wa eneo hilo.
Ninaomba Sana washughuliki mikoa ya pwani hasa Kibaha. Kuna matatizo makubwa ya watu kutopatiwa hati zao kwa vigezo visivyokuwa na vichwa Wala miguu na matatizo mengi yanaanzia masijara za wizara ya Ardhi.

Ardhi hawakosi sababu za kumchelewesha mmiliki Ardhi asipate hati yake Mara lete surrender deed Mara karatasi hili,na Lile.
Tunashangaa Sana serikali imewekeza kwemye electronic government badala ya kushare files na documents zinginezo kwa kutumia mifumo ya computer Bado mteja inasumbuliwa Sana sijui waafrika aliyeturoga kafa lini. Hati ni haki ya kila mmiliki wa Ardhi haina haja ya kumsumbua wakati wewe afisa, karani wa Ardhi umesomeshwa ili utende kazi yako masuala ya documents ni ndani ya job description yako unataka usumbue wateja kwanini. Halafu wakija wageni unaona wanapewa hati haraka sisi waafrika wenzenu viswahili vingi Mara file liko masijara mara kwa kamishana.

Hapo wizarani Kuna matatizo makubwa Sana ya wafanyakazi kukwepa majukumu yao ya kazi. Hivi wizara na halmashauri mnashindwaje kuwasiliana mnapotaka karatasi Fulani mpaka mteja mumsumbue? Hi si sawa falsafa ya kuelekea uchumi was Kati itakuwa no propaganda Kama hamtatoa hati kwa wamiliki wa Ardhi. Nyingi ndio mnajua vigezo kwanini msiwajibike mnasumbua wateja wenu wizara.

Cc Waziri lukuvi
 
huyu makonda ni mtu wa kushindwa tu
waliotelekezwa
miguu bandia
mashoga
madawa ya kulevya
ziara za mkoa na kutatua changamoto hii za ardhi hii sijui ya ngapi hakuna kipya
kamuingiza na waziri ambaye hata yye ana mapori kwa mapori huko kwao
 
Back
Top Bottom