Updates za Kimbunga Hidaya: Ulipo hali ikoje?

Updates za Kimbunga Hidaya: Ulipo hali ikoje?

Kimbunga hidaya kilivamia sherehe za mei mosi huko mikoa ya kaskazini. Kilipata baraka kutoka kwa mkuu wa kaya hiyo. Kimbunga kile na wanaokishabikia waepukwe na wakemewe.
 
Hivi anayetoa Majina ya Vimbunga huwa ni nani?

Maana safari hii tumeletewa jina la Kibantu kabisa Hidaya 🙌
 
Kimbunga hidaya kitaanza onekana kuanzia jumamosi ya kesho saa sita usiku hadi saa 11 asubuhi
Hivi Mungu hawezimkukielekeza kwa watesi wetu?
Wanaodhulumu miradhi?
Wanadhulumu mari za wafiwa[wagane na wajane]?
Mungu hawezi kuelekeza kwa watu waliojaza damu za watu mikononi mwao?
Mungu anaona CAG report? Hawezi fanya jambo?
 
Mbona sijaona hidaya?
 
Back
Top Bottom