DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,898
Bongo hakuna kolona vairasi
Kwan wewe hujakurupuka kuniqouteUmeisoma kwanza hiyo taarifa au unakurupuka tuu!
Taarifa ilitolewa na Wizara ya Afya Dec mwaka jana ..... Alafu we unasema ameiokotaKwan wewe hujakurupuka kuniqoute


Wizara ya afya ilitangaza uwepo wa corona Geita mwaka jana!!! Umekunywa au??!!!Taarifa ilitolewa na Wizara ya Afya Dec mwaka jana ..... Alafu we unasema ameiokota![]()
Vipi kuna mwafrika yoyote kusini mwa jangwa la sahara aliyekufa mpaka sasa?Ugonjwa unasababisha failure ya mapafu pamoja na figo halafu wewe unadai kuwa ni ugonjwa wa mafua? Upo serious mkuu?!
Ambacho hukijui ni kwamba kwenye hizi nchi ambazo ni masikini wa akili watu wanaweza wakawa wanapukutika kama nzige na usiweze kupata takwimu yeyote!Vipi kuna mwafrika yoyote kusini mwa jangwa la sahara aliyekufa mpaka sasa?
1/. Tuko sayar nyingineTumezoea utani na kila kitu kumuachia “Mungu” hatakama ni jukumu letu kutatua jambo utasikia ‘Mungu atuepushe’
Ukiona BBC wanavoonyesha hatua za hizo nchi zingine zinavuchukua unaweza kusema pengine sisi tuko sayari nyingine ndio maana tume relax.
Washington juzi kuna mtu alikua Diagnose na hiyo kitu walifunga Metro, Shule zilizokua Karibu na barabara ya yeye alipopita pamoja na kufanya Fumigation ya mahali pote alipokanyaga.
Kwetu sisi ni maigizo kwenye Daladala kugusana lazima bado pantoni, Kariakoo misongamano daily. Kingine ni mtu akiwa na dalili au akiwa ametoka kwenye hizi nchi zenye haya milipuko inapaswa akae Quarantines kwa siku 21 kujua kama anao au la, pale JNIA wanapima temperature tu ikiwa normal unasepa kama unao dalili utaenda kuzipata nyumbani kwako.
Hata sijui.. Pengine tunguli
Jr![]()
Kabisa yaani, wengi waliugua ndani ya muda mfupi karibu nchi nzima alafu mafua yalikuwa ya ajabu ajabu isiyozoeleka kabisa.Kweli hii ndio hasa corona yenyewe mimi kuna siku nilishikwa na mafua makali homa na jupumua kwa shida aisee ile ilikua corona 100%...lakini ikaniachia ktk siku tatu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Corona ina tiba boss?
Kwa matokeo yoyote (maafa au kupona), lazima historia itaandikwa. Hii ilinikumbusha kauli ya Mbeki juu kuwa haamini kama HIV inasababisha ukimwi.
