Updates za Corona Tanzania

Updates za Corona Tanzania

Hii ndiyo mfano wa deficity and insufficience ya sheria tunazotunga zinakuwa rules and siyo sheria. Sheria lazima iwe ama iangalie exceptions. Magonjwa ya milipuko siyo magonjwa ya kufedhehesha wala kubeza na hivyo kutangaza ilipasa kwa kuwa inaweza kuponya kuanzia familia yake, jiarani yake, wafanyakazi wenzake ama watu wengine tu. Hii sheria inafanya kuwe na deficity ya benefit ya sheria yenyewe katika circumstance ya magonjwa ya milipuko. Magonjwa ya milipuko yana pattern mbaya sana na hayajali na mtu yeyote ni susceptible. Tumeona duniani jinsi hadi wataalamu wa afya wamekwenda tena waliobobea katika virology specifically huyu CORONA wamekwenda. Sasa tunaficha kwa faida ya kuzuia maambukizi au kwa faida ya wizara ya afya au kwa faida ya mgonjwa dhidi ya umati wa wananchi wote? From layman point of view hili haliko sawa hasa katika magonjwa ya milipuko...hii rule irekebishwe iwe sheria including exceptions hizi. Sheria without exception is a blind sheria na hivyo haiwezi kuona haki, ikiwa kipofu atatakiwa kuona dunia itapita na vitu vyake vyote. Sheria inakuwa sheria ikiwa na makali yake, considerate, covering exceptions ili iweze kutoa haki. Hapa kwenye magonjwa ya mlipuko ... hii sheria imetunyima haki watanzania .. hata hii ya kujua tu .. ili kuchukua tahadhari. Tahadhari ni pana na kwanza inahitaji habari kamili na sahihi.. mfano sasa tunaangalia sana na kusema mkuu umetoka nchi zenye mlipuko .. tukupime na tunakushuku kwa hali ya juu zaidi. Sasa hii ni habari inavyoweza kusaidia dhidi ya tahadhari.. pamoja na mambo mengine mfano umri, magonjwa mengine (pre-existing disease conditions) na habari zote zinazopasa kujumuishwa katika tahadhari. Hii ndiyo habari kamili na sahihi. Vinginevyo umri wa mgonjwa pia ni habari ila si kamili, jinale nani, kabila gani, anaishi wapi anafanya nini, amepataje uambukizo, alitembelea maeneo gani kabla na baada ya uambukizo. Nadhani hili lipitiwe upya na waziri mwenye dhamana na awatendee watanzania haki kupitia bunge tukufu?.

Tuendelee na tahadhari, usafi, usafi, usafi, social distancing, stay alert and vigilant, tule milo kamili, tufanye mazoezi, tupumzike vya kutosha, tuwe na muda wa furaha kupunguza stress pia inapunguza kinga ya mwili,

ANGALIZO: Tusiwanyanyapae wale wanaopata maambukizo kwa kuwa siyo self infliction disease na nchi iendelee na mipango yake bora tunayoiona kila kukicha - usiku na mchana

Nawasilisha
ANGALIZO: Tusiwanyanyapae wale wanaopata maambukizo kwa kuwa siyo self infliction disease na nchi iendelee na mipango yake bora tunayoiona kila kukicha - usiku na mchana

Jr
 
Update s
IMG_20200402_145418.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla ya kufinywa nabii mwenye tiba ya corona


Jr
 
Baada ya kufinywa


Jr
 
*Kwa wale tunaofikiri wagonjwa 19 wa Covid 19 kwa Tanzania bado SIO SERIOUS!! Hebu tuangalie wenzengu wa nchi nyingine walikotoka wiki tatu zilizopita*

Italy
February 21 2020 - 21 cases
March 27 2020 - 86,498 cases

United States
February 21 2020 - 16 cases
March 27 2020 - 100,037 cases

France
February 26 2020 - 18 cases
March 27 2020 - 32,964 cases

Germany
February 25 2020 - 18 cases
March 27 2020 - 50,178 cases

Spain
February 27 2020 - 25 cases
March 27, 2020 - 64,059 cases

Iran
February 19 2020 - 5 cases
March 27 2020 - 32,332 cases

South Africa
March 1 2020 - 1 case
March 27 2020 - 1,170 cases

*Tupo pale wenzetu walipokuwepo wiki mbili tatu zilizopita.*
*Kama hatutajitahidi kujikinga nasi tutafika huko*.

*Watanzania wenzangu tujitahidi kuzuia muendelezo wa maambukizi ya Covid 19 kwa kuzingatia njia tunazoelekezwa na wizara.* .

*Ni jukumu lako wewe na mimi! Tuzingatie*

Jr
Ni vile hatupimi tu utakuta wengi tutakua na corona uzuri haina madhara makubwa kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni kutufahamisha sisi kuwa pH ya virusi vya corona inatofautiana kutoka 5.5 hadi 8.5.

Wote tunahitaji kufanya, kupinga virusi vya corona, tunahitaji kuchukua zaidi ya vyakula vya alkali ambavyo viko juu ya kiwango cha juu cha pH cha Virusi.

Ambavyo ni:

* Limao- 9.9pH *
* Chenza- 8.2pH *
* Parachichi- 15.6pH *
* Vitunguu - 13.2pH *
* Maembe - 8.7pH *
* Tangerine - 8.5pH *
* Mananasi - 12.7pH *
* Dandelion - 22.7pH *
* chungwa - 9.2pH *

Unajuaje kuwa una coronavirus?
1. * Kuwashwa kwenye koo
2. * kukauka koo
3. * Kikohozi kikavu. *
4. Joto kubwa
5. kupumua kwa tabu

kwa hivyo unapoona vitu hivi haraka chukua maji ya moto kiasi weka limao kisha kunywa

Usibakie na habari hii peke yako. Sambaza kwa familia yako yote na marafiki. Mungu akubariki.

Jr
Mkuu hizi taarifa sio za kweli imgekuwa njema uzifute tuu.
Kwanza kipimo cha pH kinarange from 0-14
7>alkaline
=7 neutral


Sent using Jamii Forums mobile app
 
We still have a week or two go

Stages za maambukizi (Epidemiological perspective)

Stage 0- 0 cases
Stage 1 -imported cases
Stage 2- local cases (cases appearing in some cities but not imported. You can still trace the source)
Stage 3 - Community spread (mnaambukizana wenyewe kwa wenyewe na huwezi ku-trace network yake.)

Jr
 
Back
Top Bottom