ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
Mzee taarifa zako unatoa wapi๐๐๐Nasikia marekani kahamishia meli zake zile destroyer zote pwani ya israeli zilizolua redsea ๐คฃ
Marekani kashasogeza meli karibu na pwani ya Israel ikiwemo USS Philippines. Hii ina cruise missiles za kutosha.