LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

Aisee mbona hiyo habari umeileta kiushabiki na wewe?
Hizo zilizopigwa ni rockets mzee.
Tena ni light rockets,ila karejelee habari ya miezi miwili ilopita ya Hizbollah kutumia Guided missiles ambazo Iron dome zilishindwa kuzidungua zikaharibu kambi mbili za North Israel ikiwemo Galilee.
Yani iron dome ina uwezo wa kudungua rockets tu ila hazina uwezo wa kudungua guided missiles.
Nakusisitiza hizo ni rocket jiulize Hizbollah ikiamua kutumia tena guided missiles itakuaje?
Kwahiyo hizo walizorusha Jana ni unguided rockets?! 😂😂😂😂😂
 
Kwahiyo hizo walizorusha Jana ni unguided rockets?! 😂😂😂😂😂
Mkuu acha utani bhana.
Unafananishaje uwezo wa roketi na kombora!?
Yani ufananishe uwezo wa roketi na kombora kweli brooo!?
Rockets na missiles zipi zina damage kubwa katika mashambulizi!?
 
Mkuu acha utani bhana.
Unafananishaje uwezo wa roketi na kombora!?
Yani ufananishe uwezo wa roketi na kombora kweli brooo!?
Rockets na missiles zipi zina damage kubwa katika mashambulizi!?
Ww ndo unachanganya madesa... Umeanza kusema roketi za Jana zilikua unguided?! Evidence????

Hata rockets pia zipo unguided na Guided mfano.wa guided rockets ni Himars, Unguided mfano ni Grad za Mrusi.

Hapa unaleta tena mada nyingine ya Rockets na missiles?!

Sasa tangu lini iron dome ikatungua missiles kama Cruise au ballistic?! Ilitengenezwa kwa kazi hiyo!?,.... Ndio maana kuna kitu kinaitwa layered air defense system Israel wana David Sling, Barak-8, Patriot, Arrow, Arrow-3, Spyder, nk
 
Ww ndo unachanganya madesa... Umeanza kusema roketi za Jana zilikua unguided?! Evidence????

Hapa unaleta tena mada nyingine ya Rockets na missiles?!

Sasa tangu lini iron dome ikatungua missiles kama Cruise au ballistic?! Ilitengenezwa kwa kazi hiyo!?,.... Ndio maana kuna kitu kinaitwa layered air defense system Israel wana David Sling, Barak-8, Patriot, Arrow, Arrow-3, Spyder, nk
Sijachanganya madesa ila wewe hujanielewa nini nachozungumzia.
Nilichokusudia ni kwamba Iron dome na uwezo wa ku intercept rockets tu ila sio missiles.
Na kiufupi Israel hana missile interceptors hana mfumo wa anga wa kudungua makombora.
Hata vita na Hamas walisaidiwa mifumo ya anga na USA kudhibiti makombora ya Houthi kupiga Eilat.
 
Sijachanganya madesa ila wewe hujanielewa nini nachozungumzia.
Nilichokusudia ni kwamba Iron dome na uwezo wa ku intercept rockets tu ila sio missiles.
Na kiufupi Israel hana missile interceptors hana mfumo wa anga wa kudungua makombora.
Hata vita na Hamas walisaidiwa mifumo ya anga na USA kudhibiti makombora ya Houthi kupiga Eilat.
UNA UHAKIKA NA UNACHOSEMA?!
 
Hakika 100%.
Labda ulete ushahidi kunipinga.
Israel ni moja ya nchi yenye mifumo imara na ya kisasa ya kutungua makombora ukizitoa USA, Russia na China.

Kazitafute hizi Arrow-2, Arrow-3, Barak-8, David Sling, Spyder air defense system. Halafu rudi tena hapa
 
Israel ni moja ya nchi yenye mifumo imara na ya kisasa ya kutungua makombora ukizitoa USA, Russia na China.

Kazitafute hizi Arrow-2, Arrow-3, Barak-8, David Sling, Spyder air defense system. Halafu rudi tena hapa
Kama hizo zinafanya kazi kwanini USA ali deploy airdefense system zake pale Eilat kukinga makombora ya Houthi!?
Kwanini hizo Arrow 2 zisingewekwa pale Eilat!?
 
Kama hizo zinafanya kazi kwanini USA ali deploy airdefense system zake pale Eilat kukinga makombora ya Houthi!?
Kwanini hizo Arrow 2 zisingewekwa pale Eilat!?
Israel’s Arrow 3 has made its 1st-ever interception, downing likely Yemen-fired missile.

For the first time ever, Israel’s most advanced air defense system, the Arrow 3, made a successful interception of a missile heading for the country’s southernmost city of Eilat, the IDF and the Defense Ministry announce.

The surface-to-surface missile, apparently launched from Yemen, was intercepted by an Arrow 3 missile over the Red Sea.

It marks the first time an Arrow 3 missile has been launched in an operational incident, and the first-ever interception.
https://www.timesofisrael.com/liveb...erception-downing-likely-yemen-fired-missile/

In first, Israel’s Arrow 2 air defense system intercepts ballistic missile near Red Sea: IDF

JERUSALEM — Israel’s Arrow air defense system for the first time intercepted a ballistic missile today, in an attempted strike believed to have been launched from Yemen.

The Israeli Defense Forces said the interception was the first operational use of the Arrow system since Hamas’s Oct. 7 attack, and that it “thwarted an aerial threat in the area of the Red Sea.” The IDF later said the missile was fired toward Israel but was intercepted before it could reach its target.

“All aerial threats were intercepted outside of Israeli territory. No infiltrations were identified into Israeli territory,” the IDF said.In first, Israel's Arrow 2 air defense system intercepts ballistic missile near Red Sea: IDF - Breaking Defense
 
Israel’s Arrow 3 has made its 1st-ever interception, downing likely Yemen-fired missile.

For the first time ever, Israel’s most advanced air defense system, the Arrow 3, made a successful interception of a missile heading for the country’s southernmost city of Eilat, the IDF and the Defense Ministry announce.

The surface-to-surface missile, apparently launched from Yemen, was intercepted by an Arrow 3 missile over the Red Sea.

It marks the first time an Arrow 3 missile has been launched in an operational incident, and the first-ever interception.
https://www.timesofisrael.com/liveb...erception-downing-likely-yemen-fired-missile/

In first, Israel’s Arrow 2 air defense system intercepts ballistic missile near Red Sea: IDF

JERUSALEM — Israel’s Arrow air defense system for the first time intercepted a ballistic missile today, in an attempted strike believed to have been launched from Yemen.

The Israeli Defense Forces said the interception was the first operational use of the Arrow system since Hamas’s Oct. 7 attack, and that it “thwarted an aerial threat in the area of the Red Sea.” The IDF later said the missile was fired toward Israel but was intercepted before it could reach its target.

“All aerial threats were intercepted outside of Israeli territory. No infiltrations were identified into Israeli territory,” the IDF said.In first, Israel's Arrow 2 air defense system intercepts ballistic missile near Red Sea: IDF - Breaking Defense
Na vipi kuhusu Hizbollah kule mpakani waliharibu kambi mbili za Israel kwa kutumia guided missile ambazo zina uwezo wa kukwepa interceptors,je hizo Arrow 2 na 3 zilikua wapi!?
Houthi hawana guided missiles.
 
Na vipi kuhusu Hizbollah kule mpakani waliharibu kambi mbili za Israel kwa kutumia guided missile ambazo zina uwezo wa kukwepa interceptors,je hizo Arrow 2 na 3 zilikua wapi!?
Kuzuia makombora ya mpakani si rahisi kama unavyofikiria sababu reaction time inakua ni muda mchache Sana (seconds) ndio maana Urusi kila kukicha anachapwa kule Belgorod.

Ww unadhani kwanini Urusi hataki NATO karibu na mipaka yake au kwanini hataki Marekani aweke makombora hapo Europe. Hayo makombora yakirushwa karibu na mipaka ya Urusi ni almost impossible kuyaintercept.
 
I hope Iran hataingia kwenye huu mtego, hii vita itakuwa ya US na ndio wanachotaka, US wako tayari kumnyeshea za kutosha na Wana hasira naye tangu Ayatollah achukue nchi miaka ya 70, na wanajua wakiweka kibatraka wao Iran, Middle East itakuwa koloni lao na ndio wanachotafuta, kama Saudi Arabia, Kuwait, Iraq etc Nini kimebaki?
Acha uongo rais wa marekani jana kamuomba rais wa China kumzuia Iran asiishambulie Israel.
 
Ww ndo unachanganya madesa... Umeanza kusema roketi za Jana zilikua unguided?! Evidence????

Hata rockets pia zipo unguided na Guided mfano.wa guided rockets ni Himars, Unguided mfano ni Grad za Mrusi.

Hapa unaleta tena mada nyingine ya Rockets na missiles?!

Sasa tangu lini iron dome ikatungua missiles kama Cruise au ballistic?! Ilitengenezwa kwa kazi hiyo!?,.... Ndio maana kuna kitu kinaitwa layered air defense system Israel wana David Sling, Barak-8, Patriot, Arrow, Arrow-3, Spyder, nk
Umeongea vitu vizito sana mkuu Nina waswasi kama atakuelewa.
 
Kuzuia makombora ya mpakani si rahisi kama unavyofikiria sababu reaction time inakua ni muda mchache Sana (seconds) ndio maana Urusi kila kukicha anachapwa kule Belgorod.

Ww unadhani kwanini Urusi hataki NATO karibu na mipaka yake au kwanini hataki Marekani aweke makombora hapo Europe. Hayo makombora yakirushwa karibu na mipaka ya Urusi ni almost impossible kuyaintercept.
Nitalifuatilia hili.
Ila mbona kutoka Iran kwenda Iraq sio mpakani na Iran aliweza piga kombora kambi ya US Iraq?
Na hata houthi walitumia unguided missiles.
Nasubiri siku yakitumika guided nione hizo arrow zikizuia.
 
Iran hadi sasa anasubiri nini?
Biden amekwambia "Don't"

Kwa anayejuwa kingereza jibu analo tayari.

Israel imejiandaa kujilinda na kushambulia na Biden amekwambia Iran Don't.

Wito wangu Kwa waislamu duniani kabla Iran haijageuzwa kuwa majivu muda wenu ni huu kumwambia Ayatollah asijaribu kuchambia sime, hatutaki kusikia kelele baadaye za Free Iran.
 
Back
Top Bottom