Mkuu sijaidharau ila nilichelea kuiweka kama mshindani kwa ajili ya ubingwa kwa sababu ya uchanga wake lakini pia kwa jinsi ilivyoperform kwenye kombe la mapinduzi.
Uturuki hawakufuata kitu ila walipeleka ndo maana walimwacha yule kiungo kwa sababu angemalizia mzigo njiani si unajua ana uzoefu na hivyo vitu. hahahahahaha usije kunitoa macho nilikuwa nawaza tu.