Akishafungwa mmoja utaona watamwagika tu hapa, saa hizi wanaogopana wanatoa updates kwa machale lakini ni halftime now milango yote migumu
bora mkuu and thanks 4 updates maana before the game jamaa walikuwa wanachonga sana(wanacheza mpira wa mdomon) lakin mida la gem la uwanjani wote wamepotea