Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Naombeni link ya radio yoyote wanayotangaza mechi hiyo please, and mechi inaanza saa ngapi kwa saa za Tanzania??
 
sikiliza redio tanzania

Niko porini kuna network ya simu lakini hakuna network ya radio mkuu ndio maana nataka link ya internet kama rtd wanayo nisaidie, nimejaribu clouds , times fm na rfa lakini hawapo online na clouds hawatangazi
 
Jamani au hakuna mechi leo nn? Maana watangazaji wote wa jf 'wameshepa' wengine tupo nje ya mipaka ya bongo tunaitegemea jf kupata updates kama kunawadau wanafwatilia huu mtamange waendelee kutujuza, haijalishi hata kama mkifungwa c tutawapa pole, hatutawcheka promise
 
Jamani au hakuna mechi leo nn? Maana watangazaji wote wa jf 'wameshepa' wengine tupo nje ya mipaka ya bongo tunaitegemea jf kupata updates kama kunawadau wanafwatilia huu mtamange waendelee kutujuza, haijalishi hata kama mkifungwa c tutawapa pole, hatutawcheka promise

Akishafungwa mmoja utaona watamwagika tu hapa, saa hizi wanaogopana wanatoa updates kwa machale lakini ni halftime now milango yote migumu
 
Naam! Mpira bado ni halftime lkn very soon: timu zitaingia uwanjani.
 
Back
Top Bottom