uliza Jmosi ijayo utapata matokeo maana speed ya mnyama inatisha...Ila Azam,JKT, na Mtibwa wana weza kuwa wapinza halisi wa mnyama katika haraka za kubeba kikombe...maana na sikia Takukuru wameshaingia kwenye soka hivyo YeboYebo hawezi tena kununua mechi kirahisi...
Asante sana Crashwise, Mnyama anazidi kuchnja Mbuga, Mechi 7 Pointi 21, bado ana gemu nne tu katika Mzunguko wa Kwanza, tunamsubiri Mtibwa, Yanga, JKT Ruvu na Azam FC
Asante sana Crashwise, Mnyama anazidi kuchnja Mbuga, Mechi 7 Pointi 21, bado ana gemu nne tu katika Mzunguko wa Kwanza, tunamsubiri Mtibwa, Yanga, JKT Ruvu na Azam FC