Watani poleni, karibuni msimbazi kuna nafasi bado zipo mnaweza kuwa washabiki kwa muda wakati timu yenu inatengemaa, mnatia huruma mmecheza mechi tisa bila ushindi.
Kama kikosi kitachoanza kitakuwa, Kaseja golini, namba mbili Cholo, beki wa kushoto Maftah, kati wakae Costa na Nyoso, Santo namba sita, Mafisango namba nane, Haruna Kumi, Ulimboka kumi na moja, Kago tisa, Saba akacheza Uhuru au Shija Mkina; Ushindi ni lazima.
Poleni Yanga tulieni na Kocha afanyie kazi timu iwe inafungua uwanja kwa kupeleka mashhambulizi mbele vinginevyo mtashuka daraja mwaka huu.Kesho tunawakaribisha U/T mshabikie wekundu wa msimbazi
Nimemsikiliza Sendeu kwenye kipindi cha michezo cha radio one, leo kisingizio ni mwamuzi, jamani mliokuwepo uwanjani mtujuze kweli mwamuzi kaiua Yanga leo?
Nimemsikiliza Sendeu kwenye kipindi cha michezo cha radio one, leo kisingizio ni mwamuzi, jamani mliokuwepo uwanjani mtujuze kweli mwamuzi kaiua Yanga leo?
CPU timu yako ni maneno tu mpira hakuna, na hii inaziirisha ni kwa jinsi gani Kagame Cup ilibeba kwa kubahatisha tu; hao akina Mwape, Asomoah wamezeeka msipo angalia mtaendelea kushika mkia.